Wamiliki wa mabasi wapandisha nauli kwa wanafunzi, SUMATRA na Polisi wabariki kadhia hii

Wamiliki wa mabasi wapandisha nauli kwa wanafunzi, SUMATRA na Polisi wabariki kadhia hii

Matukio kama haya ndiyo yanatufanya baadhi yetu tuendelee Kumkumbuka Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani alikuwa halei Upuuzi kama huu na nina uhakika angekuwepo Hai kwa Tukio hili kuna Watu leo hii hii Vibarua vyao vingeota Nyasi.

Mama ( Rais Samia ) usiwe Mpole sana mpaka Watendaji wako wakaanza Kukuzoea. Wakazie kama Mwamba ( Baba JPM ) alivyokuwa akikaza ili Waswahili tunyooke na ukijifanya Kutulegezea tu ndiyo unaharibu. Waswahili bila Ubabe, Amri na Umafia kidogo hatuendi.
... unayemsifia ni failure. Angekuwa smart kama unavyotaka tuamini angejenga mifumo imara hata baada ya kuondoka kwake mambo yangeenda sawa. Badala yake was busy kuji- brand yeye. Alidhani angeishi milele? Na hilo ndio tatizo.
 
Jambo la kupanda kwa gharama za vitu ni kawaida sana ukilinganisha na kupanda kwa bei ya mafuta (fuel). Kiuchumi inafanya nchi kuwa imara, kuimarika kwa nchi hakui kwa bidhaa kuwa rahisi. Nchi inaimarika kiuchumi kupitia kodi na mneso wa bei za vitu vya lazima kama mafuta ambayo serikali yenyewe ndiye mteja mkubwa. Sasa kwenye upande wa kodi raia tumepata hauweni hivyo tutegemee upande mwingine huku mseleleko hautokuwepo, shariti tujikaze tu. Kwani kama na huku kwenye mafuta kukipooza nchi itadorora kiuchumi hivyo kutufanya tusipate katiba yetu mpya ambayo mambo yakijiseti tunakuwa nayo mezani.
Hivyo watanzania wenzangu tuweni wapole na tuwe na subira...! Ile topic ya Isostacy kwenye georaphy ina maana sana..!
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Wa Bajaj mbona bei yao ni kubwa na wanatumia barabara hizihizi? Kwanini tuwabane wenye mabasi tu?
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Wamekwamia stand ipi?

Afu unakumbuka kipindi cha risiti za kielekroniki awamu ya Jiwe nauli zilioanda? Maendeleo yana gharama..hii nchi imejaa walalamishi na wakulaumu,lazima kutoa kodi kuchangia maendeleo no way out.

Mwingine alikuwa analalama kodi ya kindergarten utafikiri alilazimishwa kupeleka mtoto private
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Kwani Kuna nauli maalum ya wanafunzi kwa mabasi ya mkoa?? Ilianza lini
 
... unayemsifia ni failure. Angekuwa smart kama unavyotaka tuamini angejenga mifumo imara hata baada ya kuondoka kwake mambo yangeenda sawa. Badala yake was busy kuji- brand yeye. Alidhani angeishi milele? Na hilo ndio tatizo.
Magufuli hakuwahi kifeli wewe kilaza. Ndo maana unabweka hapa kumfatilia kila siku. Waliofeli hawajadiliwi kila siku kama wewe nyumbu ambavo hutajadiliwa.
 
SUMATRA na Polisi mnaposhindwa kudhibiti kadhia ya ongezeko holela la nauli kipindi hiki Cha kurejea mashuleni kwa wanafunzi tunashindwa kuelewa mnapewa nn na wamiliki wa mabus.

Wanafunzi wasio na fedha wamekwama stendi mikoani kwa kushindwa kupata huduma, mabus yanakata tiketi kwa bei wanazojiamulia na mnajua kabisa ila hakuna udhibiti. Tunafika ofisini kwenu mmefunga ofisi mmelala mnatusaidia nn? Stend kuu Dar Hali Ni tete watoto wamekwama kwenda shule kisa ukubwa wa nauli.

Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani unamsubiri Waziri na Mhe Rais aseme? SUMATRA mnasubiri nn kutoa taadhari kwa umma Kama miaka ya nyuma, au mnatingisha kiberiti?

Naamini hii kadhia itaondoka na watu msipowakamata wale wote waliopandisha nauli. Simamisheni mabus muhoji wamelipa nauli kiasi gani abiria mtagundua bei siyo elekezi Ni bei tapelezi
Mkuu, siku hizi haiitwi SUMATRA(Surface and Marine Transport Regulatory Authority), bali ni LATRA (Land Transport Regulatory Authority). Asante.
 
Wakati wake vitu havikupanda? Unakumbuka aliikuta sukari ikiwa shilingi ngapi? Mafuta ya kula je? Petro, dizel na mafuta ya taa je? Wacheni kujiambatanisha na watu waongo. Uongo ndicho pekee huyu ndugu alichofanikiwa.
Matukio kama haya ndiyo yanatufanya baadhi yetu tuendelee Kumkumbuka Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani alikuwa halei Upuuzi kama huu na nina uhakika angekuwepo Hai kwa Tukio hili kuna Watu leo hii hii Vibarua vyao vingeota Nyasi.

Mama ( Rais Samia ) usiwe Mpole sana mpaka Watendaji wako wakaanza Kukuzoea. Wakazie kama Mwamba ( Baba JPM ) alivyokuwa akikaza ili Waswahili tunyooke na ukijifanya Kutulegezea tu ndiyo unaharibu. Waswahili bila Ubabe, Amri na Umafia kidogo hatuendi.
 
Mafuta yamepanda so almost every thing kitapanda tu sijui hawakufikiria hili na waziri wa fedha eti ni mchumi loh
 
Kupandisha Bei ya mafuta mwitikio wake utakua ni kupanda almost Kila kitu

Inflation hii hapa halafu huyu Mama eti anataka kutengeneza uchumu, uchumi upi ? Hivi ndivyo wanavyo tengeneza uchumi kwa kuleta inflation ?

Waziri wa fedha na uchumi ndo takataka kabisa [emoji34][emoji34]
Hahahaaaaa mamaa anaangushwa bila yeye kujua
 
Kwamba asingefanya haya angeweza kubadili jambo pale bungeni? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mkuu ile bajeti ilipita kama tonge kwenye mrenda!

Fikiria wana harakati wote tangu twitter, jf, facebook, Instagram na kwenye magroup yote ya chadema kulikuwa na kampeni yakusaini petition ili Diamond atolewe tuzo za BET kisa alimpigia kampeni Magu!

Na wengine wakawa wanademka na mama wakimsifu kwa hatua yake ya Sabaya kukamatwa. Wakisema mother anaupiga mwingi sana.

Wakati haho yakiendelea bajeti ya mwigulu ikapita bila kelele zozote!
 
Wakati bungeni Mwigulu anawasilisha bajeti na kuongeza shilingi 100 kwa kila Lita moja ya petrol mlikuwa bize kupiga Umbea Instagram.


Sasa hayo ndio matokeo yake Hadi pale mtakapokuwa serious na Mambo yanayogusa maisha yenu. Natamani nauli za mabasi zifike Hadi 500,000 ili mpate akili.
 
Matukio kama haya ndiyo yanatufanya baadhi yetu tuendelee Kumkumbuka Hayati Rais Dkt. Magufuli kwani alikuwa halei Upuuzi kama huu na nina uhakika angekuwepo Hai kwa Tukio hili kuna Watu leo hii hii Vibarua vyao vingeota Nyasi.

Mama ( Rais Samia ) usiwe Mpole sana mpaka Watendaji wako wakaanza Kukuzoea. Wakazie kama Mwamba ( Baba JPM ) alivyokuwa akikaza ili Waswahili tunyooke na ukijifanya Kutulegezea tu ndiyo unaharibu. Waswahili bila Ubabe, Amri na Umafia kidogo hatuendi.
kodi ya mafuta imepanda, unategemea wenye mabasi wafanye nini? Anayeuumia ni final consumer
 
Back
Top Bottom