Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti

Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Dah!
 
Mtoa mada acha uzwazwa, mtu kuoshwa ni taratibu ya lazima kwa muislam yoyote atayekufa na maiti yake kupatikana. Kuna heshima ya kumtendea marehemu haswa akiwa alikua na nyumba yake mwenyewe ambayo moja wapo ni kuoshewa nyumbani kwake nai inapendeza wakati kumuosha kama ni nyumbani lichimbwe shimo ili maji yatoyotokana na kuosha yaingie na kuyafukia kazi inapomalizika iwapoitashindikana basi unawekwa mchanga mfano wa beseni kuzunguka sehemu anayooshewa kisha wanafukia na kuzoa ule mchanga.

Sasa kama mtu nyumba ni yako kuna ubaya gani mtu ananyumba yake amefia nyumbani watu wakachimba shimo ili kutimiza sharti la marehemu kuoshwa!? Tena wengine huwa wanaandaa kabisa sehemu ambayo itafanyika hiyo shughuri.

Masharti ya uislam kwa mtu mwenye imani ya kiislam akifa ni Kuosha, kuvishwa sanda, kusaliwa na Kuzikwa. Katika kuosha ndio kuna kitendo cha kukafini ili kuondoa uchafu uliopo tumboni na sio lazima uchafu utoke ila kuoshwa ni lazima.

Sio vizuri kupotosha kitu ambacho hauna elimu nacho kama wewe ni mpenda nasaba basi usiwapangie watu namna ya kuagana na wapendwa wao kwa vile wewe unaogopa chumba alichooshewa marehemu.
Sasa Kapotosha nini hapo mbona umepita mule mule...

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Leo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.

Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.

Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.

Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)

Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
Ujinga wako umekosa pakuupeleka pumbafu wew?
 
Hata wakristo wanaoshwa na kusafishwa mavi,usaha,damu na uchafu mwingine.Wapo watu wakifa,wanajinyea.Wengine wanajikojolea,bila kuoshwa unafikiri mngweza kuaga au kumuombea.Ni kwa vile wakristo,wanawalipa watu maalumu wa kutisha,ndio hawajui hilo.
Kinachoongelewa ni kakamua mtu mavi. Siyo huo uchafu unaousema tunaujua, na tunajua kama mtu akifa unatoka wenyewe.
Acha kupindisha pindisha maneno.
 
Hawa watu waliletewa dini wakmeza namazingira ya didni yasiyoendana na mazingira yao:
Kuosha kwa kumkamua marehemu: Hii ilitokana na mazingira ya waanzilishi wa dini ambapo kutokana na haliya hewa yao mwili ukiwa na bacteria wengi unaweza kuoza haraka, kinyesi kikiwa tumboni ni host wa bacteria.

Kuzika haraka pia ilitokana na mazingira ya joto ambapo mwili hauwezi kukaa mda mrefu na ukizingatia kuwa wakati huo hakukuwa na refridgeration technology
Visingizio vya kushambulia dini za wenzenu vyengine huwa vya ajabu sana. Hivyo vya kuvisha masuti wakati wa kuzika ndiyo vya dini yenu ya asili?

Kwani ukiweka maiti hata mwezi mmoja ndiyo atarudia kuwa hai? Na hiyo refrigeration technology si inakuwepo mjini tu mpaka hii leo?
 
Leo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.

Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.

Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.

Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)

Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
Unaongelea mila na tamaduni za makabila ya wenzako....ukishamaliza hebu tupandishie uzi wa mila na tamaduni za kabila lako kwani hwenda ninyi ni viumbe wa kutoka sayari ya Mars 🤣🤣
 
Visingizio vya kushambulia dini za wenzenu vyengine huwa vya ajabu sana. Hivyo vya kuvisha masuti wakati wa kuzika ndiyo vya dini yenu ya asili?

Kwani ukiweka maiti hata mwezi mmoja ndiyo atarudia kuwa hai? Na hiyo refrigeration technology si inakuwepo mjini tu mpaka hii leo?
🤣
 
Duh... kumbe Mleta hoja kasema ukweli. Mi nilidhani anatania..

Kwahiyo hayo mavi wanayatoaje?

Mtoa mada hajaongea ukweli wowote hapo!mwanadamu mwenye imani ya kiislam anapofariki inatakiwa aoshwe,kukafiniwa (kuvishwa vazi la sanda) ,kusaliwa na mwisho kabisa kuzikwa.Katika tendo la kuosha muoshaji ataminya tumbo la marehemu kama kuna uchafu utoke kwa sababu maiti ya kiislam inapokelewa ndani ya kaburi na watu 3,5 au witiri yoyote ile kulingana na ukubwa wa kaburi!hivyo basi kama marehemu viungo vyake vitakua havina ushirikiano sababu ya kua maiti,wakati watu wanampokea kwenye mwana ndani uchafu unaweza kutoka na kutoa harufu hivyo ikawa kama amedhalilika,kiufupi hiyo ni ustaarabu na wala haina ulazima kumkamua mavi!!na neno kukafini maana yake ni kumvika sanda na si kukamua mavi..
 
Visingizio vya kushambulia dini za wenzenu vyengine huwa vya ajabu sana. Hivyo vya kuvisha masuti wakati wa kuzika ndiyo vya dini yenu ya asili?

Kwani ukiweka maiti hata mwezi mmoja ndiyo atarudia kuwa hai? Na hiyo refrigeration technology si inakuwepo mjini tu mpaka hii leo?
Acha kuishambulia na kuidharau hiyo imani ya watu, unapaswa kujua kuwa si kweli kuwa wasio waislam wote wanavalisha suti marehemu, na sikweli kuwa wooote huchelesha kuzika:myopic. cha msingi ni kuwa kinachokuwa practiced na uislam ni mila za waarabu
 
Acha kuishambulia na kuidharau hiyo imani ya watu, unapaswa kujua kuwa si kweli kuwa wasio waislam wote wanavalisha suti marehemu, na sikweli kuwa wooote huchelesha kuzika:myopic. cha msingi ni kuwa kinachokuwa practiced na uislam ni mila za waarabu
Sasa hapo aliyedharau imani ya wenzake ni nani? Kwa hivyo nyinyi munaona kila kitu kinachofanywa na waisilamu kinatokana na waarabu lakini vya kwenu vinatokana na mila zenu. Kama huzijui mila za watu ni vyema uombe kueleweshwa kuliko kufanya conclusions zako mwenyewe.

Hata na wewe uko myopic vile vile kwa kufanya conclusions zisizokuwa na mashiko.
 
Mtoa mada acha uzwazwa, mtu kuoshwa ni taratibu ya lazima kwa muislam yoyote atayekufa na maiti yake kupatikana. Kuna heshima ya kumtendea marehemu haswa akiwa alikua na nyumba yake mwenyewe ambayo moja wapo ni kuoshewa nyumbani kwake nai inapendeza wakati kumuosha kama ni nyumbani lichimbwe shimo ili maji yatoyotokana na kuosha yaingie na kuyafukia kazi inapomalizika iwapoitashindikana basi unawekwa mchanga mfano wa beseni kuzunguka sehemu anayooshewa kisha wanafukia na kuzoa ule mchanga.

Sasa kama mtu nyumba ni yako kuna ubaya gani mtu ananyumba yake amefia nyumbani watu wakachimba shimo ili kutimiza sharti la marehemu kuoshwa!? Tena wengine huwa wanaandaa kabisa sehemu ambayo itafanyika hiyo shughuri.

Masharti ya uislam kwa mtu mwenye imani ya kiislam akifa ni Kuosha, kuvishwa sanda, kusaliwa na Kuzikwa. Katika kuosha ndio kuna kitendo cha kukafini ili kuondoa uchafu uliopo tumboni na sio lazima uchafu utoke ila kuoshwa ni lazima.

Sio vizuri kupotosha kitu ambacho hauna elimu nacho kama wewe ni mpenda nasaba basi usiwapangie watu namna ya kuagana na wapendwa wao kwa vile wewe unaogopa chumba alichooshewa marehemu.
vp kuhusu kuwekewa maji na kinyesi mkuu da mbona ni hatari mi huwa napendaga sana kula misibani kwenye bufee lakini
 
Mmh hapana kwa kweli kama mambo yenyewe ndo haya na nyumba uhame kabisaaaaaa tena nenda mbali na hapo ikiwezekana hama mkoa,mambo gani ss haya!
haya mambo ya kununua nyumba mjini unaweza kuuziwa nyumba yenye makafini ndani ukalala chumba chenye mavi miaka hata 50
 
Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.

Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?

Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?

Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?

Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.

Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Hakuna atakayekuelewa japo akili ikitumika vyema kuna mambo ikiwemo hili ulilolipigia kelele, mtu hawezi fanya hata siku moja.
 
Ulikuja bila mavi
Utaondoka bila.mavi.

Unaacha kila kitu duniani, unaondoka super empty
Yale wanayo achiaga watoto wachanga wanapozaliwa huwa yanatoka wapi au huwa wanakula kwanza ndiyo wanajisaidia?
 
Back
Top Bottom