Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Wana sayansi waanza kukukbali uwepo wa Mungu

Naweza "kuamini" kuwa nimefika hapo kisiwani kwa meli baada ya kuambiwa na Eiyer kumbe ukweli ni kuwa nilifika kwa ndege. Kama vipi nithibitishie kuwa nilifika kwa meli na siyo ndege.

Pamoja na maelezo yote hayo hiki ndicho unaniuliza??

Nilichokisema na ulichokisema hapo juu hakina tofauti na hukustahili kuniuliza swali hilo kama ulinielewa!!
 
Nikwamba kama huamini amini unachoamini ila forget about GOD ,You want to avoid GOD In order to prove if he exists thats the first ,if you know he doesnt exists why do you want to prove you know why is because you are finding the truth because you just knw what you know ukifahamu people why hawataki kufa utapata majibu

hapo kwenye red, samahani unamaanisha kwamba mungu yuko dhahili (anajidhihilisha) pale ambapo binadamu amekufa?? kwamba watu hawapendi kufa kwa sababu watakutana na mungu? do u mean god has much power over the dead than the livings?? simba wa serengeti ni mkali sana huwezi kumsogelea lakini ukishampiga risasi akafa unaweza kupiga nae picha.
 
Huyo ni simba na hata maiti pia inawezekana ,according to word of all universe-at first humans used to live at paradise there was no death there after they sinned wakapewa death now humans 2nahiyo asili ya kutokufa dats why.Na afteral kwanini umwogope simba unajuaje kwamba hakuogopi afteral simba ni mnyama tu ambaye anaweza kulea watoto waendele bila system ya hela,mzungu ambaye naye ni mtu ambaye pia anaogopa kufa ,guns,medicines,bulet proofs,artificial oxygen na n.K,sheria na lugha to have a gud livin
 
Pamoja na maelezo yote hayo hiki ndicho unaniuliza??

Nilichokisema na ulichokisema hapo juu hakina tofauti na hukustahili kuniuliza swali hilo kama ulinielewa!!


Naona blah blah zinaanza tena.
 
Kanisome tena huku umetuliza kichwa, sijasema popote kuwa Mungu ana uwezo sawa na shetani, nimesema Mungu ana uwezo zaidi ya shetani, ila nimesema mwanzo wao ni the same na source of powers is the same!.
Pasco.

Sawa nimekunukuu vibaya.
 
Kama science doesnt prove Mungu yupo huku uchawi ni evidence ya whats written in the bible since uchawi wenyewe umeandikwa, na kuona hilo bado unabisha kua uchawi waweza kua science ambayo ni advanced zaidi, basi that simply shows science obeys religion, na kwa kujaribu kusema uchawi ni advanced science sawa na prediction yangu kua utasema uchawi ni science, umejionyesha wazi, wewe napoteza muda na wewe... Tafuta evidence sasa uprove maana naona wewe hadi einstein anaekubali uwepo wa Mungu umemshinda..

First thing first, unaweza ku prove uchawi upo?

Unajua tofauti ya uchawi na mazingaombwe?

Na utahakikishaje kwamba huu ni uchawi na si mazingaombwe kama unajua tofauti?

The bible is a vast collection of books, you can attribute anything and everything to it, just like "The Prophecies of Nostradamus" "The Collected Works of Shakespeare" "The Illiad" au methali za Kiswahili.

That renders the bible argument useless.
 
First thing first, unaweza ku prove uchawi upo?

Unajua tofauti ya uchawi na mazingaombwe?

Na utahakikishaje kwamba huu ni uchawi na si mazingaombwe kama unajua tofauti?

The bible is a vast collection of books, you can attribute anything and everything to it, just like "The Prophecies of Nostradamus" "The Collected Works of Shakespeare" au methali za Kiswahili.

That renders the bible argument useless.
Mkuu naona statement yangu hukuona vizuri kua nimesema sina muda na wewe tena... Nadhani hii ndio post ya mwisho, we endelea na hivo vitabu vyako!!! We c uko deep, tunajua unawajua Shakespear na Nastradamus.. tumekuelewa
 
Mkuu naona statement yangu hukuona vizuri kua nimesema sina muda na wewe tena... Nadhani hii ndio post ya mwisho, we endelea na hivo vitabu vyako!!! We c uko deep, tunajua unawajua Shakespear na Nastradamus.. tumekuelewa

Huna muda na mimi tena wakati unanijibu?

Ndio nyie nyie mtu ana ugonjwa wa akili, kaanguka pembeni ya nyumba unamokaa, anaona maruweruwe, yuko uchi, mnampiga mawe mpaka anakufa kwa kudai ni mchawi kaanguka kwenye ungo.
 
Hizi ndoto zako nimeshajadiliana sana na wewe na inaonekana huelewi kabisa

Nilikupa mfano ule na bahati mbaya sana umeshindwa kuuelewa
Na tatizo kubwa zaidi unadhani unaposhindwa kuelewa maelezo yoyte unadhani tatizo ni la mtoa maelezo wakati ni lako wewe

Ni kwanini unadhani kuwa kama Mungu hakuumbwa basi na binadamu nae hajaumbwa?

Ni kwanini unadhani kama binadamu hawezi kupaa angani basi viumbe vingine navyo haviwezi kupaa?

Unajua Mungu ni kitu gani wewe hadi unasema kama nae hajaumbwa basi na binadamu nae anaweza kuwepo tu bila kuumbwa?

Unakubalije kuwa binadamu katokea tu?
Unatumniaje mantiki ipi kukubali hili?

Yes najua kuwa hata kama hakutokea tu inawezekana awe hajaumbwa na Mungu,lakini je unakubali kuwa huyu binadamu ana mwanzilishi?

Kama unakana huoni kuwa unajikinza na mantiki?

Unapotumia argument ya complexity kusema kwamba "the universe is so complex, therefore it must be created" au "the human brain and body is so complex, therefore it must be created" unasema kwamba kitu complex ni lazima kiwe created.

Kama mwanadamu au ulimwengu ni vitu complex, na vitu complex ni lazima viwe created, then kilichoumba hivi vitu complex ni lazima kiwe complex zaidi.

Na kama ni complex zaidi, basi haja ya hicho kilichoumba kuwa created kuwa nacho kimeumbwa ni kubwa zaidi.

Kwa sababu our principle is that complexity must be created, and it follows that greater complexity has a greater need to be created than smaller complexity.

Ndiyo maana nikakwambia huwezi kusema kiti cha kukalia ni lazima kiwe kimetengenezwa, kwa sababu ni complex, lakini binadamu aliyekitengeneza kiti awe hajaumbwa.

Au jumbo jet lenye viti mia kadhaa na uwezo wa kuruka bara mpaka bara, liwe halijaumbwa.

Ukitumia complexity as an argument for creationism, instrisically unasema kwamba mungu kaumbwa, na aliyemuumba kaumbwa ad infinitum, ad absurdum.
 
Unapotumia argument ya complexity kusema kwamba "the universe is so complex, therefore it must be created" au "the human brain and body is so complex, therefore it must be created" unasema kwamba kitu complex ni lazima kiwe created.

Kama mwanadamu au ulimwengu ni vitu complex, na vitu complex ni lazima viwe created, then kilichoumba hivi vitu complex ni lazima kiwe complex zaidi.

Na kama ni complex zaidi, basi haja ya hicho kilichoumba kuwa created kuwa nacho kimeumbwa ni kubwa zaidi.

Kwa sababu our principle is that complexity must be created, and it follows that greater complexity has a greater need to be created than smaller complexity.

Ndiyo maana nikakwambia huwezi kusema kiti cha kukalia ni lazima kiwe kimetengenezwa, kwa sababu ni complex, lakini binadamu aliyekitengeneza kiti awe hajaumbwa.

Au jumbo jet lenye viti mia kadhaa na uwezo wa kuruka bara mpaka bara, liwe halijaumbwa.

Ukitumia complexity as an argument for creationism, instrisically unasema kwamba mungu kaumbwa, na aliyemuumba kaumbwa ad infinitum, ad absurdum.

Nasikitika kuwa umeshindwa kuielewa sentensi simple kama hii hapa chini
Na hiyo ini moja kati sentensi nilizokuandikia nikidhani kuwa ungeelewa
Unajua Mungu ni kitu gani wewe hadi unasema kama nae hajaumbwa basi na binadamu nae anaweza kuwepo tu bila kuumbwa?

Kama umeshindwa kuielewa hiyo sentensi sishangai wewe kushindwa kuelewa maelezo mengine niliyokupa
 
Nasikitika kuwa umeshindwa kuielewa sentensi simple kama hii hapa chini
Na hiyo ini moja kati sentensi nilizokuandikia nikidhani kuwa ungeelewa


Kama umeshindwa kuielewa hiyo sentensi sishangai wewe kushindwa kuelewa maelezo mengine niliyokupa

Umeshindwa kuelewa argument from complexity ilivyohusishwa.

Katika hesabu, hatugawanyi kwa sifuri. Ni mwiko.

Na hatuwezi kuhesabu mpaka infinity, ni mwiko.

Lakini the fact kwamba hatuwezi kuhesabu mpaka infinity haituzuii kutumia kanuni ya kwamba hatuwezi kugawanya infinity kwa sifuri.

Ingawa hatuijui infinity ina value gani.

Sihitaji kujua mungu ni kitu gani ili kujua kwamba the complexity argument does not hold water.

Just as sihitaji kujua infinity ina value gani ili kujua kwamba siwezi kuigawanya kwa sifuri.

I hope you did not sleep through some rather elementary math classes.
 
Kwa nini unafikiri kuna mwisho wa namba?

kuuliza mwisho siyo kwamba nina maana ya kufikiri kuna mwisho na kama nafikiri kuna mwisho kwanini niulize je nani kasema swali lina determine computation na execution ya ubongo wake na je nikisema mwisho ukweli wa mwisho ni nini?
 
kuuliza mwisho siyo kwamba nina maana ya kufikiri kuna mwisho na kama nafikiri kuna mwisho kwanini niulize je nani kasema swali lina determine computation na execution ya ubongo wake na je nikisema mwisho ukweli wa mwisho ni nini?

Swali lako limejengwa kwenye msingi wa kwamba namba zina mwisho.

Kabla ya kuuliza swali, umeukubali huu msingi, maana usingeukubali huu msingi wa swali usingeuliza swali.

Sasa mimi narudi kwenye msingi wa swali.

Kwa nini msingi huu wa swali kwamba namba zina mwisho uwe sahihi?

Kwa sababu kama msingi wa swali si sahihi, basi hata swali si sahihi.

Utakuwa kama unauliza "rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani" wakati wote tunajua wimbo hauwezi kuwa na rangi.
 
kama msingi ukiwa si sahihi basi swahili si sahihi je? swahili kuwa si sahihi, linajibu au halina mfano wimbo wa taifa una rangi gani jibu ni hakuna rangi kwenye wimbo na pia ,na hili halina msingi -mwisho wa number ni ngapi?je number ni nini je zina aina? kama utaweza kujibu haya haimaanishi nilifikiria kuuliza hayo au mwisho wake pengine kingine
 
Which Kingdom are you talking about? If the entire universe is the Kingdom of God, where does shetani live?
Though wasn't directed to me I will throw my 2 cents.
God owns the universe and have "a title deed" so to speak.
God have left satan for a while before He once and for all takes what is rightful His and give the devil what he deserves. That will happen in Owner's own decided time. The Bible outlines events leading to that time. Some call it escatology but its History spelled in advance. One of the thing is God will let man see effects of sin to its fullness. We see denial of God, praise of sin, love of money, lust of the flesh and love of self right here at JF. This is just the beginning of birth pangs....
HTH!
 
Back
Top Bottom