Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

Wanachama wa JamiiForums waliotangulia mbele ya haki (Fariki) R.I.P

Attachments

  • 1402342754122.jpg
    1402342754122.jpg
    6.7 KB · Views: 131
hahahaaa!!! no no no no !!! napenda tu mwenyewe kubadili avatar mkuu!

basi tu kuna njemba tulibadilishana mawazo kwa pm naona ndio ikasambaza detail kwa ntu nyingine..

kwema lakini?
Mambo ni safi mkuu...nisalimie shemeji yangu Beautiful Onyinye.
 
Ah.. mi sina anaenijua ila nna ID mbili.. nikifa ntatumia ile ID nyingine kuwajulisha. ;-)
 
Watu wa 3 nimefahamiana nao JF na tumekuwa washiaji kweikweli so ikitoke ammoja akatamgulia nadhani itakuwa rahisi
 
Hellow wakuu.

Member kama mimi queenkami ambaye sijuani na yeyote wa JF nje ya JF ikitokea nikafariki hamtakaa mfahamu sababu sina mtu katika maisha yangu halisi anayejua kuwa mm ni member huku hivyo aje awajulishe kuwa queenkami is no more.

Hii imenifanya nifikirie kuwa labda baadhi ya wenzetu ambao tulikua nao humu siku zote kisha wakapotea moja kwa moja labda wameshatangulia mbele za haki.

Pamoja na kuwa wengine wanaweza kuwa wameamua kuwa wasomaji au kubadilisha ID lakini nina amini wapo wenzetu waliofariki bila sisi kufahamu.

Ni Chetuntu tu ndiye tuliweza kufahamishwa kuwa member mwenzetu hatunaye tena.Na dedicate wimbo huu kwa Chetuntu na wengine wote waliotutangulia.R.I.P.



Hbr wanaJF! Ndugu yangu umenigusa sana, na hii inaonesha kw una uwezo mkubwa wa kufikiri! Asante! RIP all brothers and sisters!
 
Last edited by a moderator:
Habarini, nauliza ikiwa imetokea kwa mfano mtu amekufa na ni mwanachama mwenzetu wa Jf habari za kifo chake zitafikaje maana humu sio wote wanaojuana. Kuna wengine ID zao ni kubwa tu humu ndani ila hawajawahi kukutana na mwana Jf.. Mwisho nawaulizia hawa watu mbona siku nyingi sijawaona
Miss chaga
Watu8
Na wengineo wengi tu
 
Habarini, nauliza ikiwa imetokea kwa mfano mtu amekufa na ni mwanachama mwenzetu wa Jf habari za kifo chake zitafikaje maana humu sio wote wanaojuana. Kuna wengine ID zao ni kubwa tu humu ndani ila hawajawahi kukutana na mwana Jf.. Mwisho nawaulizia hawa watu mbona siku nyingi sijawaona
Miss chaga
Watu8
Na wengineo wengi tu
je umeshatembelea profile zao kuona mara ya mwisho humu walilog in lini?...
 
Kabla mtu ajafa atoe taarifa!! Anyway utani tu, mwenzetu akifa taarifa itolewe mana mimi nina iman kama uko jf kwa mda kiasi lazima kuna mtu mmoja au zaidi atakuwa nakufahamu au mmeshawahi contact directly naye anaweza leta taarifa humu.
 
Back
Top Bottom