Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Chamsingi ni kutosakafia chumba chote unaacha sehemu ya kukamuliwa nnya
 
Usiende mbali namiii, mimi bado nakupenda


Wanatimua mavumbi sisi twalaaaa

Wanataka mapinduzi, na mapinduzi hawayaweziiiii

Wigowaaaan

Aahahahaahahahahahaaaa Wigowaaaan 😍😍😍

Asikwambie mtuuu tuu tuuu

Babuuu ni faaayaaaaa 😜😜😜😜

Yalaitiiii, nakupenda pasi kifaniiiii.....
Tafautiiii, sikutiliii moyoniiiii.....
Sikuachiiiiii, leo na kesho peponiii.....

Aaahhh aaahhhh aaahhhhaaa Aiiilaaavyuuuuu Big Sam 🥰🥰🥰🥰.
 
Jamaa yupo sahihi,kukafini ni kumtoa mavi Marehemu,nimesoma Islamic knowledge. Wanampigisha mpaka mswaki Marehemu kwa kidole

Hilo neno ni la kiarabu na kumuandaa marehemu ni tofauti
Kama Kafan limetumika kiswahili kama kumtoa kinyesi au uchafu ok
Ila kafan ni ile nguo inayoandaliwa kumfunga marehemu (sanda)

Unaweza kuwa sahihi kwa maana ya kiswahili ila neno hilo limetumika tofauti au limepotoshwa na walioandika
 
Hii ni kwa waislamu wote..mzee sio wazigua..
 
Unamzungumzia mungu yupi unae dai hana akili unayo sema?
 
Mkuu wanatumia maji ya moto kiasi(vuguvugu).Wanakuwa na mafuta ya taa ili kukata harufu,maji ya moto yanasaidia kuuweka mwili katika hali ya kutokakamaa,sio utani,kama wanabisha waje hapa wakanushe.
We ntu wa dili
 
Halafu eti wanadai 'imeteremshwa' na eti ni dini isiyo na shaka ndani yake!
 
Acha kudanganywa,hakuna kitu kama hicho,mbona wakristo mko wepesi kudanganywa mkadanganyika.Ndio maana,mkaamini mkombozi wentu,alipigwa na kusulubiwa,vipi ashindwe kujikomboa mwenyewe kwenye kipigo na kusulubiwa,aje akukombowe wewe.
Unachopinga ndio msingi wa imani ya kikristo wala hauna jipya ndugu,ni kama wewe unavyoamini kukamuana mavi ni sahihi na sisi wakristo tunaona ni uhayawani tu lakini kwenu ni MSINGI!
 
Waulize mitume wa Mwenyezi Mungu,na swali jingine Yesu alizikwa na jeneza?
Ndio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!
 

Ina kuhusu au kukuathiri chochote?
 
Unachopinga ndio msingi wa imani ya kikristo wala hauna jipya ndugu,ni kama wewe unavyoamini kukamuana mavi ni sahihi na sisi wakristo tunaona ni uhayawani tu lakini kwenu ni MSINGI!
Hata wakristo wanaoshwa na kusafishwa mavi,usaha,damu na uchafu mwingine.Wapo watu wakifa,wanajinyea.Wengine wanajikojolea,bila kuoshwa unafikiri mngweza kuaga au kumuombea.Ni kwa vile wakristo,wanawalipa watu maalumu wa kutisha,ndio hawajui hilo.
 
Ndio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!
Unajua masuala ya dini ni mapana sana,ingawa watu wameficha ukweli ili watu wasijue,Musa hakuzikwa na jeneneza sababu sheria ya Mungu hairuhusu mtu kuzikwa na jeneza,Mafirauni wala waovu ndiyo waliokuwa wanazikwa na majeneza.Sasa utachagua utakuwa upande upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…