WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

Mbowe anavuruga mchakato wa kupambana dhidi ya CCM
 
We jamaa katoe tu mimba ya Mbowe itakunyanyasa sana.
 
Mbowe akikaa GEREZANI, vp ww Kamanda Jina.
 
Mimba aliyokutundika Mbowe inakusumbua sana kama vipi ichomoe
Kwani huko CCM hakuna wanaume hadi unamng'ang'ani Mbowe?
 
Hapana Mbowe ndio tatizo

Nadhani janga liko moyoni mwako! Mbowe hajawhi kuwa janga na bado ni kiongozi mpendwa wa chama! Chadema hatuna watu kama wewe! Kama kweli wewe ni chadema unaweza kuondoka bila kuwasakama viongozi wetu wapendwa! Ninachokifahamu ni kuwa wewe ni kati ya chawa wa CCM na inawezekana umeolewa na mmoja wao!
 
Stupid and non sense
 
Wewe si chadema ila ni mchochezi mmoja tu!!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…