Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na ndizi kabisaMtafanya watu wasile msibani aisee. Wadau wanabebaga na kachumbari wakienda msibani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] na ndizi kabisaMtafanya watu wasile msibani aisee. Wadau wanabebaga na kachumbari wakienda msibani!
Aisee!Leo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.
Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.
Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.
Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)
Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
Umewahi jiuliza watu wenye kuujua ulimwengu wa roho kwanini wanataka sana maji wa maiti ? Umewahi jiuliza kwanini sindano uliyotumika kushona sanda inauzwa bei mbaya kwenye duka la tiba asili? . Katika ulimwengu wa Roho jamii ya Mkoa wa Morogoro inaamini kuwa Kubaki kwa Ufuo wa marehemu pale maana yake Nguvu na Mamlaka zake zipo hapoLeo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.
Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.
Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.
Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)
Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
Hata wakuja huwa wanajifunza ya hovyo wanaachana nayo. Ajabu kung'ang'ania taratibu za kiwendawazimu.!Hahahahaha, na kabla ya ku flush na maji yenyewe haya DAWASA au kwenu wapi wewe?
Ni vyema kuwa umekiri kuna shimo unajiwekea mwenyewe, au ni ndoo?
Sasa jifikirie, ipi bora, shimo la chini ya ardhi, uchafu unawekwa mule, mkimaliza kuiosha maiti, linafukiwa na panasakafiwa kama palivyokuwa zamani, na mashonde mnayo lala nayo kutwa kucha siku maji ya kigoma?
Halafu nyie wakuja huko kwenu hata vyoo hamvijui, mnakwenda kuchimba dawa tu. Mnataka kusema nini nyinyi? Mnasema Waluguru, semeni na nyinyi kwenu wapi mjiumbuwe wenyewe hapa.
Ajabu sana. Kuna jamaa alidai wanaozikwa kwenye jeneza hawataweza kufufuka.Ndio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!
Mungu huyu ana wivu mpaka na maiti!?Unajua masuala ya dini ni mapana sana,ingawa watu wameficha ukweli ili watu wasijue,Musa hakuzikwa na jeneneza sababu sheria ya Mungu hairuhusu mtu kuzikwa na jeneza,Mafirauni wala waovu ndiyo waliokuwa wanazikwa na majeneza.Sasa utachagua utakuwa upande upi?
Nilipata kusikia, maji hayo ya ufuo yakichanganywa na ya kupikia. Ukala huo msosi, kama ulihusika na kifo cha marehem kwa namna yoyote ile.....unakwenda na maji.Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Kwa hiyo umechukia kabila lako kutajwa!? Kimbia uzi.Unaongelea mila na tamaduni za makabila ya wenzako....ukishamaliza hebu tupandishie uzi wa mila na tamaduni za kabila lako kwani hwenda ninyi ni viumbe wa kutoka sayari ya Mars 🤣🤣
Mkuu Hii Bangi Uliyovuta Itakua Ni ile ya LesothoAchana na mawazo ya kipumbavu. Mungu hayupo.
Na hata kama angekuwepo basi lakini ametoa maagizo ama maelekezo ya kise.ngerema kama hayo siwezi kua mfuasi wake.
Wewe aliekwambia mungu ameniumba ni nani? Alikuja mkaongea nae akakwambia kwamba ndie alieniumba?
Hivyo vitisho mnapeana nyie mataahira na wafuasi wake mnaoogopa kitu kisichokuwepo.
Imani hiziNilipata kusikia, maji hayo ya ufuo yakichanganywa na ya kupikia. Ukala huo msosi, kama ulihusika na kifo cha marehem kwa namna yoyote ile.....unakwenda na maji.
Huu ndio ukweli, kama hutaki endelea na ujinga wakokila kitu kinachofanywa na waisilamu kinatokana na waarabu
Pitia pale kwa mangi upate kilo moja na chupa tano, nitalipaAchana na mawazo ya kipumbavu. Mungu hayupo.
Na hata kama angekuwepo basi lakini ametoa maagizo ama maelekezo ya kise.ngerema kama hayo siwezi kua mfuasi wake.
Wewe aliekwambia mungu ameniumba ni nani? Alikuja mkaongea nae akakwambia kwamba ndie alieniumba?
Hivyo vitisho mnapeana nyie mataahira na wafuasi wake mnaoogopa kitu kisichokuwepo.
Mjinga ni wewe unayeamini vitu ambavyo huna uthibitisho navyo.Huu ndio ukweli, kama hutaki endelea na ujinga wako
Wewe utajuta hapa mungu hatokuacha salama umemkwaza pakubwa sanaMkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Mpigie simu mkuu, hajaona ama hajasoma na najua hata kusoma hajui. Mpigie umwambie kua nimemtukana.Wewe utajuta hapa mungu hatokuacha salama umemkwaza pakubwa sana
Ya rabbi ndio nani mkuu?Kuna watu mtakuja kujuta sana Siku ya mwisho..... Kutokumuamini mungu haitoshi unaamua kumtukana kabisa......Ya rabbi tunusuru
View attachment 2217235
Aiseee pole SanaMpigie simu mkuu, hajaona ama hajasoma na najua hata kusoma hajui. Mpigie umwambie kua nimemtukana.
Aninusuru na mashetani watu kama assasinYa rabbi ndio nani mkuu?
Mshauri ajinusuru mwenyewe kaba hujamuomba akunusuru.
Anakunusuru na nini sasa?
@Mshana Jr tufafanulie hapa tafadhaliUmewahi jiuliza watu wenye kuujua ulimwengu wa roho kwanini wanataka sana maji wa maiti ? Umewahi jiuliza kwanini sindano uliyotumika kushona sanda inauzwa bei mbaya kwenye duka la tiba asili? . Katika ulimwengu wa Roho jamii ya Mkoa wa Morogoro inaamini kuwa Kubaki kwa Ufuo wa marehemu pale maana yake Nguvu na Mamlaka zake zipo hapo