GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kwani Wamasai hawana hela?Hayo mabango sio ya wafugaji wa Kimaasai hiyo ni kazi ya large format printing kijijini Ngorongoro itoke wapi?!, hii maana yake kuna nguvu fulani behind the scenes inayowachochea hawa wamasai na sio Wamasai wenyewe tuu peke yao, na large format printing cost money, hivyo kuna watu wana fund!, ukisikia kitu kinaitwa fuelling ndio huku!.
P
Wamasai wanamiliki mamia ya ng'ombe wanashindwa kuuza waprint kutetea ardhi yao au wamasai wote hawana exposure!?Hayo mabango sio ya wafugaji wa Kimaasai hiyo ni kazi ya large format printing kijijini Ngorongoro itoke wapi?!, hii maana yake kuna nguvu fulani behind the scenes inayowachochea hawa wamasai na sio Wamasai wenyewe tuu peke yao, na large format printing cost money, hivyo kuna watu wana fund!, ukisikia kitu kinaitwa fuelling ndio huku!.
P
Hayo mabango sio ya wafugaji wa Kimaasai hiyo ni kazi ya large format printing kijijini Ngorongoro itoke wapi?!, hii maana yake kuna nguvu fulani behind the scenes inayowachochea hawa wamasai na sio Wamasai wenyewe tuu peke yao, na large format printing cost money, hivyo kuna watu wana fund!, ukisikia kitu kinaitwa fuelling ndio huku!.
P
Naamini kwa dhati ya moyo wangu kwamba hatimaye waTanzania wataelewa kinacho endelea sasa hivi na hii serikali ya huyu mwanamke.Ni muda sahihi sasa wa sisi kama watanzania kuamka na kuzidai haki zetu maana kutoka kwa mabepari wa kiafrica.Nsipopost kwa siku mbili mfululizo mjue na mimi washanbeba maana ukisema lolote siku hizi unakwenda na maji.Hii nchi imekuwa kama jehanamu
Ntamuona Mzalendo. Wa kweli akiwapigania na hawa... Vinginevyo ni wale wale machawa.... 😁Mkuu Wa Mkoa Yuko Wapi!?
Kuwapigania wanyonge ndo kulimletea shida...Ntamuona Mzalendo. Wa kweli akiwapigania na hawa... Vinginevyo ni wale wale machawa.... 😁
Huyo unaye muita "mzalendo wa kweli" kapelekwa hapo kimkakati, hivi wewe hujui?Ntamuona Mzalendo. Wa kweli akiwapigania na hawa... Vinginevyo ni wale wale machawa.... 😁
😂Anaendeleza 4R
Kila mara ninapo kwambia wewe ni kondoo tu; siku moja jaribu kujichunguza vizuri utauona ukweli huo.Kwamba wao ni spesho sana au? Wangekuwa wanafukuzwa bila kupewa chochote sawa ila wanahamishwa Kwa staha na kupewa Ardhi ,fidia na stahiki zingine kwa maslahi mapana ya Hifadhi na Nchi hapo Ngorongoro.
Hata kama sio Mwarabu kuwekeza kama inavyopotoshwa ,angekuwa John Bado wangehamishwa.
Unataka akatafute jeshi huko aje kuwapa adabu waTanzania?Wasio na nia njema wameanza kutumia hoja za waarabu na uarabu kumshambulia Rais wa nchi.....
Ni mipango mahsusi....
Mipango kama hii si ya kuichekea hata kidogo......
#Nchi Kwanza[emoji7]
Kuna wahuni wamechapisha hayo mabango Wala hao wamasai hawajui kilichoandikwa humoView attachment 3073208
Haya ni baadhi ya mabango yenye jumbe mbalimbali ambazo zimetolewa na wakazi tarafa ya Ngorongoro ambao wanafanya maandamano ya amani kupinga kile wananchodai ni ukiukwahi wa Haki za Binadamu dhidi yao.
Wakazi hao wa jamii ya kifugaji ya Wamasai wanaandamana hii leo 18 Aug 2024 kupinga kile wanachodai kuchoshwa na vitendo vya ukiukwaji wa Haki dhidi yao katika Nyanja mbalimbali ikiwemo kunyimwa huduma za maendeleo ya jamii .
View attachment 3073215
Wakazi hao wanadai kuwa wamevumilia kwa muda mrefu ukiukwaji wa Haki za Binadamu ikiwemo kusitishwa na kuzoroteshewa kwa huduma mbalimbali zikiwemo za afya, elimu na hata miradi mingine ya maendeleo.
Mbali na hivyo wanadai kuwa kilichowashtua zaidi ni kuondolewa kwa tarafa hiyo katika orodha ya vituo vinavyotumika katika maboresho ya daftari la mpiga kura jambo linalowaashiria kuwa watakosa Haki ya kushiriki chaguzi ikiwemo wa serikali za mitaa mwaka huu 2024 na hata ule mkuu wa 2025.
View attachment 3073210
View attachment 3073213
Ni muda sasa tangu wakazi hao watoe malalmiko yao juu ya kutotendewa Haki tangu kulipoanza zoezi la kuwahamisha kutoka tarafa hiyo kuelekea Kijiji cha Msomera mkoani Tanga.
Source: Watetezi tv
Hii ni ya lini?
Siku hizi Google inatafsiri tu kutoka Lugha yoyote kwenda Lugha yoyote.Kuna wahuni wamechapisha hayo mabango Wala hao wamasai hawajui kilichoandikwa humo
Ukabila na siasa zake na majivuno yake hupelekea utengano MIOYONI....nakutania jonijo[emoji1787]Iringa kabila ni Moja tu na hakunaga mjinga mjinga anaweza karibia tuko very powerful [emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu Kilolo [emoji3]
Pia Wamasai wana watoto waliosoma!Siku hizi Google inatafsiri tu kutoka Lugha yoyote kwenda Lugha yoyote.
Acheni hizo tuhuma za kishamba.
Usipindishe mambo. Wanyamlenge wenyewe wanataka waonekane kuwa tofauti na raia wengine wa nchi hiyo, kama walivyo ndugu zao huko Rwanda. Hili ni tatizo kila mnapo kwenda na kuanza kuwa kama kundi.Mnakumbuka Wanyamulenge waliponyimwa Haki zao za kiraia na kuanza kuuwawa kunyanyaswa na kupokwa Mifugo yao?