Wanachama UN wapiga kura mzozo wa Urusi - Ukraine

Wanachama UN wapiga kura mzozo wa Urusi - Ukraine

Tanzania ni kubwa mjomba. Humo kuna mburumundu na wengine na wengine pia.

Kuwa japo na staha ya kutofautisha Tanzania, Mburumundu na hao wengine basi?
ndio maana nikakuuliza wewe unatakaje..? Kwa maana lolote utakalo taka wewe wala dunia haitajua kwa maana unaongelea uvunguni unajisikia mwenyewe.
 
Kura yangu inaenda kwa PUTTIN, lakini siungi mkono mauwaji, japo cna uhakika wa mauwaji hayo maana wamagharibi tushawazoea kwa propaganda zao.

Kura yangu iende[emoji635] vita haina macho acha auwe tu kama ndiyo njia ya kupata suruhu

Marekani na washirika wake washauwa mamilioni ya watu mashariki ya kati;

Achiliambali nyuklia alizotumia kushambulia hiroshima na nagasaki;
 
Kura yangu inaenda kwa PUTTIN, lakini siungi mkono mauwaji, japo cna uhakika wa mauwaji hayo maana wamagharibi tushawazoea kwa propaganda zao.

Siyo wewe peke yako mwenye kura kwake. Kuna wenzako hapa:

IMG_20220303_072305_861.jpg


Wanamtaka Putin lakini si kwao.

Tumeyaona kwa Jiwe, PK, Museveni, Ethiopia, Eritrea, Nkurunziza, Mugabe, Kim, Mnangagwa nk.

Unafiki mtupu.
 
Ni upuuzi mkubwa kwa Tanzania kushindwa kupiga kura kwa jambo lililo wazi ka hili. Ni aibu kubwa!!

Tanzania ya Mwalimu, haikuwahi kuwa na kigugumizi katika suala lolote linalohusu haki. Tulikemea kwa haki kuvunjwa, na tukapiga kura dhidi ya Israel pale Israel ilipowaua raia wakati wanawashambulia wapiganaji wa kipalestina, licha ya kwamba israel ilikuwa imetufanyia mambo mengi: kutujengea UDSM, mafunzo ya JKT, mafunzo ya makamanda wetu, na hata miradi ya kilimo.

Tusifikiri tupo salama sana kwa kujifanya popo. Tutasuswa na wote.
Tupo tupo, wizara ya mambo ya nje wala hata haijajisumbua kidogo kutueleza kwa nini hatujalaani uvamizi wa Urusi!
 
Acha porojo na unafiki, Jibu swali, kitu gani kinakufanya ukenue meno kwa furaha Marekani anapoisapoti Israel na unune Marekani akiisapoti Ukraine?
Jifunze kujadili mambo katika uelewa unaoeleweka halafu ujifunze kufananisha na kulinganisha vitu vinavyofanana. Habari zako za kumlinganisha kobe na chui kwenye mbio zinaboa

Kwa kukusaidia zaidi zijue sababu za America kumsupport Ukraine uzijue na zile zinampelekea kumsupport Israel ili ujenge hoja kwa kutazama hali halisi na sio taifa kama taifa
 
Acha porojo na unafiki, Jibu swali, kitu gani kinakufanya ukenue meno kwa furaha Marekani anapoisapoti Israel na unune Marekani akiisapoti Ukraine?

Hunaga hoja zaidi ya maneno ya mtaani wewe
Utulizage kichwa basi
 
Unafiki mbaya Sana mambo yako wazi tu Kwan hilo s azimio tu walikuwa wanaogopa nnn kulaani yanayotokea Ukraine, Ukraine hajarusha ata jiwe kwenda urusi ET tunajifanya hatuna upande lazima tujiamini
 
ndio maana nikakuuliza wewe unatakaje..? Kwa maana lolote utakalo taka wewe wala dunia haitajua kwa maana unaongelea uvunguni unajisikia mwenyewe.

Iko wazi aggressor hukemewa bila kujali ni wewe, rafiki yako, mkenya, Mrusi, Mmarekani au ni DRC.

Hadi hapo bado huelewi ndugu?
 
Vamizi alofanya Putin Ukraine linafanana na vamizi alofanya Nyerere Zanzibar kwa hiyo serikali ya CCM haiwezi kulaani. Putin amefanya vamizi Ukraine ili aweke serikali kibaraka, Nyerere naye aliweka serikali kibaraka Zanzibar.
 
Vamizi alofanya Putin Ukraine linafanana na vamizi alofanya Nyerere Zanzibar kwa hiyo serikali ya CCM haiwezi kulaani. Putin amefanya vamizi Ukraine ili aweke serikali kibaraka, Nyerere naye aliweka serikali kibaraka Zanzibar.

Acha kumfananisha COMMANDO PUTTIN na nyerere.
 
Back
Top Bottom