Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Shishi hawez tufanyia huo uchafuUtawaonaje sasa?
Mfano huko wanaweka kwenye ndoo kisha wanamimina kwenye masofuria utajuaje sasa na wanaume marufuku kukaa jikoni ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shishi hawez tufanyia huo uchafuUtawaonaje sasa?
Mfano huko wanaweka kwenye ndoo kisha wanamimina kwenye masofuria utajuaje sasa na wanaume marufuku kukaa jikoni ndugu?
Chamsingi ni kutosakafia chumba chote unaacha sehemu ya kukamuliwa nnyaLeo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.
Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.
Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.
Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)
Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
[emoji28]Akili yako ni sawa na ya mungu wako.
Wewe mtu yoyote anaeponda dini yenu na mungu wenu wa qiquma lazima awe mkiristo?
Huwezi kua na akili timamu ukawa mfuasi wa huyo mungu.
Usiende mbali namiii, mimi bado nakupenda
Wanatimua mavumbi sisi twalaaaa
Wanataka mapinduzi, na mapinduzi hawayaweziiiii
Wigowaaaan
Jamaa yupo sahihi,kukafini ni kumtoa mavi Marehemu,nimesoma Islamic knowledge. Wanampigisha mpaka mswaki Marehemu kwa kidoleUmeamua kupotosha tu au hujui maana ya kukafini?
Kumfunga sanda marehemu ndio kumkafini (shroud)
Kakafini, ni kumvisha sanda. Kuosha hujumuisha na kumkamua kinyesi mkuu.Jamaa yupo sahihi,kukafini ni kumtoa mavi Marehemu,nimesoma Islamic knowledge. Wanampigisha mpaka mswaki Marehemu kwa kidole
Jamaa yupo sahihi,kukafini ni kumtoa mavi Marehemu,nimesoma Islamic knowledge. Wanampigisha mpaka mswaki Marehemu kwa kidole
Hii ni kwa waislamu wote..mzee sio wazigua..Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Unamzungumzia mungu yupi unae dai hana akili unayo sema?Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Hakuna binadamu anae kuja duniani pasina kinyesi tumboni.Ulikuja bila mavi
Utaondoka bila.mavi.
Unaacha kila kitu duniani, unaondoka super empty
We ntu wa diliMkuu wanatumia maji ya moto kiasi(vuguvugu).Wanakuwa na mafuta ya taa ili kukata harufu,maji ya moto yanasaidia kuuweka mwili katika hali ya kutokakamaa,sio utani,kama wanabisha waje hapa wakanushe.
HatariHii ni kwa waislamu wote..mzee sio wazigua..
Halafu eti wanadai 'imeteremshwa' na eti ni dini isiyo na shaka ndani yake!Mkuu upumbavu bado ni tatizo kubwa sana nchini.
Kwani mtu akifa na akazikwa akiwa na mavi huko mbinguni huyo mungu hataki mavi ama hakuna vyoo vya kunya huko mbinguni?
Je hayo mavi akifa anaenda nayo ama yanafukiwa tu ardhini? Kwa mfano mtu akimezwa na samaki na mavi yake, mungu anafanyaje ama anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi? Ama akiliwa na mamba na mavi yake, je mungu anamkataa kwamba hajakamuliwa mavi?
Ama mtu akiungua na moto ama akilipuliwa na bomu akateketea kabisa ama akaenda na maji akafariki na mwili wake usipatikane, je mungu anawafanyaje watu wa hivyo, anawakataa kwamba hawakukamuliwa mavi?
Dini nyingine bwana, halafu unaambiwa hayo maelekezo yamendikwa na mungu ambae inasemekana ana akili na uwezo kuliko binadamu halafu anaandika uharo kama huo.
Dini+mila na desturi za kipumbavu zinaonyesha kabisa huyo mungu nae hana akili kabisa.
Unachopinga ndio msingi wa imani ya kikristo wala hauna jipya ndugu,ni kama wewe unavyoamini kukamuana mavi ni sahihi na sisi wakristo tunaona ni uhayawani tu lakini kwenu ni MSINGI!Acha kudanganywa,hakuna kitu kama hicho,mbona wakristo mko wepesi kudanganywa mkadanganyika.Ndio maana,mkaamini mkombozi wentu,alipigwa na kusulubiwa,vipi ashindwe kujikomboa mwenyewe kwenye kipigo na kusulubiwa,aje akukombowe wewe.
Ndio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!Waulize mitume wa Mwenyezi Mungu,na swali jingine Yesu alizikwa na jeneza?
Leo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.
Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.
Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.
Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)
Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
Hata wakristo wanaoshwa na kusafishwa mavi,usaha,damu na uchafu mwingine.Wapo watu wakifa,wanajinyea.Wengine wanajikojolea,bila kuoshwa unafikiri mngweza kuaga au kumuombea.Ni kwa vile wakristo,wanawalipa watu maalumu wa kutisha,ndio hawajui hilo.Unachopinga ndio msingi wa imani ya kikristo wala hauna jipya ndugu,ni kama wewe unavyoamini kukamuana mavi ni sahihi na sisi wakristo tunaona ni uhayawani tu lakini kwenu ni MSINGI!
Sasa ndo unapaswa kukiacha ili ukienda kupewa mabikra 70 uwe msafi yaani hata ushuzi unauacha duniani usije ukawatess mabebez na makande yako ya duniYaniHakuna binadamu anae kuja duniani pasina kinyesi tumboni.
Unajua masuala ya dini ni mapana sana,ingawa watu wameficha ukweli ili watu wasijue,Musa hakuzikwa na jeneneza sababu sheria ya Mungu hairuhusu mtu kuzikwa na jeneza,Mafirauni wala waovu ndiyo waliokuwa wanazikwa na majeneza.Sasa utachagua utakuwa upande upi?Ndio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!