kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.
Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?
Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.
Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?
Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi