kimberlite
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 323
- 211
6yrs back nilikua 74kgs.. saivi nipo 57kg. My goal is kufika atkleast 60kg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilo moja kwa siku...hahaha....hapana....Niliwahi Kuwa mnene hadi nikawa najikatia tamaa jinsi nilivyo,unene usikie kwa jirani unachosha sana,kilo zangu hazikuwa chini ya kg120.sasa hivi Nina kg70.,kama unapiga gym na wewe ni mnene usinyanyue vyuma we pendelea kukimbia na kuruka kamba au kuendesha baskel Mazoezi haya yanapunguza mwili kwa kasi kuliko ..unapotoa jasho jingi ndivyo na uzito unashuka kwa haraka,Mimi nilifikia kuondoa hadi kilo 1 kwa siku.!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeptiliza malengo sahv unayafta tena.6yrs back nilikua 74kgs.. saivi nipo 57kg. My goal is kufika atkleast 60kg
Mazoezi pekee mazuri ni lukimbia na kuogelea, mm kila nikiongezeka uzito nikiogelea Mara mbili au 3 napungua faster, Njoo huku bahari beach kila jioni tupeane kampani ya kuogelea baharini, its free of chargeMimi nashindwa kufanya mazoezi wala diet, Nikifanya mazoezi two weeks haziishi naingia majaribuni napumzika[emoji21]
Kuogelea sijui hataaa, Bahari beach ndo wapi huko? Maana huku kijijini kwetu hakuna ziwa wala bahariMazoezi pekee mazuri ni lukimbia na kuogelea, mm kila nikiongezeka uzito nikiogelea Mara mbili au 3 napungua faster, Njoo huku bahari beach kila jioni tupeane kampani ya kuogelea baharini, its free of charge
Oh sorry nilijua Upo Dar, Bahari beach ni maeneo fulani ya kishua huku Mjini, huku Tunaishi watu wenye test ya kikoloni tu.Kuogelea sijui hataaa, Bahari beach ndo wapi huko? Maana huku kijijini kwetu hakuna ziwa wala bahari
Daah....
Niko 56kg... Ila nikitembea nahema ka nini
Mwenyewe nilikuja kushtuka nakaribia kupasuka nikaona sasa hapa ntakosa na wachumba.[emoji2]Mimi niliwahi kuwa mwembamba sasa hivi nafukuzia kilo 100.
Yaani kama nimepewa tenda ya kunenepa.🙄
tehe tehe teheMimi niliwahi kuwa mwembamba sasa hivi nafukuzia kilo 100.
Yaani kama nimepewa tenda ya kunenepa.🙄
Urefu-100=Average weight(AW). Kuongezeka au kupungua 5kg kwenye hiyo Aw sio mbaya. Ila zaidi au nje ya hapo. Ni NOUMAAAAAAAAAAAAAAANineanza kufanya hivyo nakaribia wiki sasa, Nipo mrefu kiasi
Una height gani?Mimi nanenepa saa hizi
Kutoka kg 60
Mpaka 85
Sielewi naelekea wapi