Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mutakufwaga wote, Nani atatoaga taarifa zenu?Hebu fanya tuonane ....... mimi nipo Kibaigwa, kama upo dasalama, mimi nitakuja ijumaa, naleta mahindi hapo tandale, tuonane tuelewane tujuane halafu tukifa, watu wapewe taarifa humu jamvini. au wewe unasemaje?
Watu wasiojulikana wamemfinyaWapendwa hivi BAK yuko wapi? Niliwasiliana nae mara ya mwisho gafla amepotea humu.
Watu wasiojulikana wamemfinya
Mzee app ya jamiiforum iko na shida sana. Ata mm nikizima simu wengine wananiona niko online.sijui simu yangu ndio ina tatzo, ila nikiangalia naona id iko online.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua anakuja na kupotea.. ashaona siasa mchezo mchafu hauna issueMzee bujibuji acha masihara basi!
Mie naja bt sina mke mie!!queenkami umenigusa na huu ujumbe,yaan nimejikuta natafakari mambo mengi,siku mm cheusie roho itakapoacha mwili sijui nan atakuja jf kuwajulisha,ila roho yangu haitatulia nife bila kuambiwa R.I.P CHEUSIE na wana jf.Lazima nikifa wana jf waniambie R.I.P hivyo jamani nan anataka kukutana na cheusie mlimani city this weekend??sharti atakayekuja kama ni mkaka aje na mkewe?
Siku moja ntakuja na picha ya mwanamke usijali, Cheusi dawaqueenkami umenigusa na huu ujumbe,yaan nimejikuta natafakari mambo mengi,siku mm cheusie roho itakapoacha mwili sijui nan atakuja jf kuwajulisha,ila roho yangu haitatulia nife bila kuambiwa R.I.P CHEUSIE na wana jf.Lazima nikifa wana jf waniambie R.I.P hivyo jamani nan anataka kukutana na cheusie mlimani city this weekend??sharti atakayekuja kama ni mkaka aje na mkewe?
Brenda wewe ndio...[emoji56][emoji1381][emoji3601][emoji1381][emoji3601]Brenda mimi au [emoji3166]
Mkuu naomba unitajie au um tag mmoja wapo hapa, ingawa hawapo tena.Dah.....wachache sana humu tuliozijua akaunti za BWM na JPM [emoji2960]