Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
- Thread starter
- #21
Soda ya mirinda unaijua ? Je itakuwa salamaNtakukimbia afu nikuibie....hadi vitasa vya mlango nitabeba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soda ya mirinda unaijua ? Je itakuwa salamaNtakukimbia afu nikuibie....hadi vitasa vya mlango nitabeba
Bond ipo na haitaondoka. Bond ni mbegu iliyomtengeneza, atakuja tu!Wababa wengi hapa ndio tunajidanganya . Usitegemee mtoto atakutafuta kama hauna bond naye
Bond gan unaongelea wewe? Bond iko kwenye chromosomes za mtoto tayari.Naufahamu sana na maisha .... ni kwa asilimia chache sana mtoto akutafute na hata akikutafuta bado ile bond haitokuwepo . Futa huo mtazamo wako
Hebu endelea kumpa shule huyu. Na inaelekea ni singo mama ambaye anataka kumtumia mtoto kuchuma kwa kigezo cha nadharia hii fekiKwahiyo wewe tu ndiye umeletwa duniani na unaelewa kuhusu maisha?.
Au ni wewe tu toka uzao wa kwanza wa Adam hadi leo, so mambo ya familia wengine hawana uzoefu nayo?.
Kwanza ni ufala na laana kuzaa halafu ukawageuza watoto kuwa tegemeo lako. Wakifa kabla yako uzeeni je?Sawa kaka wewe zaa telekeza watakutafuta 😀
Nina hakika kwa asilimia mia moja wewe utakuwa umetelekeza watoto wako na hauwahudumii 😀😀😀Hebu endelea kumpa shule huyu. Na inaelekea ni singo mama ambaye anataka kumtumia mtoto kuchuma kwa kigezo cha nadharia hii feki
Wababa msihofu, pigeni mimba halafu mama mtu akizingua mpotezee mazima. Lkn mtoto atakutafuta tu!
Hapana. Kwanini unasema mtoto atakosa bond wakati yeye ndiye kawazaa?Nina hakika kwa asilimia mia moja wewe utakuwa umetelekeza watoto wako na hauwahudumii 😀😀😀
Inatokea lakini mara chache sana , kama mama mtu alikukandia kwa mtoto wake ile sumu inakuwepo kwa mtoto ni ngumu kukutafutaHapana. Kwanini unasema mtoto atakosa bond wakati yeye ndiye kawazaa?
Halafu hiyo nadharia yako umeitoa wapi? Mbona huku kitaa tunaona watoto wakiwatafuta baba zao ambao hawakuwa wakiishi nao?
Wamama wa hivyo unakutaga ni wale maskini, kwahiyo hata watoto wa hivyo huwa hawana future nzuri.Inatokea lakini mara chache sana , kama mama mtu alikukandia kwa mtoto wake ile sumu inakuwepo kwa mtoto ni ngumu kukutafuta
Kwa Dunia ya Sasa hivi Kuna mtu anazaa watoto ili waje kumsaidia?
Sio kiuchumi tu,Hahaha .. kwahiyo issue muhimu mshua ujiweze kiuchumi
Naona umekimbia maswali!.Sawa kaka wewe zaa telekeza watakutafuta 😀
Huyo kijana yamemfika na madogo (wanae) hawamtambui for a longer hivyo kaja na kaevidence kake hapa akidhani yeye ndiye wa kwanza kuzalisha na kukimbia mtoto.Hebu endelea kumpa shule huyu. Na inaelekea ni singo mama ambaye anataka kumtumia mtoto kuchuma kwa kigezo cha nadharia hii feki
Wababa msihofu, pigeni mimba halafu mama mtu akizingua mpotezee mazima. Lkn mtoto atakutafuta tu!
Mkuu herufi ndogo una ugomvi nazo?IKUMBUKWE NYAKATI ZIMEBADIRIKA SANA,
ZAMANI WATU WALIKUA WANAZAA WATOTO WENGI ILI WAJE KUPATA USAIDIZI UZEENI.
ZAMA HIZI, WATOTO NDIO WANAWEZA KUHITAJI USAIDIZI WA WAZEE WAO!
MWELEZE MTOTO WAKO BABA YAKO NI SHETANI, MBWA, NYOKA, MAREHEMU, NK NK.
HALAFU UNAKUJA KUKUTA HUYO HUYO MZEE ANA UCHUMI MZURI, CHEO KIKUBWA,KIASI WEWE NDIO WA KUMTEGEMEA!
Mithari 18: 20-23 Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi.
KUONYESHA MSISITIZOMkuu herufi ndogo una ugomvi nazo?