Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Ni kweli kabisa Pascal Mayala sio Mjumbe wa Mkutano huo Mkuu wa JimboPascal siyo mjumbe!
na hata yeye amekubali hivyo kuwa kaambulia kupigiwa moja
Wanabodi, Hili ni bandiko la ombi maalum kwa Wana JF wenzangu, nawaombeni sana mnipe pole na msinicheke, wala msinibeze, kujaribu kugombea ubunge wa Kawe kupitia CCM, nimeambulia kura 1!
Kwanza nimekubali matokeo na kukubali kuwa ama kweli CCM Ina wenyewe!
eni tu pole!.
Paskali
Uchaguzi 2020 - Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata