Makasiriko ya kutokuwa na hela yamekuwa meengi nJaanuaryHahaha
Kataa ndoa, single mothers, English median schools....
Kanyaga twende!!!!
What next????
Tunasubiri....
Ila Tanzanians tupige kazi jamani, kila mtu Kwa nafasi yake...
Aina za posts tu zinasadifu kinachoendelea nchini.