samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Umati wa chadema tu ndo unaouona hawafanyi kazi ila wale wengine wanaokusanyika kila mara wao hujiulizi kazi wanafanya saa ngapi.punguza wivu.
mtazamo wangu umeuchukua kisiasa baada ya kujibu kwa hoja..
Kumbe tukiwapa dola na nyie mtaiba na tukiwauliza mtasema mboa wale waliokuwa madarakani CCM waliiba...