Ni upuuzi mkubwa kwa Tanzania kushindwa kupiga kura kwa jambo lililo wazi ka hili. Ni aibu kubwa!!
Tanzania ya Mwalimu, haikuwahi kuwa na kigugumizi katika suala lolote linalohusu haki. Tulikemea kwa haki kuvunjwa, na tukapiga kura dhidi ya Israel pale Israel ilipowaua raia wakati wanawashambulia wapiganaji wa kipalestina, licha ya kwamba israel ilikuwa imetufanyia mambo mengi: kutujengea UDSM, mafunzo ya JKT, mafunzo ya makamanda wetu, na hata miradi ya kilimo.
Tusifikiri tupo salama sana kwa kujifanya popo. Tutasuswa na wote.