Wamiliki wa mabasi wapandisha nauli kwa wanafunzi, SUMATRA na Polisi wabariki kadhia hii

Mafuta yamepanda so almost every thing kitapanda tu sijui hawakufikiria hili na waziri wa fedha eti ni mchumi loh
Waziri wa fedha si wa kumuamini sijajua mama alijiamini nini. Kama ndio yalikuwa mambo ya kutunza legacy haya ajiandae kuchukiwa na wananchi mana kila kitu kinacho gusa wananchi moja kwa moja bei imepaa sasa na wasubiri tu swala la vocha makato kila mwezi na na bado makato kupitia luku,ziandaliwe nyimbo tu.
 
SUMATRA haipo mkuu mwendazake aliifutilia mbali akaanzisha ya kwake LATRA ambayo hata hivyo ilishashindwa kufanya kazi.

Kikubwa jamaa aache legacy aliua taasisi efficient kama SUMATRA akaanzisha yake.

Kuna watu wana roho mbaya sana
 
CHADEMA wametuchelewesha sana kwakweli . Mama piga kazi, ndugai pandisheni bei ya kila kitu kwenye bajeti ijayo . Ccm inachapa kazi sana. [emoji23][emoji23] tutaongea lugha moja tu dadeki . Subiri bei ya vyakula itakavyo panda na ada za shule ndo tutajua umuhimu wa katiba mpya
 
Wajuzi wa mambo wanapoacha kufanya mambo yao, na wakachukua nafasi wasiokuwa wajuzi wa mambo kinachofuata ni maangamizi.......
 
... unayemsifia ni failure. Angekuwa smart kama unavyotaka tuamini angejenga mifumo imara hata baada ya kuondoka kwake mambo yangeenda sawa. Badala yake was busy kuji- brand yeye. Alidhani angeishi milele? Na hilo ndio tatizo.
Hahaa jamaa jinga hili.......
 
Jiwe alikuta sukari kilo inauzwa 1500 mwaka 2015, mwaka 2018 sukari ilianza kuuzwa 2500 mpaka leo.
Hata mafuta ya kula wameshindwa kushusha tena lita moja imebaki 5k badala ya 3k aliyoiacha mkwere.

Kuna watu wana roho mbaya sana
 
Na wewe kama una biashara pandisha bei...ndio mwendo huu. Ukitumia hela ya ziada maana ahkikisha inarudi ktk mzunguko wako...na wewe pandisha, kama umepangisha pandisha kodi pia
 
Hii budget ndio imekuja kutunyonga kabisa Kila kitu Cha muhimu ndo kinawekewa mikodi, Hadi vocha na hapo tu kabla tulikuwa tunakatwa amount Bado kaongezea nyingine.
 
Si CHADEMA ilishakufa mkuu, ulitegemea kitu mfu kipiganie bajeti ?
 
Kumbe mnawategemea CHADEMA wawapigie kelele wakati nyinyi mnakuna pumbu nyumbani kwenu ?
 
Hii budget ndio imekuja kutunyonga kabisa Kila kitu Cha muhimu ndo kinawekewa mikodi, Hadi vocha na hapo tu kabla tulikuwa tunakatwa amount Bado kaongezea nyingine.
Mwigulu anajua anacho kifanya ingawa naona mama anademka tu. Maana nilifuatilia kikao chake na wamiliki wa mitandao picha niliyo iona na kauli zake kwa wale wawekezaji huhitaji kengele kujua dhamira yake.
 
Sasa polisi wanahusikaje na upandaji wa nauli?? Wakati serikali yako ya ccm imeongeza Kodi kwenye mafuta ya petrol na dizel?
 
Sukari, mafuta ya kula na korosho enzi za jiwe vyote ni FFF
Magufuli hakuwahi kifeli wewe kilaza. Ndo maana unabweka hapa kumfatilia kila siku. Waliofeli hawajadiliwi kila siku kama wewe nyumbu ambavo hutajadiliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…