Si mlikuwa mnapiga na kutoa vitisho na matambo kuwa mtaandamana hata ikibidi kufa bila kuzuiwa wala kuzuiwa na polisi.
 
Ukizeeka utakuwa mchawi.
 
Hivi we jinga kweli. Hujui kuwa polisi walitumia nguvu nyingi kuzuia. Uwe unatumia akiri, hivi mtu aliyefiwa/kupotelea na ndugu yake anakuelewaje? Uliona babake mdogo na soka anavyolia?
Baba yake Soka ana madeni, pia analia kwa kuwa mwanaye hakumlea vizuri, mtoto mdogo anatukana watu kila siku, asiyefunzwa na wazazi, ulimwengu humfunza, acha afunzwe
 
Baba yake Soka ana madeni, pia analia kwa kuwa mwanaye hakumlea vizuri, mtoto mdogo anatukana watu kila siku, asiyefunzwa na wazazi, ulimwengu humfunza, acha afunzwe
Una laana kali sana wewe! Ningesema ya Soka na yamtokee mwanao ila nikirudia maandiko yako kwa jicho la tatu naona wewe hauwezi kuwa na mtoto eitha kwa kuzaliwa tasa au kwa kuvunjwa kwenye harakati zako za 🌈 maana kadhia hiyo mnaipitia vijana wetu wengi wa uvccm mnaoitana makomredi
 
Balozi wenu wa kutoka kwa Bidden huwa mnasaga naye nyama?
 
Balozi wenu wa kutoka kwa Bidden huwa mnasaga naye nyama?
Nyie ndio zenu hizo! Mchana wababe, jioni mnalembuliana macho! Bangladeshi.
 

Attachments

  • 20240923_183715.jpg
    18.7 KB · Views: 1
Nitaendelea kukukumbusha ujuha wako wa kujidai saa hizi Mbowe kuwa mwamba kwako.

Kama Mbowe alisusiwa kuungwa mkono kwenye maandamano kwanini aendelee kuwa mwenyekiti?
 
Hii ilionesha dhahiri kua kaishiwa ushawishi
 
Kuna wazazi walipata hasara !

Kuwa na mtoto asiyejitambua wala hajui anasimamia wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…