Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Na baada ya kusakafiwa mke wa marehemu au ndugu wa karibu atakaa juu yake..

Na ww uache ku expose mila za watu
Sio mila ni Sheria za dini tu, mtu akioshewa ndani kwake ufukiwa hapo na unasakafia kama kawaida na hata tiles hukaa na maisha huendelea, ule ni uchafu kama uchafu mwingine.
 
Na sio warugulu wote wanafanya hvyo,mfano wale wa upande wa Mgeta ambako ukristo ndio umeshamiri zaidi sidhani kama wanafanya hivyo,hivyo hiyo inawezekana sio mila halisi ya kirugulu na ndio maana wa upande huo hawamtendei marehemu wao hivyo
Watu wa Mgeta hawana hiyo kwa kuwa wameathiriwa na ukristu. lakini hata mazishi ya sasa sio sawa na yalivyokuwa kabla ya athari zote za ukristu na uislam
 
Ni kweli, hiyo Mila IPO!

Ni kawaida Sana huko milimani!
Sema Tu watu siku hizi wameweka floor za cement na tiles!
 
Basi lala kitoto cha babu. Usiku nitakubembekeza

Wanipa rahaaa, dunia yote naiona yangu...

Wanipa rahaa, usingizi wangu Big Sam 💕

Kwako sifurukuti, natii bila shuruti...

Alontangulia (Bibi Sky) namtambua, heshima yake nampa.... ila asinizuie penzi langu kukupa.....

Chukua, chukua Babuu chukuaaaa, yote yakoo....😅😅😅😜😜😜😜.

Kasie Mahaba Matata.
 
Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti

Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
WTF..damn!
 
Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti

Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Manina zao
 
Wanipa rahaaa, dunia yote naiona yangu...

Wanipa rahaa, usingizi wangu Big Sam 💕

Kwako sifurukuti, natii bila shuruti...

Alontangulia (Bibi Sky) namtambua, heshima yake nampa.... ila asinizuie penzi langu kukupa.....

Chukua, chukua Babuu chukuaaaa, yote yakoo....😅😅😅😜😜😜😜.

Kasie Mahaba Matata.
Hii comment nimeisevu kwa ajili ya matumizi ya baadae.

Babu navopenda kupendwa sasa....

Na navyopenda misifa sasa


Ngoja nigonge K Vant wakati narudia kuisoma
 
Hii comment nimeisevu kwa ajili ya matumizi ya baadae.

Babu navopenda kupendwa sasa....

Na navyopenda misifa sasa


Ngoja nigonge K Vant wakati narudia kuisoma

Aahahahahaaa....!!

Nasinzia nikikuwaza ooohhh....!

Malabuku zako, unaacha kugonga Ka Matata unagonga K Vant....

wivu umenishika maeneo nyetii 😜😜😜😅
 
Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.

Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?

Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?

Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?

Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.

Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
🤣😂😅😆.....
 
Aahahahahaaa....!!

Nasinzia nikikuwaza ooohhh....!

Malabuku zako, unaacha kugonga Ka Matata unagonga K Vant....

wivu umenishika maeneo nyetii 😜😜😜😅
Usiende mbali namiii, mimi bado nakupenda


Wanatimua mavumbi sisi twalaaaa

Wanataka mapinduzi, na mapinduzi hawayaweziiiii

Wigowaaaan
 
Kuwa na akili,
Punguza "personal attack"
Jibu hoja bila kumu-attack mtu.

Ufuo ni kinyesi kinachokamuliwa kutoka ndani na sio usafi wa nje wa maiti ambao hutolewa kwa kukamuliwa.

Sasa Mungu anashida gani na kinyesi cha ndani ya tumbo lako baada ya wewe kufa?

#YNWA
 
Mkuu wewe utaishi humo baadae?

Ikiwa wenyewe hawahangaiki kuishi na hayo maji ya kafini wewe ambae hautakuwepo unahangaika nini mkuu

Acha kuumia kwa vitu ambavyo havitakuhusu moja kwa moja
Haache na umbea kusema na kuchunguza ya watu, kutoa Siri kitu si kitu, ungekuwa ps Kama Mimi ungesema mengi ya watu.
 
Back
Top Bottom