Wanachama CHADEMA wavutana vikali na Polisi Iringa, wakataa kushusha bendera zao

Wanachama CHADEMA wavutana vikali na Polisi Iringa, wakataa kushusha bendera zao

Video ikionyesha wafuasi na wanachama wa CHADEMA wakivutana vikali na Polisi Iringa kwa kike kinachodaiwa kuwa wamekataa kushusha bendera zao za chama.

View attachment 2143098

Chanzo: DarMpya
Polisi wa Tazania wanapenda fujo na vurugu.

Hizo bendera zimekosa nini? Basi waufute mkutanzo mzima. Kushusha bendera halafu ukawwacha wafanye mkutano ndio umefanya nini?
 
IGP sirro embu jiuzulu hii kazi imekushinda.
Wewe ndiye umepoliticize hili jeshi kupita kiasi.
Umeshindwa kabisa kuwaweka ma RPC wako katika neutral side.
Umewafanya wawe very biased politically.
Embu chukua hatua jiuzulu kazi imekushinda .
Sasa kama hapo hizo bendera kwa mujibu wa Criminal Procedures Act au sheria nyingine yoyote kama ya vyama vya siasa au any ni kosa kivipi?
Maaskari Polisi mmekuwa watu wa hovyo sana katika hii nchi kipindi hiki kuanzia wewe IGP simon sirro
IGP unashuhudia mambo ya hovyo yakifanywa na wasaidizi wako hata hukemei very Idiot IGP we have
 
IGP sirro embu jiuzulu hii kazi imekushunda.
Wewe ndiye umepoliticize hili jeshi kupita kiasi.
Umeshindwa kabisa kuwaweka ma RPC wako katika neutral side.
Umewafanya wawe very biased politically.
Embu chukua hatua jiuzulu kazi imekushinda .
Sasa kama hapo hizo bendera kwa mujibu wa Criminal Procedures Act au sheria nyingine yoyote kama ya vyama vya siasa au any ni kosa kivipi?
Maaskari Polisi mmekuwa watu wa hovyo sana katika hii nchi kipindi hiki kuanzia wewe IGP simon sirro
Bora hata ya mgambo kuliko hii polisi ya hovyo
 
IGP sirro embu jiuzulu hii kazi imekushinda.
Wewe ndiye umepoliticize hili jeshi kupita kiasi.
Umeshindwa kabisa kuwaweka ma RPC wako katika neutral side.
Umewafanya wawe very biased politically.
Embu chukua hatua jiuzulu kazi imekushinda .
Sasa kama hapo hizo bendera kwa mujibu wa Criminal Procedures Act au sheria nyingine yoyote kama ya vyama vya siasa au any ni kosa kivipi?
Maaskari Polisi mmekuwa watu wa hovyo sana katika hii nchi kipindi hiki kuanzia wewe IGP simon sirro
Kuna ujumbe wao kule kwa Robert Heriel leo
 
Samia na MaCCM hata kama mmechoka sio kwa kiwango cha kuogopa ”matambla” mnawatia aibu Chawa, na mnawapa wakati mgumu ”wahuni” wanashindwa kutetea Chama chakavu..
 
ndio manaa simbachawene alisema wanachukua vilaza wa form four kwa kuwa kulinda bank hakuhitaji elimu, ndio matokeo yake haya sasa
 
Back
Top Bottom