WIMBo wa zamani: Mbowe, Lisu, Lema huwa hawajitokezi huwaachia wananchi kupigwa.

Ukweli: Mbowe, Lisu, Lema wote wamejitokeza hadi na familia zao- polisi wote na FFU na Tiss na watekaji na CCM na silaha za kivita tumeziona.

Wimbo Mpya: ati wananchi hawakutokea, ati hakuna mafanikio. Jamani mnatufanya waTanganyika wajinga? Yaani hatuoni? Hatuna akili?

Milestone: Viongozi wa Chadema score 99.99%
Future: wananchi wamefarijika viongozi wa Chadema ni jasiri ni kama Nyerere alivyokuwa anawapinga wakoloni hakuna wananchi wengi walikuwa wanajitokeza. Lakini walikuwa wanatoa support.

Conclusion: Ushindi kwa Chadema, Dictator Samia kaharibu kila kitu na hamna atakayemwamini hasa baada ya kuotokujitenganisha na watekaji. Dictator anaangalia maslahi yake tu na familia yake.

Bravado Chadema
 
Kwa idadi ya nguvu ya dola iliotumika kuogopesha watu, huwezi tumia idadi ya waliokuwepo kupima popularity ya chama hicho.
 
Ni mwendo wa kujifariji tuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wamefanikiwa Kwa nyie nyumbu kukimbia maandamano na kumsusia Mbowe? πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Walikosea timing tu huwezi pata waandamanaji DAR, ILA ingekuwa Mwanza, Arusha na Mbeya watu wangejitokeza.
 
JAPANESE UNCENSORED
 
Kuna watu wako brain washed mpaka inatisha yaani maandamano yamepangwa kufanyika Dsm polisi wamerespond kwa siraha na nguvu kubwaa hadi Simiyu huko bado unasema utumbo huu au kwako power nini
Anaonesha ushabiki wa dhahiri . Huku mikoani vibaka wanatusumbua , polisi wote wapo Dar.
 
Hahahahaha. Kujiliwaza ni muhimu ktk maisha haya.!!
 
Vyombo vya habari vyote vimeelemea CCM kufuatia amri ya kutokubali watu watoe maoni kinzani.
 
Hakipo yangu ni moja tu kuwa CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa kadri ya uhai wake.Hakuna wa kuitenganisha CCM na Taifa letu.
 
Ukiweza kasome MYTH OF THE CAVE cha Plato katika andiko lake la THE COLLEGE
Wasaliti wakubwa tu nyie.ungekwenda ukaandamane.wapiga kelele tu Ninyi. CCM ndio tumaini la watanzania na itaendelea kuongoza kwa kadri ya uhai wa Taifa letu
 
Wasaliti wakubwa tu nyie.ungekwenda ukaandamane.wapiga kelele tu Ninyi. CCM ndio tumaini la watanzania na itaendelea kuongoza kwa kadri ya uhai wa Taifa letu
Ataandamana vipi huku bunduki na mabomu yako tayari kuondoa maisha yake?
Kipimo sahihi kama Chadema inakubalika ilikuwa waiache Ipange maandamano yake na CCM iseme hayana maana yapuuzwe kisha polisi watimize wajibu wao kulinda maandamano. Hapo ndio tungeona kama Chadema inapuuzwa au laa? Watu wanakamatwa na kupigwa kisha asiyeenda unataka kumlaumu? Au mnataka vita? Kwamba waandamanaji wamesema ya amani mlitaka wake na Mishale muuane?
Naona karibuni yatatokea ya Sudan maandamano kulindwa na wanajeshi kisha tuone hao policcm watasogea.
 
saccos yake sasa hivi haina mvutoi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…