Wanachama CHADEMA wavutana vikali na Polisi Iringa, wakataa kushusha bendera zao

Wanachama CHADEMA wavutana vikali na Polisi Iringa, wakataa kushusha bendera zao

Demokrasia ni kama hivyo, binadamu wakinengua mbele ya vyombo vya usalama...
 
Polisi bwana ingekuwa ccm usingewaona mbona waoga hv hawa watu
 
Za CCM zipo kwenye nguzo zote za taa katika barabara kuu inayokatisha katikati ya mji wa Iringa muda wote kwanini hawawaambii ccm washushe?
Polisi wa Tazania wanapenda fujo na vurugu.

Hizo bendera zimekosa nini? Basi waufute mkutanzo mzima. Kushusha bendera halafu ukawwacha wafanye mkutano ndio umefanya nini?
 
Baada ya kuangalia hiyo video nimegundua kitu kimoja mfalme Zumaridi ana wafuasi wengi Chadema Wanachofanya ni sawa kabisa na makerubi na Maserafi wa Zumaridi
 
samahani, hawa watu wanafanya kazi saa ngapi.. kama umati wote huo muda wote unakuwa kwenye siasa ni lini tutajenga nchi na kuleta maendeleo kwa wote..

tujaribu kufikiri kwa mawazo huru na siasa tuweke pembeni..
Walioko Zanzibar wamefanya kazi SAA ngapi? Mbona unajipa uzuzu Kwa gharama ndogo?
 
samahani, hawa watu wanafanya kazi saa ngapi.. kama umati wote huo muda wote unakuwa kwenye siasa ni lini tutajenga nchi na kuleta maendeleo kwa wote..

tujaribu kufikiri kwa mawazo huru na siasa tuweke pembeni..
Uko sahihi

Yaani nguvu kazi yote hiyo iko wanarukaruka tu barabarani badala ya kuchapa kazi
 
Hapa ndipo CDM wanapokesea. Mipango. Timing. Agenda. Determination. Focus
Walihitaji muda mwingi zaidi wa kutulia na kujipanga kuja kivingine.
Mbowe alidai hatosema... Kwake aliongea. Kanisani aliongea. Na leo kwa Bawacha ataongea.
Najua ni msemaji mzuri lakini Sasa sijui baada ya yote haya atakuja kuongea nini.

CDM mjipange vizuri. Watanzania wanawategemea sana.
 
samahani, hawa watu wanafanya kazi saa ngapi.. kama umati wote huo muda wote unakuwa kwenye siasa ni lini tutajenga nchi na kuleta maendeleo kwa wote..

tujaribu kufikiri kwa mawazo huru na siasa tuweke pembeni..
Siasa ndo kazi yao kama wewe ulivyo na yako. Kumbuka kuwa kuna watu wengine wanapenda disco. Wengine mpira. Wengine muziki wengine porojo za kahawani na TBC, yada yaada yaada
 
sikuu ya wanawake duniani inahusikaje na bendera za vyama?
 
Hilo jeshi lina ujinga mwingi sana.hivi hawajioni wanavyofanya mambo yakijinga na kitoto yasiyo na ulazima wowote.
 
Chadema mtaacha lini kuwabrainwash wananchi badala yake mlete agenda zenye mantiki.....horrible and a failed opposition party.
Leo ni siku ya wanawake duniani na hao kinamama waliandaa huo mkutano wao wajadili mambo yao sasa wewe unataka agenda gani tena.Tumia hicho kichwa vizuri.
 
samahani, hawa watu wanafanya kazi saa ngapi.. kama umati wote huo muda wote unakuwa kwenye siasa ni lini tutajenga nchi na kuleta maendeleo kwa wote..

tujaribu kufikiri kwa mawazo huru na siasa tuweke pembeni..
Umati wa chadema tu ndo unaouona hawafanyi kazi ila wale wengine wanaokusanyika kila mara wao hujiulizi kazi wanafanya saa ngapi.punguza wivu.
 
Hawa polishi wa ccm wanaziogopa bendera ?
Hivi huyu Sirro anaogopa maisha baada ya kustaafu? Mbona anazidi kuwa bogus sana kwa kuendekeza mambo ya kipuuzi puuzi, Mama hebu piga chini huyu mzee akale kichuri kwao huko!

matusi makali
 
Hapa ndipo CDM wanapokesea. Mipango. Timing. Agenda. Determination. Focus
Walihitaji muda mwingi zaidi wa kutulia na kujipanga kuja kivingine.
Mbowe alidai hatosema... Kwake aliongea. Kanisani aliongea. Na leo kwa Bawacha ataongea.
Najua ni msemaji mzuri lakini Sasa sijui baada ya yote haya atakuja kuongea nini.

CDM mjipange vizuri. Watanzania wanawategemea sana.
Ofcourse Chadema ndio tegemea la wananchi kwa Sasa.
 
Vitu vingine kutafuta bifu vila sababu mfano wasingeweka hizo benders kwenye magari wasingefika wanakoenda au? Chadema kuna siasa za kitoto
 
Ambao huwa wanakwenda kupokea kila ndege ikitua huwa wanafanyakazi saa ngapi?
Wanaokuwa viwanja vya ndege kila anapopaa na kutua kiongozi huwa wanafanya kazi saa ngapi.
Bora hawa wa Leo hata hawalipwi Perdiem.

nimeuliza swali na wewe unaniuliza swali, kifupi unataka kuhalalisha ujinga kwa sababu fulani anafanya ujinga...

yaani unataka kuhalisha ujinga wa CCM kwa CDM kutenda ujinga huo huo..
 
Back
Top Bottom