JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Video ikionyesha wafuasi na wanachama wa CHADEMA wakivutana vikali na Polisi Iringa kwa kike kinachodaiwa kuwa wamekataa kushusha bendera zao za chama.
Chanzo: DarMpya
Chanzo: DarMpya