Wamachinga kuwekwa kundi moja na wanawake watoto na walemavu ni matusi kwao

Wamachinga kuwekwa kundi moja na wanawake watoto na walemavu ni matusi kwao

Wamachinga wetu wamefurahia nakupiga makofi
Hao waliopiga makofi sio machinga ni uvccm waliokuwa wamepangwa. Amini nakwambia chinga wa kweli Kama Mimi siwezi kumpigia makofi hangaya kaharibu mfumo wa maisha yangu kwa kunivunjia kibanda na kunipeleka mapolini ambako hakuna wateja mtaji umefirisika Sacco's wananichukulia vitu ndani kwakukosa rejesho....naichukia Sana awamu hii
 
Hao waliopiga makofi sio machinga ni uvccm waliokuwa wamepangwa. Amini nakwambia chinga wa kweli Kama Mimi siwezi kumpigia makofi hangaya kaharibu mfumo wa maisha yangu kwa kunivunjia kibanda na kunipeleka mapolini ambako hakuna wateja mtaji umefirisika Sacco's wananichukulia vitu ndani kwakukosa rejesho....naichukia Sana awamu hii
Hata mm nimewaza wale ni watu wa mchongo tu wanatumika kufanya siasa
 
Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu).

Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.

Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.

Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.

Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.

Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima

Inawezekana, kimantiki na kwa perception, huo uamuzi unaonekana sio sawa, lakini kama hiyo wizara itapewa tools zinazohitajika kuwasaidia machinga, lengo lililokusudiwa bado linaweza kufikiwa.

Kumbuka, hata wakiwekwa kwenye wizara ambayo, kimantiki na kwa perception, ndiyo wizara sahihi, lengo lililokusudiwa bado halitafikiwa iwapo hiyo wizara haitapewa tools zinazohitajika. Jina la wizara pekee yake halina uwezo wa kuwasaidia machinga!
 
Wamachinga ni mradi mbaya kufanywa na serikali, ni sawa na mgonjwa anayepewa pain killer ila hapelekwi hospitali. Ipo siku huu mradi utaizidi nguvu CCM na serikali yake.
 
Inawezekana, kimantiki na kwa perception, huo uamuzi unaonekana sio sawa, lakini kama hiyo wizara itapewa tools zinazohitajika kuwasaidia machinga, lengo lililokusudiwa bado linaweza kufikiwa.

Kumbuka, hata wakiwekwa kwenye wizara ambayo, kimantiki na kwa perception, ndiyo wizara sahihi, lengo lililokusudiwa bado halitafikiwa iwapo hiyo wizara haitapewa tools zinazohitajika. Jina la wizara pekee yake halina uwezo wa kuwasaidia machinga!
Let's call a spade a spade, ishu sio kupatiwa tu tools za kuwasaidia hivi unaweza ukamchukua mtoto wa kiume uamue umpeleke shule ya st francis mbeya simply kwamba kuna tools za kumwezesha kufaulu vizuri?
Tambua kwamba kila wizara imeundwa kwa mantiki yake na kila wizara ina tools na instruments za kutekeleza majukumu yake.
Haiingii akilini kwa wamachinga kuwekwa kwenye hiyo wizara ambayo majukumu yake ya kimsingi yanajulikana
 
Let's call a spade a spade, ishu sio kupatiwa tu tools za kuwasaidia hivi unaweza ukamchukua mtoto wa kiume uamue umpeleke shule ya st francis mbeya simply kwamba kuna tools za kumwezesha kufaulu vizuri?
Tambua kwamba kila wizara imeundwa kwa mantiki yake na kila wizara ina tools na instruments za kutekeleza majukumu yake.
Haiingii akilini kwa wamachinga kuwekwa kwenye hiyo wizara ambayo majukumu yake ya kimsingi yanajulikana

Analogy yako ya “…mtoto wa kiume…” sio appropriate kwa case ya machinga. Hapelekwi machinga mmoja kwenye hiyo wizara. Labda useme “…watoto wa kiume…”, kitu ambacho kinawezekana kabisa provided that shule inakuwa equipped kukidhi mahitaji ya watoto wa kiume.

Instruments za wizara sio static. Hubabadilishwa kujibu mahitaji ya wakati husika!
 
Mkuu labda unaleta Tafsiri mpya ya Makundi Maalum...Tanzania Makundi Maalum,ni watoto walioktk mazingita hatarishi, Wanaoishi na kufanya kazi mitaani,walio kinzana na Sheria,wazee,familiar zenye dhiki...zenye migogoro ya kifamilia na watu wenye Ulemavu!
Hao Key population ...peleka mapendekezo waighizwe kwenye Sera za nchi!
Soma miongozo ya nchi ndugu yangu, usiongee kwa hisia.
 
Back
Top Bottom