Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Wamarekani weusi ni weupe sana kichwani aisee. Nimewapiga kwenzi moja huko instagram wamebaki wanabwabwaja tu

Najua umesoma sheria. Mimi sijasoma sheria ila Nina ufahamu kidogo kuhusu kitu kinaitwa Jurisprudence. Somo la jurisprudence linakukataza kuwaza namna hii mkuu.

Mwanasheria anatakiwa kutafsiri sheria kama zinavyo takiwa kuwa na sio kama zilivyo andikwa..

wewe una tafsiri sheria kama ilivyo andikwa kwenye hilo desa ulilosoma ndio maana umeshindwa kumuelewa mtoa mada.

Mtoa mada amewaza nje ya box.

Amekataa kufungwa na hii definition ya immigrant ambayo umekaririshwa chuoni.

Sheria: ndoa kati ya mwanaume na binamu yake ni haramu.

Kesi imekuja mbele yako. Mwanamke aliolewa na binamu yake wakazaa watoto watano mume kafariki kaacha mali umetokea mgogoro wa mali kesi imefika kwako then una rule out against the widower kwa kusema hastahili kurithi mali kwa sababu ndoa yake ilikuwa haramu lakini kumbe kama ungetumia akili yako kidogo na ku apply knowledge yako ya jurisprudence ungegundua kwamba judge unapokuwa una judge baadhi yakesi unatakiwa utazame na other facts kama vile historical and cultural.

Mwisho wa siku unakuja kugundua kumbe huyu mjane anatoka katika jamii na tamaduni ambazo kwazo ni kawaida mtu na binamu kuoana.

Soma vitabu mkuu upanue ubongo wako.

Msomi anae kariri ni hatari ni mjinga alie changamka
The question is simply this: Can a negro, whose ancestors were imported into this country, and sold as slaves become a member of the political community formed and brought into existence by the Constitution of the United States?...

We think they are not, and that they are not included under the word “citizen” in the Constitution and can therefore claim none of the rights and privileges which that instrument provides…

No one of that race had ever migrated to the United States voluntarily; all of them had been brought here as articles of merchandise…and so far inferior, that they had no rights which the white man was bound to respect. Reference American Black Museum Holocaust museum : Mawazo ya mtoa post Yako hapa kama wazungu wale wa zamani.
 
Umewahi kuliona gazeti la Sani hebu tuanzie hapo?nisije kutana na bishana na katoto changu ka late 1900😁😁😁😁
Wewe Mimi nimezaliwa hujazaliwa

Zena na Betina
Lodi Lofa
Kipepe
Fimbocheza na Wachafuzi wa Lugha
Visa vya Madenge
Nk

Hizo katuni na simulizi nimezisoma sana zilikua kwenye Jarida la Sani mwanzilishi na Mbunifu wa Jarida hilo anaitwa Nico Mbajo RIP
 
The question is simply this: Can a negro, whose ancestors were imported into this country, and sold as slaves become a member of the political community formed and brought into existence by the Constitution of the United States?...

We think they are not, and that they are not included under the word “citizen” in the Constitution and can therefore claim none of the rights and privileges which that instrument provides…

No one of that race had ever migrated to the United States voluntarily; all of them had been brought here as articles of merchandise…and so far inferior, that they had no rights which the white man was bound to respect. Reference American Black Museum Holocaust museum : Mawazo ya mtoa post Yako hapa kama wazungu wale wa zamani.
Mwenzako amekukataza kukariri madesa wewe tena unampa hayo hayo madesa.

Jf inabidi muweke na option ya fimbo ili mtu mgumu kuelewa kama huyu unabonyeza kitufe cha fimbo
 
Kwa muktadha huo unaotaka kwenda nao,Slave trade was legal trade until abolition of slave trade 1807.....so waliingia legally
It was legal to who? To the slaves or to the slave traders and owners?
 
Mwenzako amekukataza kukariri madesa wewe tena unampa hayo hayo madesa.

Jf inabidi muweke na option ya fimbo ili mtu mgumu kuelewa kama huyu unabonyeza kitufe cha fimbo
Nimejaribu kukuonyesha, the rationale behind your ' Argument:
 
Tatizo lako mtoa mada unapoteza muda wako kubishana na vilaza. Ni hivi wewe Joannah na wenzako,anachokisema mtoa ni kwamba 50 Cent hapaswi kuwanyanyapaa wahamiaji haramu kwa vile hata yeye pia ni kitukuu wa wahamiaji haramu kwa sababu babu zake waliingia Marekani kiharamu.Walichukuliwa Africa kiharamu na kwenda kuuzwa Marekani kiharamu kupitia biashara haramu ya utumwa. Kwa hiyo hata wao wamarekani weusi pia kimsingi ni wahamiaji haramu. Tofauti yao na un documented immigrants ni kwamba wao wapo documented ila kimsingi wao pia ni haramu.

Ni sawa tunaposema mtoto haramu mtoto huyo ni haramu kwa sababu amezaliwa wazazi wake wamekutana kiharamu.

Hata wewe binti kiziwi ukibakwa akazaliwa mtoto huyo mtoto ataitwa haramu sio kwa sababu ni haramu ila kwa sababu akipatikana kiharamu.

Mtoa mada usipoteze muda wako kubishana na WAJINGA kuna WAJINGA wengi sana hapa jukwaani
Katika hao wajinga wengi, wewe ndio Rais wa wajinga.
 
Ilikuwa biashara halali kama ilivyo Mirungi halali Kenya lakini Tanzania ni haram.
1. Biashara ya mirungi Kenya ni halali kwa nani? Kwa watumia mirungi au kwa serikali au wote kwa pamoja?


2. Biashara ya watumwa ilikuwa ni halali kwa nani? Kwa wamiliki na wauza watumwa au kwa watumwa?
 
Wewe Mimi nimezaliwa hujazaliwa

Zena na Betina
Road Lofa
Kipepe
Fimbocheza na Wachafuzi wa Lugha
Visa vya Madenge
Nk

Hizo katuni na simulizi nimezisoma sana zilikua kwenye Jarida la Sani mwanzilishi na Mbunifu wa Jarida hilo anaitwa Nico Mbajo RIP
Rekebisha hapo ni Lodi lofa, ukiandika Road hiyo barabara.

Halafu SS Bawji alikuwa ni nani hapo Sani?
 
Ilikuwa biashara halali kama ilivyo Mirungi halali Kenya lakini Tanzania ni haram.
Tatizo
1. Biashara ya mirungi Kenya ni halali kwa nani? Kwa watumia mirungi au kwa serikali au wote kwa pamoja?


2. Biashara ya watumwa ilikuwa ni halali kwa nani? Kwa wamiliki na wauza watumwa au kwa watumwa?
Una maswali ya kitoto sana,

Mirungi ni legal in Kenya ,sasa consumer anayo choice atumie asitumie ni yeye,one man poison is another man Food. Be Smart Kid.
 
Huwezi kujua historia bila kuisoma mkuu; vingenevyo uwe Malaika unaoteshwa Kama akina Mwamposa.
Akili za kuambiwa unachanganya na zako. Lazima uwe na uwezo wa kujenga hoja zako Binafsi wewe kama wewe.

Tena wewe unaonekana mwanafunzi au muhitimu wa sheria.

Mwanasheria unatakiwa kuwa mtundu mtundu.

Unapaswa kuwa na reasoning.
U have to learn how to think beyond others.

Nyie ndio wanasheria ambao mkiulizwa mji mkuu wa Tanzania ni nini unasema "Dodoma" halafu hutoi sababu kwa nini Dodoma kwa nini sio Mwanza, Dar au Arusha.
 
Tatizo

Una maswali ya kitoto sana,

Mirungi ni legal in Kenya ,sasa consumer anayo choice atumie asitumie ni yeye,ona man poison is another man Food. Be Smart Kid.
Eti swali la kitoto🤣🤣🤣🤣
Okay so biashara ya mirungi Kenya ni halali kwa serikali na watumiaji. Right?

Vipi kuhusu biashara ya watumwa? Ilikuwa halali kwa wahusika wote? Kuanzia wafanya biashara na wamiliki hadi watumwa wenyewe?
 
It was legal to who? To the slaves or to the slave traders and owners?
Nyie si mmeleta mambo ya documents and blah blah,Sasa wenzenu Babu zao waliingia na recognize documents za slave master zao.
 
Back
Top Bottom