Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

kujua ni ngumu coz sidhani kama dhumuni la jf ni kujuana, na huu ufake wa majina, sura, uandishi etc
 
Huyo wa stendi kuna siku eti aliuliza itatoke nn iwapo utaweza kuyashka na kuyazuia mapanga ya chopa ikiwa angani..? Je body ya chopa itazunguka... Duuuuh hapo nilimpa shikamoo zake..
Akaja uliza eti aliechora raman ya dunia alikuaa kakaa wapi kipindi anachora...
Hahaha K 4 life katuni sana yule jamaa sijui kapotelea wapi ila huyo wa stendi na chopa sijui nini atakua na vinasaba vya K 4 Life
 
Inabidi kuwe na special thread ambayo ni attendance
mtu asipoonekana hapo miaka miwili tunamfanyia sala
Hahahaaaaaaa. Anzisha hiyo mkuu inahusika sana
😀😀😀
 
Kabla mtu ajafa atoe taarifa!! Anyway utani tu, mwenzetu akifa taarifa itolewe mana mimi nina iman kama uko jf kwa mda kiasi lazima kuna mtu mmoja au zaidi atakuwa nakufahamu au mmeshawahi contact directly naye anaweza leta taarifa humu.
Kuna umuhimu wa kujuana pia.
 
Kuna wengine wapo strictly anonymous. So hata akifa haiwezu kujulikana.
Binafsi naamini kuna members wengi sana wamefariki sema walikuwa hawafahamiani na watu wa humu in their real life.
Ndo madhara ya ID feki.
 
Binafsi mimi niko na baadhi ya marafi tunaowasiliana nje na jf, huenda wanaweza wakapewa taarifa kama nikirest in piece.
 
Binafsi mimi niko na baadhi ya marafi tunaowasiliana nje na jf, huenda wanaweza wakapewa taarifa kama nikirest in piece.
Na hicho ndivyo kinachotakiwa angalau ujuane na watu kadhaa na muwe marafiki taarifa itatufikia na hata kwenye misiba tunaweza kuudhuria
 
Habarini, nauliza ikiwa imetokea kwa mfano mtu amekufa na ni mwanachama mwenzetu wa Jf habari za kifo chake zitafikaje maana humu sio wote wanaojuana. Kuna wengine ID zao ni kubwa tu humu ndani ila hawajawahi kukutana na mwana Jf.. Mwisho nawaulizia hawa watu mbona siku nyingi sijawaona
Miss chaga
Watu8
Na wengineo wengi tu
Minakufa leo ndonawajuza nipen rambirambi kabisa... Rip to me
 
Inabidi tuanze kua na secret friend ambaye utampa details zako zote ikiwa ni pamoja na adress,namba za cm,unapoishi kila kitu na umuandike kwy wosia kwamba mtu huyu apigiwe simu atoe taarifa JF!
Ntu huyo ni mods...
 
Back
Top Bottom