Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Desturi ya mwanamke wa kitanzania imeandikwa wapi? Tanzania ni muunganiko wa makabila. Kabla iliitwa Tanganyika.Kuvaa suruali siyo desturi ya mwanamke wa kitanzania,ndiyo maana siyo jamii zote za wanawake huvaa suruali,desturi ya mwanamke wa kitanzania ni kuvaa sketi,hii ni desturi ya Taifa zima.
Kukeketwa siyo desturi ya mwanamke kitanzania bali ni Mila na Tamaduni ya baadhi ya makabila,na ndiyo maana wapo wanaokeketwa na ambao hawakeketwi
Unatuchukuliaje Wana JF?Suruali imekuwa invented karne ya 16. Na vitabu vitakatifu tunaamini viliandikwa kabla ya muda huo. Kwa iyo wewe kusema kwa mujibu ya bilia suruali ni vazi la kiume unakua unakosea.
Hivi unaelewa maana ya desturi kweli?Desturi ya mwanamke wa kitanzania imeandikwa wapi? Tanzania ni muunganiko wa makabila. Kabla iliitwa Tanganyika.
Unafiki tu. Unazunguka zunguka hapo kwenye desturi sijui mila. Biblia haitaki uzinzi na mambo yanayochochea zinaa.Hivi unaelewa maana ya desturi kweli?
Mavazi yote yanapaswa kuvaliwa kwa staha na nidhamu.Unafiki tu. Unazunguka zunguka hapo kwenye desturi sijui mila. Biblia haitaki uzinzi na mambo yanayochochea zinaa.
Huo unafiki wa kukatazana suruali ni wa kibinadamu tu. Hata ukivaa gauni la chuma kama unaruhusu kuingiliwa ingiliwa na mchungaji sijui kwaya master ww ni mchafu kuliko aliyevaa suruali yake ya heshima akaenda ofisini.
Siyo suruali, vazi lolote kwa mwanamke linaloonyesha maumbile yake si sawa sababu linachochea zinaa.Unatuchujuliaje Wana JF?
Yani Ke avae suruali na Me avae suruali bila ya kuona kabisa K ya Ke inavyojichora mbele yako, Wazazi wako, Baba na Mama Mkwe au Watu unaowaheshimu sana?
Vipi tako, hipsi pia vikae kihasara hasara tu mbele yako wewe Baba yake na Bintiyo na Mke wako?
Kweli ukichaa upo kwa kila Mtu...[emoji124][emoji2960]
Bila kujali ni suruali au sketi. Hapa tupo sawa kabisa. 🤝Mavazi yote yanapaswa kuvaliwa kwa staha na nidhamu.
Yes sketi vaa hata wewe inakufaaBila kujali ni suruali au sketi. Hapa tupo sawa kabisa. [emoji1666]
Muulize tu kiufupi, je yeye yuko tayari kuvaa sidiria, undersketi, pedi na bikini kama hayo si mavazi ya kike?Kwa Biblia vazi la mwanaume ni lile unalipaswa kuvaa likupaswalo,sasa hapa kwetu Vazi limpasalo mwanaume ni sketi au suruali?
Hizi ni hasira za kuambiwa suruali si tatizo, tatizo ni uchafu kwamba hata wakivaa magauni ya chuma, mchafu ni mchafu tu.Yes sketi vaa hata wewe inakufaa
Unaona aibu kuuliza mwenyewe?Muulize tu kiufupi, je yeye yuko tayari kuvaa sidiria, undersketi, pedi na bikini kama hayo si mavazi ya kike?
Umeulizwa swali hapo juu jibu,Je unaweza kuvaa Undersketi,kuvaa pedi?Hizi ni hasira za kuambiwa suruali si tatizo, tatizo ni uchafu kwamba hata wakivaa magauni ya chuma, mchafu ni mchafu tu.
Hapana siwezi. Ila mwanamke kuvaa suruali ya heshima anaweza.Umeulizwa swali hapo juu jibu,Je unaweza kuvaa Undersketi,kuvaa pedi?
Kwanini huwezi kuvaa?Hapana siwezi. Ila mwanamke kuvaa suruali ya heshima anaweza.
Kwasababu ni utaratibu wangu na mfumo wangu wa maadili nilioamua kuwa nitautumia. Pia Pedi sina matumizi nayo. Nilikuwa nainunua kipindi mke wangu anaihitaji. Kwa sasa haitumii pia.Kwanini huwezi kuvaa?
Maadili yapi?,kwani kuvaa pedi kuna shida gani?Kwasababu ni utaratibu wangu na mfumo wangu wa maadili nilioamua kuwa nitautumia.
Pedi ni kwa ajili ya kukinga damu za mwanamke aliyefika siku zake bila yai kurutubishwa na mbegu za mwanaume. Niliinunua kwa ajili ya mke wangu kipindi fulani hapo nyuma ila sasa na yeye haitumii.Maadili yapi?,kwani kuvaa pedi kuna shida gani?
Kwani aliyesema pedi ni kwaajili ya mwanamke ni nani?Pedi ni kwa ajili ya kukinga damu za mwanamke aliyefika siku zake bila yai kurutubishwa na mbegu za mwanaume. Niliinunua kwa ajili ya mke wangu kipindi fulani hapo nyuma ila sasa na yeye haitumii.