James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Sema wallahNilipata kusikia, maji hayo ya ufuo yakichanganywa na ya kupikia. Ukala huo msosi, kama ulihusika na kifo cha marehem kwa namna yoyote ile.....unakwenda na maji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wallahNilipata kusikia, maji hayo ya ufuo yakichanganywa na ya kupikia. Ukala huo msosi, kama ulihusika na kifo cha marehem kwa namna yoyote ile.....unakwenda na maji.
Ya Lesotho ipo overrated mkuu, kuna mpepe upo Uyui Tabora huko, Wiz Khalifa na Snoop Dogg wakiutumia tu tunawapoteza[emoji23]Mkuu Hii Bangi Uliyovuta Itakua Ni ile ya Lesotho
Mtoto akiwa tumbon hali wala hapumui ivo hana kinyesi. Huishi kwa kutegemea mzunguko wa damu wa mama ambao humpa chakula (nutrients) na hewa(oxygen) pia kuondoa wastes vitu ambavo viko in molecular form kupitia umbrical cord au kitovu hivo haiwez tengneza kinyes ata cku moja pia kwa kukuongezea mtoto anahitaj kulia anapzaliwa ili kuboost mapafu yake kwakua yalikua inactive akiw tumbon sababu mle hapumuiHakuna binadamu anae kuja duniani pasina kinyesi tumboni.
Nmekupa tu elimu mkuu japo mi sisapoti mambo ya kukamua haja kubwa maiti sioni umuhimu wa ilo otherwise dead body ina tatizo litalohtaj kufanyike ivo kutokana na type ya deathHakuna binadamu anae kuja duniani pasina kinyesi tumboni.
Ajabu. Wao wenyewe wamekubaliana na hilo jambo.Kinachokutisha hapo
ni kipi mvulana wa Kino
ndoni?
Nakuunga mkono mkuu hapa ndo tatizo la wenzetu lilipo hawatumii logic wanais imani ni kufuata kila walilofanya waliowaletea ndo itawapeleka mbinguni uku wakiwa wanajitoa muhanga kuua wengine. Na pia kwa ufaam wangu hua binadam mioyoni tunweza kili kua apa nakosea lakin huwa hatupend kuweka kukiri pale tutapokosolewa kwa kua tutaonekana kana kwamba hatuna akili. Tukiyaweza haya nadhan maisha yatakua mepesi sanaNdio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!
Ivi dini ya haki haijazungumzia kwa upande wa wanawake waliotenda mema duniani kukuta miamba rijali 70 inawasubiri?Sasa ndo unapaswa kukiacha ili ukienda kupewa mabikra 70 uwe msafi yaani hata ushuzi unauacha duniani usije ukawatess mabebez na makande yako ya duniYani
Ptuuuuuuh...!Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Nyuzi zingine ni kwa ajili ya watu wapumbavu kutoa yaliyo vichwani mwao.mmh,kwanini nimefungua huu uzi
IPATE HII:Ulikuja bila mavi
Utaondoka bila.mavi.
Unaacha kila kitu duniani, unaondoka super empty
Inaitwa ''Ngama'' nyieni kuleni hovyo tuJamani tunatapishana huku [emoji25][emoji25] lengo hasa ni nini kuchanganya na maji ya kupikia?? Mmh
[emoji23]Mtoa mada acha uzwazwa, mtu kuoshwa ni taratibu ya lazima kwa muislam yoyote atayekufa na maiti yake kupatikana. Kuna heshima ya kumtendea marehemu haswa akiwa alikua na nyumba yake mwenyewe ambayo moja wapo ni kuoshewa nyumbani kwake nai inapendeza wakati kumuosha kama ni nyumbani lichimbwe shimo ili maji yatoyotokana na kuosha yaingie na kuyafukia kazi inapomalizika iwapoitashindikana basi unawekwa mchanga mfano wa beseni kuzunguka sehemu anayooshewa kisha wanafukia na kuzoa ule mchanga.
Sasa kama mtu nyumba ni yako kuna ubaya gani mtu ananyumba yake amefia nyumbani watu wakachimba shimo ili kutimiza sharti la marehemu kuoshwa!? Tena wengine huwa wanaandaa kabisa sehemu ambayo itafanyika hiyo shughuri.
Masharti ya uislam kwa mtu mwenye imani ya kiislam akifa ni Kuosha, kuvishwa sanda, kusaliwa na Kuzikwa. Katika kuosha ndio kuna kitendo cha kukafini ili kuondoa uchafu uliopo tumboni na sio lazima uchafu utoke ila kuoshwa ni lazima.
Sio vizuri kupotosha kitu ambacho hauna elimu nacho kama wewe ni mpenda nasaba basi usiwapangie watu namna ya kuagana na wapendwa wao kwa vile wewe unaogopa chumba alichooshewa marehemu.
[emoji23] ILLOGICAL KABISAKutoa mavi kwenye maiti. Hii inahitaji mjadala mpana. Yani unamtoa mavi afu unamzika anaenda kuoza na kuliwa na funza...
@LikwandaHuu Uzi umejaa upotoshaji. Kwanza Kukafini ni kumvisha Sanda maiti. Lakin pia kwenye uislam hakuna hiyo mnaita kumkamua maiti mavi
[emoji23]Ushaambiwa mavi lazima yabaki. Usichoelewa nn? Kama huelew kausha mbona mnakula Nguruwe watu wamekausha tu
Hasa mavi ya waziguaHapo ndipo utakapojua nguvu ya mavi
@mgen hajui hiliMkuu niamini mimi waisalamu wanakamua uchafu maiti wala hili halihitaji mjadala na hata ukitaka vitabu vyao vya dini vimeruhusu jambo hili kimojawapo kinaitwa MKWELI MWAMINIFU - JUZUU YA PILI.
Kinasema " anayemuosha maiti sharti amkamue hadi utoke uchafu wote tumboni mwake"
Huyo anayebisha aje hapa akanushe,ni hadithi sahihi za mtume.