MI nafikiri waweke safari za usiku, mabasi mengine yasafiri usikuHoja yako ina mashiko, kwanza sijawahi kuona mantiki ya Bus zote kuondoka saa 12 alfajiri. Iwekwe sheria Bus ziwe zinaondoka kwa intervals ya aidha nusu saa au saa moja. Yaani kuwe na ma Bus yanayoondoka Dar from saa 12 mpaka saa 5 asubuhi ili abiria wawe na choice kulingana na umuhimu wa safari yake na mahitaji mengine. Kwanza hii itapunguza ligi za kipuuzi huko barabarani.
Miti ipiWasiweke kwasababu watu watapiga miti badala ya kulala kuwahi basi
Kuongeza gharama, imagine mnasafiri familia watu watatu au zaidi mkalale guest ili muweze kuwahi Basi. Sio sahihiKwenye hicho kituo wangeweka Guest ili hao wa Kisemvule walalie hapo stand siku moja kabla ya safari
kwa sasa senta ya mji ni Mbezi sio Ubungo tena.Kusema kweli kwa sasa wateja wa mabasi ya mikoani kupitia njia ya Morogoro rd. Watapata tabu sana.
Kwanza naipongeza serikali kwa juhudi zake katika mradi huo lakini location si rafiki kwa wateja wote.
Unatokea Mbagala,Mbande, Kisewe, Vikindu, Kisemvule, Gongo la Mboto na Chanika n.k unaenda Moshi/Arusha saa 11:30 asubuhi inatakiwa uripoti kituoni safari saa 12 hujachelewa?
Ubungo alieibuni basi hatosahaulika kwani ilikua center kabisa ya Dar.
Ni muda sasa wamiliki wa mabasi kufungua matawi maeneo ya mbali (mf. Tajwa juu hapo) ili kuwasogezea huduma wateja bila hivyo TRC wanaweza kukimbiza sana soko la usafiri.
Kuna kampuni kama Ester,Tilisho wameamua kufuata abiria walipo. Kampuni hizi zinatoa basi moja moja kwenda Mbagala na Chamazi asubuhi na mapema. Njia hii imefanya kupata wateja wengi sana, sasa endeleeni kukariri biashara kama hamjashindwa.
Kwanini umewaza hivyo?Itatoa fursa ya michepuko kupigana mizizi huko
Watahamishia MorogoroMbezi nayo tutakuja kuona ni center itabidi wahamishe tena!
Kabisa.... Maana kutoka Chanika hadi ufike Ubungo saa 12 asubuhi, gharama yake inaweza ikawa sawa na nauli ya unakokwenda... Hata ukiamua kulala Mbezi ili uwahi badoo..!!!Kusema kweli kwa sasa wateja wa mabasi ya mikoani kupitia njia ya Morogoro rd. Watapata tabu sana.
Kwanza naipongeza serikali kwa juhudi zake katika mradi huo lakini location si rafiki kwa wateja wote.
Unatokea Mbagala,Mbande, Kisewe, Vikindu, Kisemvule, Gongo la Mboto na Chanika n.k unaenda Moshi/Arusha saa 11:30 asubuhi inatakiwa uripoti kituoni safari saa 12 hujachelewa?
Ubungo alieibuni basi hatosahaulika kwani ilikua center kabisa ya Dar.
Ni muda sasa wamiliki wa mabasi kufungua matawi maeneo ya mbali (mf. Tajwa juu hapo) ili kuwasogezea huduma wateja bila hivyo TRC wanaweza kukimbiza sana soko la usafiri.
Kuna kampuni kama Ester,Tilisho wameamua kufuata abiria walipo. Kampuni hizi zinatoa basi moja moja kwenda Mbagala na Chamazi asubuhi na mapema. Njia hii imefanya kupata wateja wengi sana, sasa endeleeni kukariri biashara kama hamjashindwa.
Basi tuu nakasirikaga nikiona Uzi wa ajab ajab kama huu
Hata hapo ubungo wapo watu waliokua wanatokea chanika,kisemvule, majohe walikua wanalala zile hotel unazoziona pale Ubungo and vice versa HIVYO JARIBU KUFIKIRI WAKATI MWENGINE
By the way Ubungo is the second terminal baada ya Mnazi mmoja Miaka hio
Inategemea umbali wa safari ndugu na pia uwingi wa abiria wanaokwenda mkoa husika.Hoja yako ina mashiko, kwanza sijawahi kuona mantiki ya Bus zote kuondoka saa 12 alfajiri. Iwekwe sheria Bus ziwe zinaondoka kwa intervals ya aidha nusu saa au saa moja. Yaani kuwe na ma Bus yanayoondoka Dar from saa 12 mpaka saa 5 asubuhi ili abiria wawe na choice kulingana na umuhimu wa safari yake na mahitaji mengine. Kwanza hii itapunguza ligi za kipuuzi huko barabarani.
Hoja yako ina mashiko, kwanza sijawahi kuona mantiki ya Bus zote kuondoka saa 12 alfajiri. Iwekwe sheria Bus ziwe zinaondoka kwa intervals ya aidha nusu saa au saa moja. Yaani kuwe na ma Bus yanayoondoka Dar from saa 12 mpaka saa 5 asubuhi ili abiria wawe na choice kulingana na umuhimu wa safari yake na mahitaji mengine. Kwanza hii itapunguza ligi za kipuuzi huko barabarani.
Kwa nini bus zote 100 au 200 zitoke saa 12 asubuhi? Why???? Kwa nini mengine yasitoke saa moja, saa mbili, saa tatu, saa 4 au saa tano??
kwa sasa senta ya mji ni Mbezi sio Ubungo tena.
kwa sasa kariakoo inahamia mbezi, kwa kifupi mbezi na maeneo mengine kama kibamba, kiluvya nk ndio kila kitu wajanja wamesha wahi kujenga maeneo hayo maaana mji umetanukia huko sasa, lkn naamini hata wanao toka kisemvule, gmboto,mbagala n.k wanapaswa kuwahi tu hakuna mamna mwishowe watazoea tu, mwanzo mgumu