Sio mila ni Sheria za dini tu, mtu akioshewa ndani kwake ufukiwa hapo na unasakafia kama kawaida na hata tiles hukaa na maisha huendelea, ule ni uchafu kama uchafu mwingine.Na baada ya kusakafiwa mke wa marehemu au ndugu wa karibu atakaa juu yake..
Na ww uache ku expose mila za watu
Basi usinge quote comment yanguKama hujaelewa,itakuwa haikuhusu.
Watu wa Mgeta hawana hiyo kwa kuwa wameathiriwa na ukristu. lakini hata mazishi ya sasa sio sawa na yalivyokuwa kabla ya athari zote za ukristu na uislamNa sio warugulu wote wanafanya hvyo,mfano wale wa upande wa Mgeta ambako ukristo ndio umeshamiri zaidi sidhani kama wanafanya hivyo,hivyo hiyo inawezekana sio mila halisi ya kirugulu na ndio maana wa upande huo hawamtendei marehemu wao hivyo
nielimishweSijakuelewa swali lako maana naona umeshato majibu yako kwa ujuavyo wewe. Unataka kuelewa au kubishana?
Basi lala kitoto cha babu. Usiku nitakubembekeza
Wapo pia hawa Wazigua wa huku Turiani inayoenda kupakana na Handeni.Wa wilaya za Handeni na Kilindi. Alafu nimeona kwa macho, siyo story
Haya tulizana uulize kwa ufasaha unataka uelimishwe nini?nielimishwe
WTF..damn!Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Manina zaoWana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Hii comment nimeisevu kwa ajili ya matumizi ya baadae.Wanipa rahaaa, dunia yote naiona yangu...
Wanipa rahaa, usingizi wangu Big Sam π
Kwako sifurukuti, natii bila shuruti...
Alontangulia (Bibi Sky) namtambua, heshima yake nampa.... ila asinizuie penzi langu kukupa.....
Chukua, chukua Babuu chukuaaaa, yote yakoo....π π π ππππ.
Kasie Mahaba Matata.
Hii comment nimeisevu kwa ajili ya matumizi ya baadae.
Babu navopenda kupendwa sasa....
Na navyopenda misifa sasa
Ngoja nigonge K Vant wakati narudia kuisoma
π€£ππ π.....Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Usiende mbali namiii, mimi bado nakupendaAahahahahaaa....!!
Nasinzia nikikuwaza ooohhh....!
Malabuku zako, unaacha kugonga Ka Matata unagonga K Vant....
wivu umenishika maeneo nyetii ππππ
Punguza "personal attack"Kuwa na akili,
Haache na umbea kusema na kuchunguza ya watu, kutoa Siri kitu si kitu, ungekuwa ps Kama Mimi ungesema mengi ya watu.Mkuu wewe utaishi humo baadae?
Ikiwa wenyewe hawahangaiki kuishi na hayo maji ya kafini wewe ambae hautakuwepo unahangaika nini mkuu
Acha kuumia kwa vitu ambavyo havitakuhusu moja kwa moja
Utoto tu kujufanya kujua kumbe hamna kituHaache na umbea kusema na kuchunguza ya watu, kutoa Siri kitu si kitu, ungekuwa ps Kama Mimi ungesema mengi ya watu.