Mluguru hana tamaduni ya kukamua mavi kwa asili, hii imekuja baada ya kuiteract na waislamu ambao tamaduni zao ziko visible kwa kiasi kikubwa uluguruniMimi pia nashangaa, point ya kumkamua mavi ni nini, akizikwa na hayo mavi kuna madhara gani! Naona ni upumbavu tu.
Vipi Uislam unataka maiti ikamuliwe kabla ya kuzika?Mluguru hana tamaduni ya kukamua mavi kwa asili, hii imekuja baada ya kuiteract na waislamu ambao tamaduni zao ziko visible kwa kiasi kikubwa uluguruni
Ndio utaratibu wa kiislamu unaposikia kuosha maiti.Vipi Uislam unataka maiti ikamuliwe kabla ya kuzika?
Aaaah, sili tena chakula msibani. Kumbeee!!!!😠😠😠Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
KudadadekWana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Kuikosoa dini ni kumkosoa Mungu?HUOGOPI KUANDIKA DHIHAKA JUU YA MUNGU WETU MZEE????[emoji848][emoji848][emoji848]
NI YEYE ALIKUUMBA NA KUKUPA AKILI ZA KUJA KUMDHIHAKI NA KUMTUSI.
KUWA MAKINI NA KAULI ZAKO, HAKUNA ALIYEWAHI KUMDHIHAKI NA AKAPATA MATOKEO CHANYA. JITAHIDI UBONGO WAKO UUNGANIKANE NA ULIMI WAKO USIONGEE BILA KICHWA. ITAKUGHARIMU.
Hebu jibu hoja yake....Too primitive. Mpaka leo unapinga uwepo wa MUNGU.
MUNGU TUSAMEHE SANA, SISI NI WENYE MADHAIFU MENGI, HUKUTUUMBA KUWA WAKAMILIFU. HATUJUI TULITENDALO.
Ataamkaje na walishamkata koo na kumtuboa rectum ili wapate pa kupitisha maji masafi na outlet ya maviWaluguru noma!
Sasa wakimbinya sana huyo jamaa akiamka na kuwasihi wakabaji wake......."pole pole jamani mnaniumiza!."......
Si mbio hizo watu kutokea dirishani!
Niliishi nao hawa jamaa. Ila ukiangalia vizuri utagundua kuna kaushirikina kwenye huo utaratibuMmh aiseee....... kumbe hili jambo nikweli? Niliwahi kusikia ila nikapuuza nikadhani ni story za vijiwe vya Kahawa tu
Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana wengine hawalagi chakula cha msibani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Misiba ya Hizi jamii zenye tamaduni za kiarabu ndiyo ya kukwepa. Kwanza Unachinjaje maiti kwa hoja ya kumsafisha?!Jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana wengine hawalagi chakula cha msibani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwa hao tu, ni kawaida kwa waisilamu wengi hata makabila mengine.Leo nimehudhuria msiba wa waluguru nimeona mambo ya kushangaza naomba mnisaidie maelezo.
Mtu amefia nyumbani kwake tena chumbani kwake anapolala na mke wake.
Sasa kwakuwa marehemu ni muislam wameamua kupitia mila ya waluguru kumuosha mwili wake mulemule chumbani.
Kilichotokea wamechimba shimo mule chumbani kwake na ni nyumba ya smenti wametindua smenti mpaka kukawa na shimo halafu marehemu wakamkafini hapohapo kwenye shimo chumbani. (wasiojua maana ya kukafini ni kumtoa mavi marehemu kabla ya kumzika) walipomaliza kumkafini yale maji yakaachwa mulemule chumbani alipofia marehemu.
Nikauliza sasa hayo maji inakuwaje wakasema hiyo ni mila ya waluguru yani mtu anaacha wosia kabisa kwamba nikifa ufuo wangu uachwe humuhumu chumbani. (Ufuo ni mavi ya marehemu)
Sasa kitakachofanywa baadae eti pale patasakafiwa hivyohivyo na maji ya marehemu pamoja na kinyesi kilichotoka baada ya kukafiniwa.
ndio utaratibu wa kuosha maiti kwa waisalmuVipi Uislam unataka maiti ikamuliwe kabla ya kuzika?
Yaani Huwa nasikia hadi watu wanatishiana sijui siku ya kwanza kaburini kuna mateso kana kwamba Kila mtu Huwa anazikwa yaani.
Acha uongo.Kama ingekuwa wanafanya hivyo,wangeuguwa maradhi ya mlipuko.Umedanfanywa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji,ukadananyika.Wana mtindo mmoja na Wazigua. Sema wazigua ufuo wa mwisho huwa wanakinga wanachanganya na maji ya kupikia chakula cha msibani. Ukienda msiba wa Wazigua ukila chakula ujue umekunywa uharo wa maiti
Wanasema ni kujenga ushirika wa kudumu na mpendwa wao. Mimi sioni tatio. shida ni kwamba, kwanini wawalishe wahudhuriaji wote?! Walipaswa kula peke yao kama ndugu wa marehemu.
Sio kweli,usidanganywe,ukadanganyika,kama ingekuwa ni hivyo,maeneo hayo kungekuwa na maradhi ya mlipuko.Tumia akili,sio kila unalodanganywa unadanganyika.Misibani huwa tunalishwa vitu vya hovyo sana
Acha kudanganywa,ukadanganyika.Kama ingekuwa chakula kinachanganywa na kinyesi,maeneo hayo,kungekuwa na maradhi ya mlipuko,na pia wahusika wa Afya(bibi Afya na Bwana Afya),wangewafungulia mashtaka,wahusika.Tena usithubutu kunywa kale kauji kao. Hakyamama huwezi jua unakula kinyesi cha marehemu
Mbona Wakristo,mko wepesi,kudanganywa,mkadanganyika.Hakuna chakula kinachochanganywa na kinyesi.Kama ingekuwa hivyo,kungekuwa na magonjwa ya mlipuko,eneo hilo.Utawaonaje sasa?
Mfano huko wanaweka kwenye ndoo kisha wanamimina kwenye masofuria utajuaje sasa na wanaume marufuku kukaa jikoni ndugu?
Huwa nawaza sana izi story alafu nabaki kucheka tu yani binadamu tumebebeshwa mavitu ya hovyoNaamini Mungu Hana shida na kinyesi Cha mfu sijui haya mambo walitoa wapi Hawa watu wa dini.
Kwamba Mungu anashida na marehemu kuoshwa au kutooshwa sasa Marehemu akiliwa na Simba au kuzama baharini sijui itakuaje maana yake hafiki Mbinguni.?
Yaani Huwa nasikia hadi watu wanatishiana sijui siku ya kwanza kaburini kuna mateso kana kwamba Kila mtu Huwa anazikwa yaani.
Achana na mawazo ya kipumbavu. Mungu hayupo.HUOGOPI KUANDIKA DHIHAKA JUU YA MUNGU WETU MZEE????[emoji848][emoji848][emoji848]
NI YEYE ALIKUUMBA NA KUKUPA AKILI ZA KUJA KUMDHIHAKI NA KUMTUSI.
KUWA MAKINI NA KAULI ZAKO, HAKUNA ALIYEWAHI KUMDHIHAKI NA AKAPATA MATOKEO CHANYA. JITAHIDI UBONGO WAKO UUNGANIKANE NA ULIMI WAKO USIONGEE BILA KICHWA. ITAKUGHARIMU.
Mkuu ni gunia la mkaa, lumbesa😂Hio avatar yako [emoji23][emoji23]