Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Pre GE2025 Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hayo mabango sio ya wafugaji wa Kimaasai hiyo ni kazi ya large format printing kijijini Ngorongoro itoke wapi?!, hii maana yake kuna nguvu fulani behind the scenes inayowachochea hawa wamasai na sio Wamasai wenyewe tuu peke yao, na large format printing cost money, hivyo kuna watu wana fund!, ukisikia kitu kinaitwa fuelling ndio huku!.
P
Kwani Wamasai hawana hela?
Kwani Wamasai hawana watoto walipenda shule?
Kwani Wamasai wa karne hii ni kama wa kipindi kile cha ujima?
Wamasai wanaoishi Ngorongoro hawajatengwa na ulimwengu! Wanajua kile wengine wanachokifanya huko duniani linapokuja suala la kudai haki.
 
Hayo mabango sio ya wafugaji wa Kimaasai hiyo ni kazi ya large format printing kijijini Ngorongoro itoke wapi?!, hii maana yake kuna nguvu fulani behind the scenes inayowachochea hawa wamasai na sio Wamasai wenyewe tuu peke yao, na large format printing cost money, hivyo kuna watu wana fund!, ukisikia kitu kinaitwa fuelling ndio huku!.
P
Wamasai wanamiliki mamia ya ng'ombe wanashindwa kuuza waprint kutetea ardhi yao au wamasai wote hawana exposure!?
 
Hayo mabango sio ya wafugaji wa Kimaasai hiyo ni kazi ya large format printing kijijini Ngorongoro itoke wapi?!, hii maana yake kuna nguvu fulani behind the scenes inayowachochea hawa wamasai na sio Wamasai wenyewe tuu peke yao, na large format printing cost money, hivyo kuna watu wana fund!, ukisikia kitu kinaitwa fuelling ndio huku!.
P

Kwani ni kosa kwa wamaasi kuwapa kazi wanasheria kuwatetea? Kwahiyo ulitaka wakae kimya haki yao ikinyimwa kwakuwa unahisi hawana uelewa na hawana haki ya kutetewa na wasomi?
 
Ni muda sahihi sasa wa sisi kama watanzania kuamka na kuzidai haki zetu maana kutoka kwa mabepari wa kiafrica.Nsipopost kwa siku mbili mfululizo mjue na mimi washanbeba maana ukisema lolote siku hizi unakwenda na maji.Hii nchi imekuwa kama jehanamu
Naamini kwa dhati ya moyo wangu kwamba hatimaye waTanzania wataelewa kinacho endelea sasa hivi na hii serikali ya huyu mwanamke.
 
Ntamuona Mzalendo. Wa kweli akiwapigania na hawa... Vinginevyo ni wale wale machawa.... 😁
Kuwapigania wanyonge ndo kulimletea shida...
Atakaa kimya tu Sasa. Hakuna namna.
 
Ntamuona Mzalendo. Wa kweli akiwapigania na hawa... Vinginevyo ni wale wale machawa.... 😁
Huyo unaye muita "mzalendo wa kweli" kapelekwa hapo kimkakati, hivi wewe hujui?

Kama unataka kujua 'uzalendo' ni kitu gani, basi subiri mtihani huu utakupa jibu.
Haya mambo ya "uzalendo" wa kuigiza yana mwisho wake.
 
Kwamba wao ni spesho sana au? Wangekuwa wanafukuzwa bila kupewa chochote sawa ila wanahamishwa Kwa staha na kupewa Ardhi ,fidia na stahiki zingine kwa maslahi mapana ya Hifadhi na Nchi hapo Ngorongoro.

Hata kama sio Mwarabu kuwekeza kama inavyopotoshwa ,angekuwa John Bado wangehamishwa.
Kila mara ninapo kwambia wewe ni kondoo tu; siku moja jaribu kujichunguza vizuri utauona ukweli huo.
 
image_2024-08-18_194034574.png
 
Wasio na nia njema wameanza kutumia hoja za waarabu na uarabu kumshambulia Rais wa nchi.....

Ni mipango mahsusi....

Mipango kama hii si ya kuichekea hata kidogo......

#Nchi Kwanza[emoji7]
Unataka akatafute jeshi huko aje kuwapa adabu waTanzania?
 
Nliwahi kumwambia mmasai mmoja kutoka huko, hii system ya sahv lazima mtatolewa

Ova
 
View attachment 3073208
Haya ni baadhi ya mabango yenye jumbe mbalimbali ambazo zimetolewa na wakazi tarafa ya Ngorongoro ambao wanafanya maandamano ya amani kupinga kile wananchodai ni ukiukwahi wa Haki za Binadamu dhidi yao.

Wakazi hao wa jamii ya kifugaji ya Wamasai wanaandamana hii leo 18 Aug 2024 kupinga kile wanachodai kuchoshwa na vitendo vya ukiukwaji wa Haki dhidi yao katika Nyanja mbalimbali ikiwemo kunyimwa huduma za maendeleo ya jamii .
View attachment 3073215
Wakazi hao wanadai kuwa wamevumilia kwa muda mrefu ukiukwaji wa Haki za Binadamu ikiwemo kusitishwa na kuzoroteshewa kwa huduma mbalimbali zikiwemo za afya, elimu na hata miradi mingine ya maendeleo.

Mbali na hivyo wanadai kuwa kilichowashtua zaidi ni kuondolewa kwa tarafa hiyo katika orodha ya vituo vinavyotumika katika maboresho ya daftari la mpiga kura jambo linalowaashiria kuwa watakosa Haki ya kushiriki chaguzi ikiwemo wa serikali za mitaa mwaka huu 2024 na hata ule mkuu wa 2025.
View attachment 3073210
View attachment 3073213
Ni muda sasa tangu wakazi hao watoe malalmiko yao juu ya kutotendewa Haki tangu kulipoanza zoezi la kuwahamisha kutoka tarafa hiyo kuelekea Kijiji cha Msomera mkoani Tanga.

Source: Watetezi tv
Kuna wahuni wamechapisha hayo mabango Wala hao wamasai hawajui kilichoandikwa humo

Inawezekana mwandishi akawa yule bibi kezee ajuza wa space maana handwriting ni moja
 
Hapo kujisumbua tu, Zile Hela ni nyingi jamani 😂😂 narudia tena ni nyingi. Imagine kwa kazi tu ya kuweka mipaka ya lile eneo lililolipiwa watu. walinzi zaidi ya 500 walilipwa si chini ya mil 2.5 kuanzia mgambo Hadi hao wote unaowajua. 😥😥 Hao ni walinzi bado Hawa wazalendo wetu na gharama za kuwahamishia Huko Msomera.
Magufuli alikua na mapungufu yake lakini aliliweka pembeni hili. Wajanja wamelirudisha 😂😂
Katiba! katiba! katiba!
 
Iringa kabila ni Moja tu na hakunaga mjinga mjinga anaweza karibia tuko very powerful [emoji23][emoji23][emoji23]

Karibu Kilolo [emoji3]
Ukabila na siasa zake na majivuno yake hupelekea utengano MIOYONI....nakutania jonijo[emoji1787]
 
Mnakumbuka Wanyamulenge waliponyimwa Haki zao za kiraia na kuanza kuuwawa kunyanyaswa na kupokwa Mifugo yao?
Usipindishe mambo. Wanyamlenge wenyewe wanataka waonekane kuwa tofauti na raia wengine wa nchi hiyo, kama walivyo ndugu zao huko Rwanda. Hili ni tatizo kila mnapo kwenda na kuanza kuwa kama kundi.
 
Back
Top Bottom