ameeniMungu ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameeniMungu ibariki Chadema
Naiacha kama ilivyo.Acha kumwombea mabaya🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumuombee tu kaka asifike hukoAtleast umri wa Makonda size yangu, atastahimili na magonjwa ya moyo, ila huyu Mzee kwa damu alizoruhusu kumwaga akiwa na umri huo, stroke haitamuacha salama.!
Tatizo hawajawasoma wananchi wanataka beats zipi!Ofcourse Chadema ndio tegemea la wananchi kwa Sasa.
POLICE wengi ni zero IQ na vurugu nyingi chanzo ni waoVideo ikionyesha wafuasi na wanachama wa CHADEMA wakivutana vikali na Polisi Iringa kwa kike kinachodaiwa kuwa wamekataa kushusha bendera zao za chama.
View attachment 2143098
Chanzo: DarMpya
yule siyo bogus tu yaani bogus treatyHawa polishi wa ccm wanaziogopa bendera ?
Hivi huyu Sirro anaogopa maisha baada ya kustaafu? Mbona anazidi kuwa bogus sana kwa kuendekeza mambo ya kipuuzi puuzi, Mama hebu piga chini huyu mzee akale kichuri kwao huko!
Uko sahihi
Yaani nguvu kazi yote hiyo iko wanarukaruka tu barabarani badala ya kuchapa kazi
Hawa wanafanya kazi saa ngapi?
View attachment 2143348
Ulitaka ujibiwe unavyotaka wewe.Mimi nimeuliza maswali tafakirishi yapande zote.Ujinga waweza kuwa pande zote.nimeuliza swali na wewe unaniuliza swali, kifupi unataka kuhalalisha ujinga kwa sababu fulani anafanya ujinga...
yaani unataka kuhalisha ujinga wa CCM kwa CDM kutenda ujinga huo huo..
Suala Hamza Bado tuna uhakika police walimdhurumu Mali zakeIGP sirro embu jiuzulu hii kazi imekushinda.
Wewe ndiye umepoliticize hili jeshi kupita kiasi.
Umeshindwa kabisa kuwaweka ma RPC wako katika neutral side.
Umewafanya wawe very biased politically.
Embu chukua hatua jiuzulu kazi imekushinda .
Sasa kama hapo hizo bendera kwa mujibu wa Criminal Procedures Act au sheria nyingine yoyote kama ya vyama vya siasa au any ni kosa kivipi?
Maaskari Polisi mmekuwa watu wa hovyo sana katika hii nchi kipindi hiki kuanzia wewe IGP simon sirro
IGP unashuhudia mambo ya hovyo yakifanywa na wasaidizi wako hata hukemei very Idiot IGP we have
Hii nadhani imemfikia mkubwa wake wa kazi, kamanda alitaka kuleta vurugu na kuhatarisha amani bila sababu yoyoteVideo ikionyesha wafuasi na wanachama wa CHADEMA wakivutana vikali na Polisi Iringa kwa kike kinachodaiwa kuwa wamekataa kushusha bendera zao za chama.
View attachment 2143098
Chanzo: DarMpya