Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Lakini hatanoga kama ambavyo ungemlea mwenyewe mkuu.Note thatAkikua takuja
Wababa wengi hapa ndio tunajidanganya . Usitegemee mtoto atakutafuta kama hauna bond nayeAkikua takuja
Hahaha .. kwahiyo issue muhimu mshua ujiweze kiuchumiIKUMBUKWE NYAKATI ZIMEBADIRIKA SANA,
ZAMANI WATU WALIKUA WANAZAA WATOTO WENGI ILI WAJE KUPATA USAIDIZI UZEENI.
ZAMA HIZI, WATOTO NDIO WANAWEZA KUHITAJI USAIDIZI WA WAZEE WAO!
MWELEZE MTOTO WAKO BABA YAKO NI SHETANI, MBWA, NYOKA, MAREHEMU, NK NK.
HALAFU UNAKUJA KUKUTA HUYO HUYO MZEE ANA UCHUMI MZURI, CHEO KIKUBWA,KIASI WEWE NDIO WA KUMTEGEMEA!
Mithari 18: 20-23 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi.
Nakubaliana na weweLakini hatanoga kama ambavyo ungemlea mwenyewe mkuu.Note that
Labda wa kwako ndugu hawatakutafuta ila hata ikiwa umebebesha mimba na kupotea iko siku utatafutwa tu, whatever ulitoa au hukutoa matunzo.Wababa wengi hapa ndio tunajidanganya . Usitegemee mtoto atakutafuta kama hauna bond naye
Naufahamu sana na maisha .... ni kwa asilimia chache sana mtoto akutafute na hata akikutafuta bado ile bond haitokuwepo . Futa huo mtazamo wakoLabda wa kwako ndugu hawatakutafuta ila hata ikiwa umebebesha mimba na kupotea iko siku utatafutwa tu, whatever ulitoa au hukutoa matunzo.
Kitanda hakizai haramu.
Kwahiyo wewe tu ndiye umeletwa duniani na unaelewa kuhusu maisha?.Naufahamu sana na maisha .... ni kwa asilimia chache sana mtoto akutafute na hata akikutafuta bado ile bond haitokuwepo . Futa huo mtazamo wako
Sawa kaka wewe zaa telekeza watakutafuta 😀Kwahiyo wewe tu ndiye umeletwa duniani na unaelewa kuhusu maisha?.
Au ni wewe tu toka uzao wa kwanza wa Adam hadi leo, so mambo ya familia wengine hawana uzoefu nayo?.
Bila kuagaWatoto wameondoka na mama yao!!??
Pole sana shemela, kaiba na vitu vyako? Unajua alipo sasa?Bila kuaga
Pole sana shemela, kaiba na vitu vyako? Unajua alipo sasa?
Pole sanaAtakuwa kajificha Asshole
Vp wewe ukiwa mbadala wake unaonekana una hurumaPole sana
NawazaKwa wewe ambaye umezaa na wanawake / mwanamke ambaye hauishinaye inakupaswa ufahamu wamama wananguvu kubwa ya ushawishi kwa watoto kuliko wababa . Kama hauna maelewano mazuri na huyo mwanamke uliyezaanaye usitegemee watoto watakuja kukutambua .nafahamu sio wababa wote ambao hawatoi huduma wanamatatizo kuna mambo huwa yanapelekea kufanya hivyo. Tumia tu busara hasira zako kwa mwanamke usipeleke kwa watoto , watoto wanawezwa kujazwa maneno ya uadui na wasikutambue
Ntakukimbia afu nikuibie....hadi vitasa vya mlango nitabebaVp wewe ukiwa mbadala wake unaonekana una huruma