Wanachama UN wapiga kura mzozo wa Urusi - Ukraine

Wanachama UN wapiga kura mzozo wa Urusi - Ukraine

Vita vyao sisi hatufungamani na upande wowote ule. Non Alignment Movement (NAM) asili yetu toka zamani
NAM kama hivi?

IMG_20220302_115525_094.jpg
 
Sheria za kimataifa na za kiasili zipo wazi. Mrusi kamvamia Ukraine ilihali Ukraine hajafanya chochote dhidi ya mamlaka ya Urusi.

Sababu za kusema Ukraine kutaka kujiunga na NATO kunahatarisha usalama wa Urusi, ni falsafa duni na ya kufikirika. Ukraine, kama nchi ina mamlaka ya kujiunga na jumuia yoyote alimradi havunji sheria za kimataifa.

Urusi imajaza makombora ya nuklia, je nchi nyingine zinazopakana na Urusi hazipo kwenye hatari kutokana na Urusi kumiliki makombora hayo? Je, mataifa hayo yana haki ya kuua raia wa Urusi?

Urusi inaendesha primitive politics ambazo hazikubaliki na mtu yeyote mstaarabu, mwenye hekima na akili timamu.
Nadhan ww ni mmojawapo ambae hajui chanzo cha huo mgogoro so is better to cool
 
Hao waarabu ndio wanafurahia hii vita a kumjaza urusi ujinga wakati urusi inayumba kiuchumi sio kdgo

Tangu lini mwarabu akawa mmatumbi?

Umatumbi wetu sifa. Tabu hizi kenua kenua zenu tu.

Kwa hakika kwa mwendo huu kila mtu na achukue njia yake!
 
Tangu lini mwarabu akawa mmatumbi?

Umatumbi wetu sifa. Tabu hizi kenua kenua zenu tu.

Kwa hakika kwa mwendo huu kila mtu na achukue njia yake!
Tanzania imechagua njia yake kwa manufaa na maslahi yake wewe unatakaje..?
 
Tanzania kushindwa kutoa msimamo Kama nchi Ni UNAFIKI!...ifike muda watanzania tuwe na kauli kwenye maswala sensitive Kama haya.
 
Miye niko upande wa haki siku zote dadaangu.

Ukilianzisha hata wewe au Kingai kibwegebwege lazima kukulaani tu.

Ninamlaani Mrusi kama nilivyomlaani Mmarekani Iraq, Afghanistan au Libya.


View attachment 2137069
Nimefurahi baada ya kuona umechukizwa alicho kifanya Russia pia na marekani ,wote wamefanya ushenzi wa aina moja
 
Nimefurahi baada ya kuona umechukizwa alicho kifanya Russia pia na marekani ,wote wamefanya ushenzi wa aina moja

Tofauti ni kuwa huyu mwingine anafanya hivi sasa tunavyoandika hapa.
 
Tanzania imechagua njia yake kwa manufaa na maslahi yake wewe unatakaje..?

Tanzania ni kubwa mjomba. Humo kuna mburumundu na wengine na wengine pia.

Kuwa japo na staha ya kutofautisha Tanzania, Mburumundu na hao wengine basi?
 
Thubutuu,,haitatokea mzungu afanye hivyo. Mfano mmoja, Palestina kila leo wanauliwa wasiyo na hatia lakini wamenyamaza kimya kama hawajui kinachoendelea.

Kura?

Post #13 inakuhusu mjomba.

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom