Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Ulimchangia???Hapo akipinduka zianze tena safari za nairobi na ubelgiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimchangia???Hapo akipinduka zianze tena safari za nairobi na ubelgiji.
Waha wachache wanateseka sana,boresheni Ngogwe yenuchama cha mbowe na mkwewe
Hawa jamaa makatiliHapana,
Ni mianzi,jukwaa Kama zizi la kufugia mbuzi!!
Hivi hawajui kwamba jamaa ni mbovu wa miguu kweli? Wanataka avunjike tena nini?
Ila Fedha za kukodi Chopa zipo!!..wananchi hawana uwezo wa kujenga jukwaa la bei mbaya, sasa mlitaka Lissu asihutubie hapo?
..jambo la msingi ni elimu ya katiba mpya na haki za raia ambayo Lissu anaitoa kwa wananchi wa Kigoma na maeneo mbalimbali.
Ila Fedha za kukodi Chopa zipo!!
Wazee wa migombani hapo mmezingua
SI umekulia mjini ndio maanaJukwaa la Mianzi 😂😂😂😂😂
Mapuuzi tu hayoNaona magamba yamepata kitu Cha kujifariji nacho Leo baada ya Jana Legacy kubomolewa
Chukueni maarifa kwa Mwalimu Mwakasege au Mtume Mwamposa namna ya kufanya mikutano ya hadhara na maandalizi yake!..unachokiona ktk hilo jukwaa ni ushahidi wa UCHUMI WA KATI kwa wananchi wa Kigoma.
..helikopta ni njia tu ya kuwafikia wananchi kwa wakati husika, suala la kuwakwamua wananchi kutoka ktk umasikini linahitaji muda mrefu, na linaanza kwa kuwapa elimu kuhusu HAKI zao.
Dunia ni kijiji bwashee 😄😄😄SI umekulia mjini ndio maana
Chukueni maarifa kwa Mwalimu Mwakasege au Mtume Mwamposa namna ya kufanya mikutano ya hadhara na maandalizi yake!
Mwingereza nduguyo wa damu hyuyu hapa.Hii ni hatari!View attachment 2629908
Umewaambia kweli watu hawa. Hilo jukwaa amejengewa na wananchi wenyewe masikini i Lissu apande hapo na kuwapa elimu juu ya Katiba mpya na tume. Ujumbe wameupokea na wasaidizi wa Lissu waliona hapo pako salama. Hata kama wangeleta meza apande juu yake angepanda na kuhutubia...wananchi hawana uwezo wa kujenga jukwaa la bei mbaya, sasa mlitaka Lissu asihutubie hapo?
..jambo la msingi ni elimu ya katiba mpya na haki za raia ambayo Lissu anaitoa kwa wananchi wa Kigoma na maeneo mbalimbali.
Cdm hawauzi unga boss.Chukueni maarifa kwa Mwalimu Mwakasege au Mtume Mwamposa namna ya kufanya mikutano ya hadhara na maandalizi yake!
Kwani na Lisu yuko Kigoma? Siyo kwamba Mbowe ndiyo yuko Kigoma??unachokiona ktk hilo jukwaa ni ushahidi wa UCHUMI WA KATI kwa wananchi wa Kigoma.