TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Mavazi yako ndani ya desturi siyo Tamaduni na Mila,Tamaduni na mila ni mambo ya Makabila ila desturi ni kwa Taifa zima.Sasa mavazi yampasayo mwanaume na mwanamke imeyataja kuwa ni yapi iwapo kila jamii ina mila na tamaduni zake za mavazi?