Wamiliki shule za EMs waumizwa na mtaala Mpya. Wazazi wengi sasa wanawatoa watoto Wao shule za EMs kiwarejesha Kayumba

Wamiliki shule za EMs waumizwa na mtaala Mpya. Wazazi wengi sasa wanawatoa watoto Wao shule za EMs kiwarejesha Kayumba

Mimi nauliza na naombeni mnijibu, usahili wa ajira iwe sekta binafsi ama serikalini zinafanywa Kwa kutumia lugha ya malkia na tunaambiwa kwenye mtaala mpya kwenye shule za serikali lugha ya kingereza itakuwa kama somo na sio lugha ya kufundishia je wanawaandaa watoto wetu waje kuongea Nini kwenye sahili za kazi huko mbeleni?
Kwani si umeambiwa kiingereza kitatumika kama somo. Halafu mkuu inaonekana wewe mind yako inakwambia Sasa hivi ni mwaka 1985. Yani bado unawaza tu kuhusu interview?

Wake up bro
 
Hakuna watu walio athiriwa na mtaala Mpya wa Elimu Tanzania kama wamiliki wa shule za EMs .


Kwa sababu ya mtaala huo hata wale wazazi walio kuwa vichwa ngumu kuwatoa watoto Wao Ems kuwarejesha Kayumba Sasa wameanza kufanya hivyo Kwa kasi ya ajabu.

Jijini Dar es salaam pekee Kuna mafuriko ya wazazi kwenye shule za Kayumba wakiomba nafasi za kuwahamishia watoto Wao shule za Kayumba wakiwatoa Ems...

Ukitaka kuamini hilo fanya utafiti shule za Kayumba uliza walimu wakuu idadi ya watoto ambao wamepokelewa kutoka Ems kwenda Kayumba.

Classmate wangu ni mwalimu wa shule ya msingi wanayo soma wanangu anasema hadi Januari 10 kulikuwa na wanafunzi Zaidi ya mia wa madarasa tofauti tofauti ambao wameenda kuombewa nafasi za wazazi Wao. Na Teacher Big anawapiga laki laki kuwapa nafasi .
Mzazi a
 
Kwanza hakuna umuhimu wa elimu, sio English Medium wala kayumba wote kwa asilimia kubwa wanapoteza muda mwingi wa maisha yao kujifunza vitu ambavyo havina mchango wowote kwenye maisha yao bora watoto wangejivunza kilimo, ufugaji na ujasiriamali
Mimi huwa namwambia mwanangu, wewe nenda shule kainjoi maisha, moments na kutengeneza connections na watu muhimu.

Kipindi unachotakiwa kuinjoi zaidi ni mapumziko.

Ukifeli ama kufaulu sitakujaji sana, ila hakikisha hujawa wa mwisho, atleast nyuma yako kuwe na watu kadhaa wanakufuata.
 
Kuna mahali unaumia ukiona mtu anahangaika kusomesha EMs? Kama ndivyo, nini kinafanya uumie mtu mwingine kusomesha watoto anapojisikia?

Kwa sababu naona wanapigwa . Hawajui wanacho kifanya. Naumia kama vile nitakavyo umia nikimkuta mtoto wako wa kiume anafanya ushoga ingawa wewe sikujui.

Naumia kama Yesu alivyo umia kumuona Lazaro amekufa kabla ya wakati wake akaenda kumfufua. All because am a generous person
Vipi wale wanaotumia $15m kupeleka watoto nje kusoma?

Hao wapo sahihi kabisa Kwa sababu uwezo wanao na akili wanazo. They know what they are doing.
Mkuu, haya mambo ni very personal. Sijui kwa nini mnaumia.
Hii Sio ideology ya mwafrika. Your problem is my problem.

Hata baba ako akifa hainihusu cause it's personal umefiwa wewe Sio Mimi but nitakuja kwenye msiba.
 
Mimi huwa namwambia mwanangu, wewe nenda shule kainjoi maisha, moments na kutengeneza connections na watu muhimu.

Kipindi unachotakiwa kuinjoi zaidi ni mapumziko.

Ukifeli ama kufaulu sitakujaji sana, ila hakikisha hujawa wa mwisho, atleast nyuma yako kuwe na watu kadhaa wanakufuata.
🤣🤣🤣🤣Yupo private au Government?
 
Kwanza hakuna umuhimu wa elimu, sio English Medium wala kayumba wote kwa asilimia kubwa wanapoteza muda mwingi wa maisha yao kujifunza vitu ambavyo havina mchango wowote kwenye maisha yao bora watoto wangejivunza kilimo, ufugaji na ujasiriamali
Unatumia elimu hyo hyo kufany critism
 
Hakuna namna ambayo Mitaala iliyoboreshwa itaathiri shule za English medium... Sana sana English medium schools zina nafasi kubwa ya kutekeleza Mitaala iliyoboreshwa kuliko Shule za serikali...
Ukisoma vizuri mabadiriko ya Mitaala iliyoboreshwa Shule za sekondari ndizo zimeonekana kutakiwa kutekeleza Mitaala ya Ufundi au Elimu ya jumla kwa vitendo zaidi...

Tafuteni sababu nyingine za kushindwa kuwalipia ada na kuwahamishia watoto wenu Shule za kata...
Mtoa mada aje ajifunze kwenye comment yako hii.
 
Mimi huwa namwambia mwanangu, wewe nenda shule kainjoi maisha, moments na kutengeneza connections na watu muhimu.

Kipindi unachotakiwa kuinjoi zaidi ni mapumziko.

Ukifeli ama kufaulu sitakujaji sana, ila hakikisha hujawa wa mwisho, atleast nyuma yako kuwe na watu kadhaa wanakufuata.
Tuko sawa 🤣🤣🏃🏃🏃
 
Kwani si umeambiwa kiingereza kitatumika kama somo. Halafu mkuu inaonekana wewe mind yako inakwambia Sasa hivi ni mwaka 1985. Yani bado unawaza tu kuhusu interview?

Wake up bro
Mtaala uliopita shule ya msingi kingereza kilikuwa somo na sekondari kilikuwa cha kufundishia na still kwenye interview watu Wana struggle sembuse hii ya sasa?

Motivation speakers kama nyinyi nawajua vyema, eti "usiwaze interview " unaweza Kuta uko na mavyeti Yako unazunguka mjini kusaka ajira.
 
Back
Top Bottom