Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wengi ni wavivu sana mjomba...starehe...ulevi....kila jambo hudhani wanaonewa....wako radhi wasifanye kazi ili wapate food ticket..na wakipata huenda kulewa na kuvuta.
100%
 
😁😁😁Umetupa sababu ya kukusengenya ulivyoanza kuwasengenya wenzio

Sijui kama tatizo lako umelijua? Anyways ni hivi akili ya mwanadamu ina nguvu kubwa sana kuliko unavyo weza kufikiri. Ukikichukua kitu ukakiweka juu ya akili yako basi kitu hicho kitakaa juu ya akili yako kwa sababu ni wewe ndio umeamua kukiweka juu ya akili yako.

Kwa maelezo yako ya awali inaonekana dhahiri kwamba umewapa wamarekani weusi hadhi ya juu sana kwenye akili yako ndio maana umeshangaa kuona Mimi ninawaona kinyume na unavyo waona wewe.

Ulivyo mtaja Malcolm X kwenye maongezi yetu nikakuuliza kati ya Malcolm X na baba ako mzazi unadhani nani ana akili nyingi kushinda mwenzake ukakaa kimya. I was surprised.
 
Atakumbukwa Kwa kuacha watoto aliozaa hovyo huko Njombe
 
Taja state Ambayo 50 Cent akienda pale Marekani hajulikani
 
Illegality of something can, and always do, become legal by baptismal legislation.
It is an insult to name people who have been legalized as legal citizens of USA as illegal immigrants.

If we can trace your history, you also might be an illegal immigrant in Tanzania (Tanganyika).
 
Kutumia comparison kati ya baba yangu mzazi na Malcom X niliopt kunyamaza Kwa kuwa nilijua lengo lako ni kuibua hisia zangu,ambazo kimsingi ninauwezo mkubwa wa ku control Hilo suala,
Ulikosa hoja,ukatoka nje ya mada, Anyways...Kuniuliza kuhusu baba yangu na Malcom X obviously nitachoose baba yangu ndio ana akili Kwa kuwa ni damu na mfupa wangu,kanitunza tangu nikiwa mtoto,kanilisha,kanilisha,kanisomesha kanipa upendo wote niliostahili hata nilipokosea bado aliendelea kunipenda ,Sasa kufananisha na Malcom X huko ni kunitafuta uongo,japokuwa bado heshima yangu ya uwezo wa na akili ya Malcom X ipo palepale....Yote katika yote baba yangu sio motivational speaker,sio influencer Wala politician,baba yangu ni businessman,so huwezi kuwa fananisha Hawa watu ni mafuta na maji,,,Angalau ingekuwa na Nia kweli ya Hilo swali ungeniuliza kuhusu Nyerere,Kwame Nkurumah,Mandela,Samora Machel n.k......ila Kwa vile hukuwa na hoja ukaona ngoja nimstress na that's why niliopt kukuignore,maana niliona huna uwezo wa kuhimili hoja nzito bila makasiriko kama Robert Heriel Mtibeli
 
So wewe una amini Malcolm X alikuwa smart?
 
Mjadala umeishia hapa.
 
Haya , hebu jibu hoja ya 50 cent sasa, maana hao African Americans ni documented immigrants, tena wanaolipa kodi...

Na i hope hukusema wewe ni MTanzania, maana ungeliaibisha sana taifa..
 
Do smart died the way he died?.do u know what Elijah Muhammad ( the leader of the nation of Islam).said about him as soon as he was killed?
Sasa kufa kwake ni sababu ya chuki za kidini,alivyomchallange yule Muhammad na akataka kufungua msikiti ndio waislam wasio na akili wakakurupuka as usual....Sasa hapo ujinga wake ni Nini?
 

Jambo Toto tundu naona unasababisha huku🏃🏃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…