Waluguru wanafukia ufuo wa maiti chumbani

Aisee!
 
Umewahi jiuliza watu wenye kuujua ulimwengu wa roho kwanini wanataka sana maji wa maiti ? Umewahi jiuliza kwanini sindano uliyotumika kushona sanda inauzwa bei mbaya kwenye duka la tiba asili? . Katika ulimwengu wa Roho jamii ya Mkoa wa Morogoro inaamini kuwa Kubaki kwa Ufuo wa marehemu pale maana yake Nguvu na Mamlaka zake zipo hapo
 
Hata wakuja huwa wanajifunza ya hovyo wanaachana nayo. Ajabu kung'ang'ania taratibu za kiwendawazimu.!
 
Ndio maana tunaona kuna walakini kwenye vichwa vyenu yaani unataka tuamini kuzikwa bila jeneza au na jeneza kunakupeleka mbinguni? Hizo ni taratibu za kibinadamu tu.Waarabu wamewafanya muamini hata katika mambo ya hovyo!
Ajabu sana. Kuna jamaa alidai wanaozikwa kwenye jeneza hawataweza kufufuka.
 
Mungu huyu ana wivu mpaka na maiti!?
 
Nilipata kusikia, maji hayo ya ufuo yakichanganywa na ya kupikia. Ukala huo msosi, kama ulihusika na kifo cha marehem kwa namna yoyote ile.....unakwenda na maji.
 
Unaongelea mila na tamaduni za makabila ya wenzako....ukishamaliza hebu tupandishie uzi wa mila na tamaduni za kabila lako kwani hwenda ninyi ni viumbe wa kutoka sayari ya Mars 🤣🤣
Kwa hiyo umechukia kabila lako kutajwa!? Kimbia uzi.
 
Mkuu Hii Bangi Uliyovuta Itakua Ni ile ya Lesotho
 
Pitia pale kwa mangi upate kilo moja na chupa tano, nitalipa
 
Wewe utajuta hapa mungu hatokuacha salama umemkwaza pakubwa sana
 
@Mshana Jr tufafanulie hapa tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…