Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika



Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu.

Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma na kuandika.

Krapf alikuwa na barua mkononi kutoka Zanzibar kwa Sultan Barghash ikimuomba Chief Kimweri amsaidie Krapf kwani ni "mtu wa Mungu."

Herufi walizokuwa wakitumia zilikuwa za Kiarabu.

Wajerumani kwa ajili hii basi waliwaajiri Waislam kama walimu, wakalimani na makarani serikalini.

Wamisionari na wakoloni waliona wivu kwa maendeleo haya waliyoyakuta kwa Waislam.

Kubwa zaidi ni kuwa walikuwa wamekuja kustaarabisha watu "washenzi'' badala yake wamewakuta watu walistaarabika na wanye utamaduni wa kupendeza.

Elimu hii yote na utamaduni huu wa hali ya juu ulikuwa unatokana na Uislam na elimu iliyokuwa imetolewa na madras.

Hapo ndipo zilipoaanza mbinu ya kuvunja maendeleo haya yote.

Herufi za Kiarabu zikapigwa marufuku kutumika na badala yake watu wakalazimishwa kujifunza herufi za Kirumi.

Muislam ambae jana alipoingia kulala alikuwa anaitwa ameelimika akaamka asubuhi yake mjinga, hana elimu, hajui kusoma wala kuandika.

Njama hizi zote dhidi ya Uislam ilikuwa sehemu ya makubaliano kama ilivyoandikwa katika kifungu IV cha Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884.

Kifungu hicho kilikuwa kinasema kuwa Ukristo ni lazima ulindwe dhidi ya Uislam.

Kati ya mwaka 1888 -1892 katika kutekeleza kifungu hicho kama ilivyokubalika katia Mkutano wa Berlin, Imperial British East Africa Company ilitumia nguvu za kisiasa na kijeshi kuulinda Ukristo na taasisi zake zote katika Afrika ya Mashariki.

Ombwe lililoachwa na madrsa ikajazwa na shule zilizojengwa na Serikali na Kanisa chini ya usimamizi wa wakoloni.

Historia iliyoandikwa inasema kuwa Kanisa ndilo lililoweka msingi wa kwanza wa elimu Tanganyika.

Ukweli ni kuwa Wamisionari walifuata nyayo za madras na walimu wa kwanza katika shule za misheni walikuwa Waislam ambao hawakusoma katika shule za kanisa bali katika madras.

(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes 1998).

Baada ya karne mbili Rais wa Tanzania kutoka Zanzibar anampa zawadi ya mlango wa Kizanzibari Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani ndani ya Vatican na kumweleza maneno haya:

"This is the door... " - Sultan opened for Christianity..."

Huu ndiyo mlango uliofunguliwa kwa Ukristo kuingia Zanzibar na Afrika ya Mashariki.

Wamisionari na wakoloni waliwaonea wivu waislam kwa kuajiriwa na wajerumani,au mimi ndo sijaelewa?
 
Wamisionari na wakoloni waliwaonea wivu waislam kwa kuajiriwa na wajerumani,au mimi ndo sijaelewa?
Nan...
Wamisionari mfano wa Johann Krapf wamekuja Afrika wakiita Dark Continent wakiamini wanakuja kuwastaarabisha watu waliokuwa washenzi hawana mila, desturi wala historia.

Krapf alipofika Zanzibar akapewa barua na Sultan Barghash ampelekee Chief Kimweri Vuga.

Anafika Vuga Chief Kimweri anaipokea barua na anaisoma.

Barua imeandikwa kwa Arabic Script.

Chief Kimweri yuko katika Barza yake anahukumu kesi na anajua kusoma na kuandika na ni Muislam anamuamini Mungu Mmoja.

Alikotoka kwao Ujerumani kaacha shule Vuga anakuta madrasa zinasomesha watoto zile 3Rs, yaani Reading, Writing na Arithmetic.

Liko wapi hilo Black Continent.

Haliko Zanzibar wala Vuga kote kakuta utawala unaoendesha serikali na raia wanatii hizo mamlaka.

Ikiwa hujaelewa usione tabu kuuliza.
 
Sultan Barghash wa Oman ndio alikua mtawala enzi hizo unaambiwa hata hio Dar es Salaam ilikua chini ya Sultan Majid bin Said yeye ndio Founder wa Dar es Salaam, elewa neno Founder
Wazungu wakituita waafrika shit hole country mnasema wanatubagua.

Yani mtu katoka Oman anakuja kutawala Dar es salaam alafu unaona kitu Cha kujivunia.

Waarabu wamekuja waliwakuta wazee na dini zao za asili, lakini kwa ujinga wa wazee wetu wanaacha asili na wao wakaanza kujiona waarabu. Vivyohivyo kwa wakristu.

Hii issue ya Samia ya Samia kukutana na Papa, Mimi kama mkotoliki naiona issue ya kawaida kabisa Haina uzito wowote, lakini huyu Mzee mleta mada anachambua kama siyo kitu Cha kawaida.

Ninashangaaga sana kwanini waislamu wanakuwa watu wa kujishtukia sana. Wakati hao wanaowaongelea hawana hata habari nao.
 
Mr Mutuu,
Sijaandika udini.

Nakuwekea ushahidi wa picha tatu tu kuthibitisha kuwa hilo usemalo si kweli.

Nimealikwa kuzungumza vyuo kadhaa ndani na nje ya Tanzania kikubwa kupita vyote ni Northwestern University, Chicago USA ambao wao wanaongoza dunia katika African History:


Mimi ni mmoja wa waandishis zaidi ya 500 kutoka kona zote za dunia walioandika hilo Kamusi hapo chini na niliombwa kuandika maisha ya Kleist Sykes (1894 - 1949).

Naalikwa kuzungumza katika vyombo vikubwa duniani na kikubwa kupita vyote ni VoA angalia picha hiyo hapo chini:
View attachment 2902702
Kote huko nilikopita wasione udini wangu ila wewe?
Sijapata kupuuzwa.

Ingekuwa rahisi kupuuza kalamu yangu ungeanza wewe.
Kiongozi una interview ulizowahi kufanya kwa kingereza naomba link nikakusikilize tafadhali
 
Wazungu wakituita waafrika shit hole country mnasema wanatubagua.

Yani mtu katoka Oman anakuja kutawala Dar es salaam alafu unaona kitu Cha kujivunia.

Waarabu wamekuja waliwakuta wazee na dini zao za asili, lakini kwa ujinga wa wazee wetu wanaacha asili na wao wakaanza kujiona waarabu. Vivyohivyo kwa wakristu.

Hii issue ya Samia ya Samia kukutana na Papa, Mimi kama mkotoliki naiona issue ya kawaida kabisa Haina uzito wowote, lakini huyu Mzee mleta mada anachambua kama siyo kitu Cha kawaida.

Ninashangaaga sana kwanini waislamu wanakuwa watu wa kujishtukia sana. Wakati hao wanaowaongelea hawana hata habari nao.
Kwako unaona ni kitu cha kawaida Ila kwao ni endorsement moja kubwa sana,
 


Wajerumani walipofika Tanganyika waliwakuta Waislam wanafahamu kuandika, kusoma na walikuwa wameelimika katika hesabu.

Mmishionari Ludwig Krapf alipofika kwa Chifu Kimweri wa Usambaa mwaka 1848 alimkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma na kuandika.

Krapf alikuwa na barua mkononi kutoka Zanzibar kwa Sultan Barghash ikimuomba Chief Kimweri amsaidie Krapf kwani ni "mtu wa Mungu."

Herufi walizokuwa wakitumia zilikuwa za Kiarabu.

Wajerumani kwa ajili hii basi waliwaajiri Waislam kama walimu, wakalimani na makarani serikalini.

Wamisionari na wakoloni waliona wivu kwa maendeleo haya waliyoyakuta kwa Waislam.

Kubwa zaidi ni kuwa walikuwa wamekuja kustaarabisha watu "washenzi'' badala yake wamewakuta watu walistaarabika na wanye utamaduni wa kupendeza.

Elimu hii yote na utamaduni huu wa hali ya juu ulikuwa unatokana na Uislam na elimu iliyokuwa imetolewa na madras.

Hapo ndipo zilipoaanza mbinu ya kuvunja maendeleo haya yote.

Herufi za Kiarabu zikapigwa marufuku kutumika na badala yake watu wakalazimishwa kujifunza herufi za Kirumi.

Muislam ambae jana alipoingia kulala alikuwa anaitwa ameelimika akaamka asubuhi yake mjinga, hana elimu, hajui kusoma wala kuandika.

Njama hizi zote dhidi ya Uislam ilikuwa sehemu ya makubaliano kama ilivyoandikwa katika kifungu IV cha Mkutano wa Berlin wa mwaka 1884.

Kifungu hicho kilikuwa kinasema kuwa Ukristo ni lazima ulindwe dhidi ya Uislam.

Kati ya mwaka 1888 -1892 katika kutekeleza kifungu hicho kama ilivyokubalika katia Mkutano wa Berlin, Imperial British East Africa Company ilitumia nguvu za kisiasa na kijeshi kuulinda Ukristo na taasisi zake zote katika Afrika ya Mashariki.

Ombwe lililoachwa na madrsa ikajazwa na shule zilizojengwa na Serikali na Kanisa chini ya usimamizi wa wakoloni.

Historia iliyoandikwa inasema kuwa Kanisa ndilo lililoweka msingi wa kwanza wa elimu Tanganyika.

Ukweli ni kuwa Wamisionari walifuata nyayo za madras na walimu wa kwanza katika shule za misheni walikuwa Waislam ambao hawakusoma katika shule za kanisa bali katika madras.

(Kutoka kitabu cha Abdul Sykes 1998).

Baada ya karne mbili Rais wa Tanzania kutoka Zanzibar anampa zawadi ya mlango wa Kizanzibari Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani ndani ya Vatican na kumweleza maneno haya:

"This is the door... " - Sultan opened for Christianity..."

Huu ndiyo mlango uliofunguliwa kwa Ukristo kuingia Zanzibar na Afrika ya Mashariki.

Madrasa hufundisha Quraan na Kiarabu na sio English,Hisabati au sayansi.... Watoto wa Kiislam wengi walizuiwa na wazazi wao kusoma shule za misheni kwa kuwaambia kuwa watakuwa wakristo..... Kama kusoma na kuandika ni Kiarabu lakini sio lugha ingine.Kumbuka kuwa Vatican ni Nchi kama Nchi ingine na Mataifa yote yana Balozi zake Vatican.Tatizo la Waislam ni kuona kila kitu wanadhurumiwa , mnalalamika sana bila kuchukuwa hatua za kujikwamua na madhira yanayowakabili
 
Tupe link za English mzee , tusibitoshe kama kweli wewe ni msomi na Wakaloni walikukuta unajua soma na kuandika English na kijerumani
Hahaha
Unataka kusema nini?

Kuwa vitabu vyake vya kizungu kaandikiwa?

Au hajawahi kuhojiwa na VoA?

Sijajua mantiki ya hii.
 
Back
Top Bottom