Wamiliki wa mabasi wapandisha nauli kwa wanafunzi, SUMATRA na Polisi wabariki kadhia hii

Wamiliki wa mabasi wapandisha nauli kwa wanafunzi, SUMATRA na Polisi wabariki kadhia hii

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
 
Kupandisha Bei ya mafuta mwitikio wake utakua ni kupanda almost Kila kitu

Inflation hii hapa halafu huyu Mama eti anataka kutengeneza uchumu, uchumi upi ? Hivi ndivyo wanavyo tengeneza uchumi kwa kuleta inflation ?

Waziri wa fedha na uchumi ndo takataka kabisa [emoji34][emoji34]
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Polisi na Sumatra wafanye nini?

Mmeamua kuongeza kodi mafuta mnatarajia nini?
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi

Kwani wamiliki wa mabasi ndiyo wanaokuwa kwenye uendeshaji wa mabasi. Mwenye mabasi yuko Moro ana mabasi hata 10 anawajibika vipi na kadhia hii inayotokea kwenye mabasi yake Dar, Tanga au Mwanza?

Uvivu wa kufikiri ndiyo unaotuweka tulipo leo na kutotambua hata katiba inataka nini.
 
Mamlaka za nchi hazijawahi kulala. Zinawachora tu wanaopandisha bei kiholela. Muda sio mrefu watalia na kusaga meno.

Mama hataki dhuluma na uonevu.
 
Kupandisha Bei ya mafuta mwitikio wake utakua ni kupanda almost Kila kitu

Inflation hii hapa halafu huyu Mama eti anataka kutengeneza uchumu, uchumi upi ? Hivi ndivyo wanavyo tengeneza uchumi kwa kuleta inflation ?

Waziri wa fedha na uchumi ndo takataka kabisa [emoji34][emoji34]
Mwigulu hajawahi kufanikisha lolote labda kutesa wapinzani.
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Serikali ya chama kimoja inafanya vizuri sana hata tusipige kelele
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Matukio kama haya ndiyo yanatufanya baadhi yetu tuendelee Kumkumbuka Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani alikuwa halei Upuuzi kama huu na nina uhakika angekuwepo Hai kwa Tukio hili kuna Watu leo hii hii Vibarua vyao vingeota Nyasi.

Mama ( Rais Samia ) usiwe Mpole sana mpaka Watendaji wako wakaanza Kukuzoea. Wakazie kama Mwamba ( Baba JPM ) alivyokuwa akikaza ili Waswahili tunyooke na ukijifanya Kutulegezea tu ndiyo unaharibu. Waswahili bila Ubabe, Amri na Umafia kidogo hatuendi.
 
Back
Top Bottom