Black Beast
Senior Member
- Aug 6, 2019
- 127
- 487
Mdau upo windhoek daaah wasalimie swakopmund hahahPale windhoek Namibia ukisikia kelele hata za Birthday kwa jirani unapiga simu 911 haraka sana alafu unalala asubuhi utapata report Birthday boy/girl ameamkia jela.
Hahah huko Swakop mbali ni coast kabisa jangwa linakutana na bahari nishaenda mara moja, ila Windoek nimeenda mara kadhaa, kwa sasa nipo TZ kulikuwa kunalipa wakati wa nyumaMdau upo windhoek daaah wasalimie swakopmund hahah
Hawa ijumaa dimbani tena wanapima upepo nani alewe juma tatuHawapo serious..Nani anaenda bar jumatatu??why wasigome jumapili??
Nani anataka makelele??
Hapo umenenaSheria za Tanzania zinatokana ana maoni ya upande mmoja wa taasisi bila kushirikisha wadau ndo maana zinasumbua katika utendaji wake..
Nadhani ulimsikia mdau flani pale juzi kwenye kikao na pm kariakoo, mwigulu kawaacha wadau kwenye kikao yeye kakimblila bungeni kuzifanya ziwe sheria ilhali hata wadau hawamaliza kuzijadili hoja .
Windhoek maeneo gani umefika olimpia, havana, au big bend kwa wahuniHahah huko Swakop mbali ni coast kabisa jangwa linakutana na bahari nishaenda mara moja, ila Windoek nimeenda mara kadhaa, kwa sasa nipo TZ kulikuwa kunalipa wakati wa nyuma
Hahahaha ulienda kufanya nini windhoek we mzee, nilikua Natulia zangu sehemu inaitwa WANAHEDA huko big ben uswahilini sana swekeni [emoji23][emoji23][emoji23]Windhoek maeneo gani umefika olimpia, havana, au big bend kwa wahuni
MIe anisaidie kuwasalimia hapo walvis bay ,Omaruru!, Rundu , okahandla otavi....Mdau upo windhoek daaah wasalimie swakopmund hahah
Kama noma na iwe noma huyo ni mswahili na kijakazi wa msoga, hatakiwi hapo mazoooAmefuatwa Huko Huko Na Mgomo Uliomkimbiza Dar Es Salaam
Wamiliki wa baa na hoteli jijini Mwanza wamesema wataanzisha mgomo kuanzia kesho kutokana na baraza la Taifa la mazingira NEMC kufunga baa na hoteli zao huku nyingine zikipigwa faini kubwa kwa madai kuwa wanapiga muziki kupita kiasi.
View attachment 2630066
Wamiliki hao wamekutana kwenye kikao cha pamoja na kujadiliana kuhusu sheria za NEMC walizopewa hivi karibuni ambazo wanadai zinakwamisha shughuli zao na kusema ili waweze kupata ufumbuzi wa jambo hilo ni bora wagome kufanya kazi.
Chanzo: EATV
===
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii
Namkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.
Sheria ya mazingira ilipitishwa tangu mwaka 2004 na hicho kipengere kilikuwepo, kinachofanyika sasa ni kusimamia sheria tu. Kiukweli kuna baadhi ya maeneo ya starehe tena yapo katikati ya makazi ya watu wanapiga miziki kwa sauti kubwa sana, mbaya zaidi wanakesha. Serikali iwasikilize lakini na wenyewe wajitathmini.Wamiliki wa baa na hoteli jijini Mwanza wamesema wataanzisha mgomo kuanzia kesho kutokana na baraza la Taifa la mazingira NEMC kufunga baa na hoteli zao huku nyingine zikipigwa faini kubwa kwa madai kuwa wanapiga muziki kupita kiasi.
View attachment 2630066
Wamiliki hao wamekutana kwenye kikao cha pamoja na kujadiliana kuhusu sheria za NEMC walizopewa hivi karibuni ambazo wanadai zinakwamisha shughuli zao na kusema ili waweze kupata ufumbuzi wa jambo hilo ni bora wagome kufanya kazi.
Chanzo: EATV
===
Tatizo kubwa la serikali ni kupitisha sheria mbovu ambazo siyo rafiki kwa wafanyabiashara sasa mwanza wameamua kwa kauli moja ya kutifungua bar wala hotel yoyote jijini humo, mimi kwa maoni yangu mama ni vizuri aanze ufatiliaji wa watendaji wake akiendelea kuwachekea asishangae kushindwa kuiendesha serikali.
Haya yanayotokea siyo hayo tu taasisi nyingi za umma zinekuwa kero kwa jamii kwa ujumla mwenye nacho ndiye anapata huduma anayostahili kila mtendaji wa serikali anafanya atskavyo yeye mwenyewe hii ni kwasababu hakuna ufatiliaji wowote unaofanywa watu wapo maifisini kula pesa za umma huku hakuna huduma zinazitolewa kwenye jamii
Namkumbusha mama ashituke wateule wake asipowafatilia basi ajiandae chombo kinazama bila yeye kujuwa[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]mgomo kesho mwanza.
Kama hawawezi kudhibiti kelele shauri yao. !! Wakifunga mabaa itakuwa ni nafuu ya pesa zetu π π ππWanataka haki yao ya kupiga kelele?? π€£
Nipo dom nilienda huko kwa ajili ya training ya kilimo cha zabibu wale watu wanalima zabibu laaana chali yanguHahahaha ulienda kufanya nini windhoek we mzee, nilikua Natulia zangu sehemu inaitwa WANAHEDA huko big ben uswahilini sana swekeni [emoji23][emoji23][emoji23]