Wamiliki wa lodge kuweni serious

23. TV za chogo
24. Chaneli zinabadilishiwa reception
25. Lodge kuna paka
26.Sabuni za mche unakatika kakipande
27. Mwisho saa nne kukaa chumbani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora kuibiwa kuliko kuzinduka hauna mshipa wa taarabu.
 
Mwisho kuna wateja wasumbufu, hawana hekima unakuta taulo zipo na ni safi lakini wake kwa waume wanajifutia mashuka au foronya, sio ustaarabu, ni vyema mteja unapodai huduma bora na wewe mwenyewe ujiheshimu na kutunza kila kitu kwa ufasaha kama ulivokikuta
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa wakuu nitachomekea machimbo ya ifakara, mbinga, kahama, ambayo yana sifa bora na masafi mkifika huko direct mnaenda hapo mtahidumiwa vizuri sana kwa weledi mkubwa na bei kote ni 25k

Haya machimbo ya mbinga, kahama na ifakara, yana maji ya uhakika yaani ukiacha maji ya bomba lakini wana visima na maji ya moto masaa 24, ukitaka ya barid pia masaa 24, lakini wasafi sana
 
hahahahh pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila inabidi uwe wazifuatilia mara kwa mara maana wahudumu lazima watazipindisha ili wale pesa za short time

Ukiona lodge inatumika sana kwa short time ujue haina uongozi bora, yaani hapo kwanza kama ni 25k mtu akija na 10k aruhusiwe, hapana bei ni moja kama ni 25k ni hiyo hiyo hata ukikaa dakika kumi na tano ni wewe na zaidi kinachofanyika kuna vyumba ambavyo unavitenga kabisa kua hivi viwili au vitatu ni vya dharura ikitokea lakini vingine vinaheshimiwa ni vya kulala na hata room hizo za dharura pamoja na kuvitenga hivo ni siri ya uongozi na lazima vifanyiwe usafi mara kwa mara, akitoka mmoja kufanya mambo yake ni muhimu kubadili mashuka na kila kitu, na zile nyingine zifuliwe ndio maana room moja walau iwe na pea tatu hadi nne za shuka ili usilete usumbufu na zile airfreshner ndio huapply hapo sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…