Wamachinga kuwekwa kundi moja na wanawake watoto na walemavu ni matusi kwao

Wamachinga kuwekwa kundi moja na wanawake watoto na walemavu ni matusi kwao

Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu).

Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.

Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.

Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.

Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.

Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima
Kua uyaone. Ishi uyashuhudie.
 
Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu).

Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.

Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.

Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.

Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.

Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima
Umasikini ni zaidi ya ulemavu
 
Serikali haija watendea haki wamachinga kwa kuwaweka kwenye hii wizara

Kwa kuwa hii wizara imejikita Hasa kwenye maswala haya:

Jinsia- wanawake, LGBTQ (kulihudumia hili kundi Kwa Mambo mbalimbali)

Wazee - kupewa matunzo na kuishi vizuri.

Makundi Maalumu - kuwapatia mahitaji yao malemavu, hapa hata LGBTQ wanaingia tena kupewa huduma na mahitaji hao mbalimbali

Walitakiwa wa wekwe kwenye wizara ya viwanda na biashara

Kwa sababu wanasaidia kuuza bidhaa mbalimbali zinazalishwa viwandani, zikiwemo bidhaa za nje na ndani ni

SS mumewafanya wamachinga sio tena wafanya biashara, matatizo Yao ya kibiashara ya tatatuliwa kwenye madawati ya jinsia,wazee pamoja na walemavu

Hii inaonyesha jinsi gani serikali (taasisi ya ikulu) haina washauri wazuri
Machinga ni kundi Maalumu hakuna cha kujitetea.
 
Waziri wao Sasa na ulopofu (kuropokaropoka) wake watajuta.
 
Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu).

Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.

Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.

Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.

Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.

Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima
Nafikiri Wizara ya Kazi, Ajira, na Maendeleo ya Vijana ndiyo hasa inawahusu wamachinga. Katika maeneo yote inawagusa, suala la wao kujishighulisha na kazi zao za uchuuzi, ajira zao zisizokuwa rasmi katika sekta binafsi na pia fursa za maendeleo zilizopo kwao kwa kuwa wengi wao bado ni vijana.

Machinga tunawaona wakijibiidisha kutafuta maisha, ni vijana wenye nguvu na afya. Kamwe huwezi kuwaweka katika kundi maalum, yaani wao pia watambulike kama watu wenye "special needs". Hapana! Hapana! Hapana hata kidogo.

Ushauri mwingine unapaswa kuchujwa na wahusika kabla ya kupokelewa na kutamkwa hadharani. Hata fanani mwenyewe anapaswa kuwa na ufahamu mzuri wa mambo anayotaka kuyaongelea kabla ya kwenda hadharani na kutoa tamko kwa hadhira.
 
Serikali haija watendea haki wamachinga kwa kuwaweka kwenye hii wizara

Kwa kuwa hii wizara imejikita Hasa kwenye maswala haya:

Jinsia- wanawake, LGBTQ (kulihudumia hili kundi Kwa Mambo mbalimbali)

Wazee - kupewa matunzo na kuishi vizuri.

Makundi Maalumu - kuwapatia mahitaji yao malemavu, hapa hata LGBTQ wanaingia tena kupewa huduma na mahitaji hao mbalimbali

Walitakiwa wa wekwe kwenye wizara ya viwanda na biashara

Kwa sababu wanasaidia kuuza bidhaa mbalimbali zinazalishwa viwandani, zikiwemo bidhaa za nje na ndani ni

SS mumewafanya wamachinga sio tena wafanya biashara, matatizo Yao ya kibiashara ya tatatuliwa kwenye madawati ya jinsia,wazee pamoja na walemavu

Hii inaonyesha jinsi gani serikali (taasisi ya ikulu) haina washauri wazuri
Mkuu wamewekwa kwenye kundi hilo kwa maana ya kuwa na uangalizi wa karibu kwenye changamoto wanazopitia.
Lengo ni kuboresha utendaji kazi wao ili waongeze tija katika uchumi wao binafsi na taifa kwa ujumla.

Hawajawekwa hapo ili wapewe magongo, wheelchairs na fimbo za kutembelea vipofu.

Mbona simple tu.
 
Kwanini wasiwekwe kwenye wizara ya viwanda na biashara na uwekezaji
Yes... wangewekwa kundi maalum ndani ya wizara husika!
Lakini kwa speech ya leo ilivyojaa umimi; nadhani SSH anajishauri mwenyewe apate credit!
Hotuba yake ya leo imemharibia sana!
 
Hata wakiwekwa Wizara ya Ulinzi sawa tu. Hakuna kinachopungua au kuongezeka.
 
Point.

Mama angepita kwenye huu uzi angejifunza kitu.
Nafikiri Wizara ya Kazi, Ajira, na Maendeleo ya Vijana ndiyo hasa inawahusu wamachinga. Katika maeneo yote inawagusa, suala la wao kujishighulisha na kazi zao za uchuuzi, ajira zao zisizokuwa rasmi katika sekta binafsi na pia fursa za maendeleo zilizopo kwao kwa kuwa wengi wao bado ni vijana.

Machinga tunawaona wakijibiidisha kutafuta maisha, ni vijana wenye nguvu na afya. Kamwe huwezi kuwaweka katika kundi maalum, yaani wao pia watambulike kama watu wenye "special needs". Hapana! Hapana! Hapana hata kidogo.

Ushauri mwingine unapaswa kuchujwa na wahusika kabla ya kupokelewa na kutamkwa hadharani. Hata fanani mwenyewe anapaswa kuwa na ufahamu mzuri wa mambo anayotaka kuyaongelea kabla ya kwenda hadharani na kutoa tamko kwa hadhira.
 
Labda kwa sababu baadhi yao wana mitaji midogo ndio maana wakaonekana kama walemavu, serikali inawaona dhaifu kwenye kulipa kodi.

Ila kuna ukweli katika comment yako
Sasa mtu ana miaka 10 yuko hapo hapo anauza leso na yebo na kibanda hakiongezeki wala kupungua mradi yupo tu

Ndio maana nchi zingine wanapokea sana watu kutoka nchi zingine kwa sababu wanakuja na biashara za aina nyingi na kuendelea haraka sana
Najua wapo watakaobisha lakini angalia nchi zote wanaoshikilia uchumi ni watu wa asili tofauti na nchi waliopo

Wala sioni ajabu kwa hilo
 
Back
Top Bottom