Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Mzee Mohammed ameanza kuandika historia ya Tanganyika mda. Na ametoa vitabu vingi ila kuna jambo linanitatiza
1. Anatumia nguvu kubwa kuiandika historia ya Tanganyika, lakini mwamko wa watanganyika kutala kujua historia ni mdogo sana, kwa nini? Je kujua historia hii kunaweza kubadilisha hali duni na kuleta maendeleo kwa watanzania?
2. Historia za mzee Mohammed zinalenga kuonyesha nguvu za waislam katika uhuru na Tanganyika. Ila mzee wetu anasahau mchango mkubwa uliofabywa na watu wengine ikiwemo machief, wasomi nk. Ila historia hii imejikita kwa waislamu na wazee wa Dar es Salaam. Je historia ya Tanganyika na uhuru wake unaletwa na waislam pekee?
Ila nataka kumpongeza sana mzee wetu Mohammed Said. Kwa kuandika historia yake kuhusu Tanganyika imeonekana kabisa kuna mapungufu makubwa kwenye historia iliyokuwepo, pia siku zote uongo hujitenga pale penye ukweli. .
1. Anatumia nguvu kubwa kuiandika historia ya Tanganyika, lakini mwamko wa watanganyika kutala kujua historia ni mdogo sana, kwa nini? Je kujua historia hii kunaweza kubadilisha hali duni na kuleta maendeleo kwa watanzania?
2. Historia za mzee Mohammed zinalenga kuonyesha nguvu za waislam katika uhuru na Tanganyika. Ila mzee wetu anasahau mchango mkubwa uliofabywa na watu wengine ikiwemo machief, wasomi nk. Ila historia hii imejikita kwa waislamu na wazee wa Dar es Salaam. Je historia ya Tanganyika na uhuru wake unaletwa na waislam pekee?
Ila nataka kumpongeza sana mzee wetu Mohammed Said. Kwa kuandika historia yake kuhusu Tanganyika imeonekana kabisa kuna mapungufu makubwa kwenye historia iliyokuwepo, pia siku zote uongo hujitenga pale penye ukweli. .