WanaCHADEMA wengi hatupendi namna Mbowe alivyolamba asali ila hatuna namna maana hatuna maamuzi

Maneno ya mdangaji.!
 
Amelamba asali wapi,kwani kulamba asali kosa.Mf we unaasali yako home ukalamba tatizo lipo wapi?
 
Ulitaka akurambe wewe?
 
Wengi akina nani mkuu

Sema wewe kama ni CDM simpendi Mboye

Mambo ya kukoclude watu wote hawampendi bila utafiti unawakosea Wanye chama chaos au hata wewe

Na tukisema hata WanaCCM wengu hatunpendi SAMIA yatachukuliwa kama ninkweli

Hapana sio kweliii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…