Kuna mfanano hapa..Muxar hakupotosha umma bali mngemuuliza ni Kabanga yupi au huyu wetu wa jf? maana huenda ana ndg,jamaa au rafiki aitwae Kabanga sasa kwanin asimtakie pumziko la milele kwa mfano yaani.ILA MUXAR........uwe unafafanua aiseee
Ungenitafuta kwanzaDuh!! sorry mkuu.Kumbe kifo hakina utani....nilitania tu sikukuona..
kweli nimekosea....nisamehe tu.Ungenitafuta kwanza
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kweli...???
😉😉😉😉.......[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
hahaha unaandika toka wapi mkuu usikute unajibu toka mbele za haki.........................😉😉😉😉.......
Kweli kbsAcha kufukua maumivu ya watu mkuu. Kufiwa kusikie kwa mwenzio tu
Huyu kaijage c yule wa ACT hv alikufaga???Mohamed Mtoi na Mwl Kaijage .
Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili .Huyu kaijage c yule wa ACT hv alikufaga???
Umenikumbushaa mbali sana.Mohamed Mtoi.Friend of mine, college mate, he was such a nice and sweet person on Earth. Mohammed Mtoi . Your wife, children are missing you dearly. You were a such good Father!Mohamed Mtoi na Mwl Kaijage .