Michael makene
Member
- Jan 20, 2021
- 73
- 180
Hao waliopiga makofi sio machinga ni uvccm waliokuwa wamepangwa. Amini nakwambia chinga wa kweli Kama Mimi siwezi kumpigia makofi hangaya kaharibu mfumo wa maisha yangu kwa kunivunjia kibanda na kunipeleka mapolini ambako hakuna wateja mtaji umefirisika Sacco's wananichukulia vitu ndani kwakukosa rejesho....naichukia Sana awamu hiiWamachinga wetu wamefurahia nakupiga makofi
Hata mm nimewaza wale ni watu wa mchongo tu wanatumika kufanya siasaHao waliopiga makofi sio machinga ni uvccm waliokuwa wamepangwa. Amini nakwambia chinga wa kweli Kama Mimi siwezi kumpigia makofi hangaya kaharibu mfumo wa maisha yangu kwa kunivunjia kibanda na kunipeleka mapolini ambako hakuna wateja mtaji umefirisika Sacco's wananichukulia vitu ndani kwakukosa rejesho....naichukia Sana awamu hii
Wawakilishi wao wanapatikanaje?Wamachinga wetu wamefurahia nakupiga makofi
Nimesikia kwamba wamachinga wamewekwa kwenye wizara inayoshughulikia wanawake,wazee, watoto na kundi Maalumu (walemavu).
Nafahamu kuna baadhi ya wamachinga wachache ni walemavu na wanaweza kufall kwenye hiyo wizara kusaidiwa.
Nafahamu pia sio walemavu wote hawajiwezi kuna baadhi yao wachache wanajiweza na wala hawahitaji kuwekwa kwenye kundi maalumu.
Ila hii ya kuamua kwamba wamachinga wote kuwekwa kwenye kundi maalumu ni kichekesho cha mwaka , wamachinga wangetakiwa waundiwe idara yao kwenye wizara ya biashara na sio kuwekwa kwenye hiyo wizara inayodili na watu wasiojiweza wanaoonewa.
Wamachinga ni kundi la wapiganaji ambao wanatakiwa wawezeshwe na sio kutetewa kama wanawake,watoto, wazee au walemavu wasiojiweza.
Hao watu waliomshauri rais afanye hivyo wamempotosha kama ni yeye mwenyewe kaamua hivyo basi na awaombe radhi kwa kuwakosea heshima
Let's call a spade a spade, ishu sio kupatiwa tu tools za kuwasaidia hivi unaweza ukamchukua mtoto wa kiume uamue umpeleke shule ya st francis mbeya simply kwamba kuna tools za kumwezesha kufaulu vizuri?Inawezekana, kimantiki na kwa perception, huo uamuzi unaonekana sio sawa, lakini kama hiyo wizara itapewa tools zinazohitajika kuwasaidia machinga, lengo lililokusudiwa bado linaweza kufikiwa.
Kumbuka, hata wakiwekwa kwenye wizara ambayo, kimantiki na kwa perception, ndiyo wizara sahihi, lengo lililokusudiwa bado halitafikiwa iwapo hiyo wizara haitapewa tools zinazohitajika. Jina la wizara pekee yake halina uwezo wa kuwasaidia machinga!
Let's call a spade a spade, ishu sio kupatiwa tu tools za kuwasaidia hivi unaweza ukamchukua mtoto wa kiume uamue umpeleke shule ya st francis mbeya simply kwamba kuna tools za kumwezesha kufaulu vizuri?
Tambua kwamba kila wizara imeundwa kwa mantiki yake na kila wizara ina tools na instruments za kutekeleza majukumu yake.
Haiingii akilini kwa wamachinga kuwekwa kwenye hiyo wizara ambayo majukumu yake ya kimsingi yanajulikana
Mijinga hiyo!Haijitambui.Wamachinga wetu wamefurahia nakupiga makofi
Soma miongozo ya nchi ndugu yangu, usiongee kwa hisia.Mkuu labda unaleta Tafsiri mpya ya Makundi Maalum...Tanzania Makundi Maalum,ni watoto walioktk mazingita hatarishi, Wanaoishi na kufanya kazi mitaani,walio kinzana na Sheria,wazee,familiar zenye dhiki...zenye migogoro ya kifamilia na watu wenye Ulemavu!
Hao Key population ...peleka mapendekezo waighizwe kwenye Sera za nchi!
Wafanyabiashara pale Kariakoo au Posta wana viwanda?Hawana viwanda hawa. Labda waachane na hilo jina wajiite wajasiriamali.