TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Nimekwambia unitajie ni wapi na lini hizo mila na desturi zilimsimika mwanamke kuvaa suruali?Sio mila zetu. Ukitaka kuvaa sketi nenda nchi wanakubaliana na hizo mila.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia unitajie ni wapi na lini hizo mila na desturi zilimsimika mwanamke kuvaa suruali?Sio mila zetu. Ukitaka kuvaa sketi nenda nchi wanakubaliana na hizo mila.
Nimenukuu maandiko na mim ni mtoto mjini kushinda ndugu zako wote.So mwanamke akivaa suruali anajifananisha na mwanaume?🤣🤣🤣badili mindset joh utachekwa ukija mjini
Yupo sawa, na mm nimetumia biblia pia kusema kwanza walikuwa uchi, wakavaa ngozi ila suruali ni tatizo. Kwani hoja yako ni ipi? Ni nn unachopinga?Na kumbuka hapa Muuliza swali hajaweka suala la mila na desturi,ameongelea walokole kwa maana kwamba anataka neno la Mungu litumike zaidi.
we jamaa mshamba sana kumbe ni wale wavaa mitumba na kuoza meno ndo mjinga yaani hujielewi😅😅Kwahiyo Samia anavyovaa suruali anajifananisha na mwanaume?🤣🤣 inferiority complex at its best, anyways si kosa lako ni jamii uliyotoka ndo inareflect uelewa wako🤔
Salamu siyo mila na desturi kuna mahali fulani hapa hapa Tanzania hiyo hiyo salamu hata haifahamiki,Kuvaa suruali siyo mila na desturi ya mwanamke wa Kitanzania bali ni kuiga tamaduni za watu kwa kujifanya wajanja kumbe wanaunga telaHakuna mahali jamii inasimika mila ila mila inakubalika na jamii. Kwani ni wapi na lini tamaduni na mila zilimsimika salamu ya shikamoo?
Ni wapi zimemsimika mwanaume kuvaa suruali? Mila jamii inarithi kutoka kwa mababu? Jamii zetu haziruhusu mwanaume kuvaa sketi, ila mwanamke akivaa suruali hawana shida. Wewe tatizo lako ni lipi? Bado sielewi hoja yako.Nimekwambia unitajie ni wapi na lini hizo mila na desturi zilimsimika mwanamke kuvaa suruali?
Walikuwa uchi kabla ya dhambi,ila baada ya dhambi Mungu akawavisha Ngozi na bila shaka unafahamu maana yake,na walipofukuzwa kwenye bustani ndipo Mungu kwa kinywa chake akatoa hilo tamko la Kumbukumbu la Torati 22:5Yupo sawa, na mm nimetumia biblia pia kusema kwanza walikuwa uchi, wakavaa ngozi ila suruali ni tatizo. Kwani hoja yako ni ipi? Ni nn unachopinga?
HOJA NI NENO LA MUNGU,KWANINI ULIPINGE NENO LINALOKATAZA MAVAZI HAYO KWA WANAWAKE?Ni wapi zimemsimika mwanaume kuvaa suruali? Mila jamii inarithi kutoka kwa mababu? Jamii zetu haziruhusu mwanaume kuvaa sketi, ila mwanamke akivaa suruali hawana shida. Wewe tatizo lako ni lipi? Bado sielewi hoja yako.
Unayajua mavazi ya mtanganyika kabla ya kupokea wazungu na waarabu? Kama tulivyoiga salamu ndivyo tulivyoiga na mavazi. Ngoja nikafanye mambo mengine mkuu.Salamu siyo mila na desturi kuna mahali fulani hapa hapa Tanzania hiyo hiyo salamu hata haifahamiki,Kuvaa suruali siyo mila na desturi ya mwanamke wa Kitanzania bali ni kuiga tamaduni za watu kwa kujifanya wajanja kumbe wanaunga tela
Achana na mambo ya Tanganyika na blah blah,hoja ipo kwa walokole ina maana inarifaa kwenye neno la Mungu,tembea na neno la Mungu acha blah blahUnayajua mavazi ya mtanganyika kabla ya kupokea wazungu na waarabu? Kama tulivyoiga salamu ndivyo tulivyoiga na mavazi. Ngoja nikafanye mambo mengine mkuu.
Biblia inasema mavazi yampasayo mwanaume ni yapi?Walikuwa uchi kabla ya dhambi,ila baada ya dhambi Mungu akawavisha Ngozi na bila shaka unafahamu maana yake,na walipofukuzwa kwenye bustani ndipo Mungu kwa kinywa chake akatoa hilo tamko la Kumbukumbu la Torati 22:5
" Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyaye mambo hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako."
Kwahiyo Mungu kutamka maneno hayo yeye ni mjinga na mvaa suruali yeye ni mjanja,ndicho unacho maanisha!
Mavazi yampasayo mwanamume kwa hapa kwetu Tanzania ni SurualiBiblia inasema mavazi yampasayo mwanaume ni yapi?
Na kwa biblia mavazi ya mwanaume unatakiwa uvae nn? Maana nimeona umemweleza member hapo juu aachane na Tanganyika ambayo ndo Tanzania kwa sasa.Mavazi yampasayo mwanamume kwa hapa kwetu Tanzania ni Suruali
Linapokuja suala la biblia mila za Tanganyika hazihusiki siyo? Okey. Sawa.Achana na mambo ya Tanganyika na blah blah,hoja ipo kwa walokole ina maana inarifaa kwenye neno la Mungu,tembea na neno la Mungu acha blah blah
Kwa Biblia vazi la mwanaume ni lile unalipaswa kuvaa likupaswalo,sasa hapa kwetu Vazi limpasalo mwanaume ni sketi au suruali?Na kwa biblia mavazi ya mwanaume unatakiwa uvae nn? Maana nimeona umemweleza member hapo juu aachane na Tanganyika ambayo ndo Tanzania kwa sasa.
Biblia hauhusu milaLinapokuja suala la biblia mila za Tanganyika hazihusiki siyo? Okey. Sawa.
Kwa hiyo hapa kwetu mila zikiruhusu sketi ingekuwa siyo tatizo kwa biblia?Kwa Biblia vazi la mwanaume ni lile unalipaswa kuvaa likupaswalo,sasa hapa kwetu Vazi limpasalo mwanaume ni sketi au suruali?
Sasa mavazi yampasayo mwanaume na mwanamke imeyataja kuwa ni yapi iwapo kila jamii ina mila na tamaduni zake za mavazi?Biblia hauhusu mila
Unapoongelea mila maana yake ni kabila.Kwa hiyo hapa kwetu mila zikiruhusu sketi ingekuwa siyo tatizo kwa biblia?